Pre GE2025 Rais Samia “amzawadia” Millioni 10 Askofu Ruwa’ichi Kwa kutambua mchango wake kwa Kanisa na Taifa

Pre GE2025 Rais Samia “amzawadia” Millioni 10 Askofu Ruwa’ichi Kwa kutambua mchango wake kwa Kanisa na Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amemzawadia kiasi cha shilingi Milioni 10 Askofu Ruwaichi wa kanisa katoliki Jimbo kuu la Dar es salaam.

Zawadi hiyo ni katika kutambua mchango wake kwa kanisa na Taifa letu kwa ujumla kupitia huduma na uongozi wake.ambapo ni yeye pia aliyeanzisha chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza pamoja na matawi yake mbalimbali kama vile Mtwara,moshi n.k.lakini pia katika utumishi wake akiwa askofu jimbo kuu la Dar ameweza kuanzisha parokia mbalimbali takribani 100.

Hayo yameelezwa na makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Philipo Isdori Mpango alipomwakilisha Mh Rais wetu kipenzi katika Misa ya Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Ruwaichi. Ambapo pamoja na mambo mengine makamu wa Rais amesisitiza Watanzania kuwa na mioyo ya shukurani na kusema asante. kumshukuru Mungu kwa kutupatia uhai na afya njema na hii pumzi tuliyonayo.

Rais wetu kipenzi Anaendelea kuonyesha namna alivyo Rais wa watu wote ,mwenye upendo kwa wote na mwenye kushirikiana vyema na viongozi wetu wa Dini na madhehebu yote. Rais wetu anatambua mchango wa viongozi wa Dini na nafasi yao katika Ustawi wa Taifa letu . ndio maana ya kuamua kumtuma kiongozi namba mbili baada yake kwenda kumuwakilisha.hii yote ni katika kuonyesha heshima na upendo wake mkubwa alio nao katika moyo na kifua chake kwa viongozi wetu wa Dini.

Ndio mama Mama yetu mpendwa amekuwa akishirikiana vyema sana na viongozi wetu hawa wakiroho katika masuala mbalimbali na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza pale wanapokuwa na jambo ambalo wangependa kutoa maoni au mawazo yao, kama alivyofanya kwenye suala la uwekezaji bandarini jambo ambalo viongozi wetu walimuelewa vyema na kuondoa hofu waliyokuwa nayo awali na kuamua kumuunga mkono Rais wetu na serikali yake na dhamira yao njema iliyozingatia maslahi mapana kwa Taifa letu. Ambapo ndio maana Tunaendelea kuona amani na utulivu vikiendelea kutamalaki hapa nchini .

Huku umoja na mshikamano ukiendelea kuwa imara miongoni mwa Watanzania ,tukiishi kwa pamoja na kuzungumza lugha moja pasipo kubaguana kwa misingi ya Dini zetu au makabila yetu au jinsia zetu au ukanda tunaotokea.tumebakia kama Taifa moja lililoungana vyema na kushikamana.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili. Kama unataka kupata na mengine mengi juu ya habari hii basi nenda kwenye chanzo hicho cha habari hii.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Usikute alieandika apa ni mtoto wa kiume
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amemzawadia kiasi cha shilingi Milioni 10 Askofu Ruwaichi wa kanisa katoliki Jimbo kuu la Dar es salaam.

Zawadi hiyo ni katika kutambua mchango wake kwa kanisa na Taifa letu kwa ujumla kupitia huduma na uongozi wake.ambapo ni yeye pia aliyeanzisha chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza pamoja na matawi yake mbalimbali kama vile Mtwara,moshi n.k.lakini pia katika utumishi wake akiwa askofu jimbo kuu la Dar ameweza kuanzisha parokia mbalimbali takribani 100.

Hayo yameelezwa na makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Philipo Isdori Mpango alipomwakilisha Mh Rais wetu kipenzi katika Misa ya Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Ruwaichi. Ambapo pamoja na mambo mengine makamu wa Rais amesisitiza Watanzania kuwa na mioyo ya shukurani na kusema asante. kumshukuru Mungu kwa kutupatia uhai na afya njema na hii pumzi tuliyonayo.

Rais wetu kipenzi Anaendelea kuonyesha namna alivyo Rais wa watu wote ,mwenye upendo kwa wote na mwenye kushirikiana vyema na viongozi wetu wa Dini na madhehebu yote. Rais wetu anatambua mchango wa viongozi wa Dini na nafasi yao katika Ustawi wa Taifa letu . ndio maana ya kuamua kumtuma kiongozi namba mbili baada yake kwenda kumuwakilisha.hii yote ni katika kuonyesha heshima na upendo wake mkubwa alio nao katika moyo na kifua chake kwa viongozi wetu wa Dini.

Ndio mama Mama yetu mpendwa amekuwa akishirikiana vyema sana na viongozi wetu hawa wakiroho katika masuala mbalimbali na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza pale wanapokuwa na jambo ambalo wangependa kutoa maoni au mawazo yao, kama alivyofanya kwenye suala la uwekezaji bandarini jambo ambalo viongozi wetu walimuelewa vyema na kuondoa hofu waliyokuwa nayo awali na