Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
unyenyekevu wa kugawa fedha za wananchi?Acha wivu wako na roho mbaya yako ya kishetani kwa Mheshimiwa Rais. Usitake kumkatisha tamaa Mheshimiwa Rais wetu na mama yetu mpendwa kwa moyo wake alio nao wa upendo na unyenyekevu.
Kutoka mfuko upi huo wa wananchi? Nani kakwambia ni pesa za wananchi? Unao huo ushahidi? Rais wetu mpendwa anatoa pesa zake mfukoni alizozitolea jasho na kuzifanyia kazi .unyenyekevu wa kugawa fedha za wananchi?
Nimeacha nafasi ili uweke namba yako ndugu yangu mtanzaniaSubiri na wewe gawio. Siku hizi unasahau kiwema namba ya muamala.
Wote wenye sifa za kupewa mkopo walisgapewa wote na pia serikali ya dkt Samia imekiwa ikiongeza mapesa mabilioni kwa mabilioni kila mwaka.kwa ajili ya kuwapatia wanafunzi wote wenye sifa za kupata mikopo.lakini pia kwa sasa pesa ya kujikimu nayo imeongezeka mara dufu jambo ambalo limewapa utulivu wa akili wanafunzi wawapo vyuoni..Uongo na fitina kwenye dunia ya uwazi? Ningewasaidia ila Kuna taasisi maalum imewekwa kwaajili yao (HESLB). Mpunguze sifa za kijinga
KERO - Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili...www.jamiiforums.com
Pesa zinatoka kwenye mishahara yake iliyopo kisheria.Nauliza Hizo pesa wanazitoa wapi? we unaleta majibu ya kijinga jinga. Wananchi wana haki ya kujua chanzo cha hizo fedha.
Wivu utakuuwa mwaka huu.Cheap popularity!
Hata akitembeza rushwa ila ajue siye.Mwambie mama yako aache huu utaratibu wake mara moja wa kuanza kutembeza rushwa za waziwazi kwa viongozi wetu wa dini.
Siongelei ambao hawajapata naongelea waliokwisha pata ni miezi mitatu imepita wanafunzi hawajapewa stahiki zao... mama yako kutwa kuzunguka na noti kutafuta sifa kwenye mambo ya hovyo... Msichukulie elimu kawaida hii nchi inahitaji wasomi zaidi ya wanasiasaWote wenye sifa za kupewa mkopo walisgapewa wote na pia serikali ya dkt Samia imekiwa ikiongeza mapesa mabilioni kwa mabilioni kila mwaka.kwa ajili ya kuwapatia wanafunzi wote wenye sifa za kupata mikopo.lakini pia kwa sasa pesa ya kujikimu nayo imeongezeka mara dufu jambo ambalo limewapa utulivu wa akili wanafunzi wawapo vyuoni..
Chuki yako itakuwa bure tu.maana Daktari Samia Suluhu Hasssan ndiye chaguo la watanzania wazalendo,wanaojitambua na wenye akili Timamu. Tunaendelea kudunda na kutamba na Mama yetu mpendwa mpaka 2030 ndio tutaweka breki na kituo .Hata akitembeza rushwa ila ajue siye.
Chuo gani hicho ambacho hawajapata? Maana naona unaropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo.Siongelei ambao hawajapata naongelea waliokwisha pata ni miezi mitatu imepita wanafunzi hawajapewa stahiki zao... mama yako kutwa kuzunguka na noti kutafuta sifa kwenye mambo ya hovyo... Msichukulie elimu kawaida hii nchi inahitaji wasomi zaidi ya wanasiasa
wewe wanakulisha kwa hiyo lazima usifie mpaka ubujikwe machozi na matePesa zinatoka kwenye mishahara yake iliyopo kisheria.
Nakula kwa jasho langu mimi na siyo kulishwa kama kinda la ndege.wewe wanakulisha kwa hiyo lazima usifie mpaka ubujikwe machozi na mate
RUSHWA RUSHWA RUSHWA HIYO NI RUSHWA VIONGOZI WA DINI NI WACHUMIA TUMBONdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amemzawadia kiasi cha shilingi Milioni 10 Askofu Ruwaichi wa kanisa katoliki Jimbo kuu la Dar es salaam.
Zawadi hiyo ni katika kutambua mchango wake kwa kanisa na Taifa letu kwa ujumla kupitia huduma na uongozi wake.ambapo ni yeye pia aliyeanzisha chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza pamoja na matawi yake mbalimbali kama vile Mtwara,moshi n.k.lakini pia katika utumishi wake akiwa askofu jimbo kuu la Dar ameweza kuanzisha parokia mbalimbali takribani 100.
Hayo yameelezwa na makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Philipo Isdori Mpango alipomwakilisha Mh Rais wetu kipenzi katika Misa ya Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Ruwaichi. Ambapo pamoja na mambo mengine makamu wa Rais amesisitiza Watanzania kuwa na mioyo ya shukurani na kusema asante. kumshukuru Mungu kwa kutupatia uhai na afya njema na hii pumzi tuliyonayo.
Rais wetu kipenzi Anaendelea kuonyesha namna alivyo Rais wa watu wote ,mwenye upendo kwa wote na mwenye kushirikiana vyema na viongozi wetu wa Dini na madhehebu yote. Rais wetu anatambua mchango wa viongozi wa Dini na nafasi yao katika Ustawi wa Taifa letu . ndio maana ya kuamua kumtuma kiongozi namba mbili baada yake kwenda kumuwakilisha.hii yote ni katika kuonyesha heshima na upendo wake mkubwa alio nao katika moyo na kifua chake kwa viongozi wetu wa Dini.
Ndio mama Mama yetu mpendwa amekuwa akishirikiana vyema sana na viongozi wetu hawa wakiroho katika masuala mbalimbali na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza pale wanapokuwa na jambo ambalo wangependa kutoa maoni au mawazo yao, kama alivyofanya kwenye suala la uwekezaji bandarini jambo ambalo viongozi wetu walimuelewa vyema na kuondoa hofu waliyokuwa nayo awali na kuamua kumuunga mkono Rais wetu na serikali yake na dhamira yao njema iliyozingatia maslahi mapana kwa Taifa letu. Ambapo ndio maana Tunaendelea kuona amani na utulivu vikiendelea kutamalaki hapa nchini .
Huku umoja na mshikamano ukiendelea kuwa imara miongoni mwa Watanzania ,tukiishi kwa pamoja na kuzungumza lugha moja pasipo kubaguana kwa misingi ya Dini zetu au makabila yetu au jinsia zetu au ukanda tunaotokea.tumebakia kama Taifa moja lililoungana vyema na kushikamana.
Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili. Kama unataka kupata na mengine mengi juu ya habari hii basi nenda kwenye chanzo hicho cha habari hii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We mpumbavu kweli kweliChuo gani hicho ambacho hawajapata? Maana naona unaropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo.
Fanya kazi kwa bidii ,juhudi ,maarifa na nidhamu utapata pesa ya aina yoyote ile unayoihitaji.Huyo Ruwaichi HAJABUBUJIKWA na machozi ya furaha baada ya kupokea BUNDA LA MANOTI?
Definitely alibubujikwa na kukenua hadi gego la mwisho. Chezea manoti wewe!
Samia anione na mimi anipe hata laki tatu tu ntamlamba hadi visigino na kumuabudu.
Fahari ya kapuku ni kusujudia matajiri.
Acha Majungu yakoRUSHWA RUSHWA RUSHWA HIYO NI RUSHWA VIONGOZI WA DINI NI WACHUMIA TUMBO
Wewe hujitambui hata kidogo.embu niondokee hapa ukafie mbele huko.We mpumbavu kweli kweli
KERO - Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili...www.jamiiforums.com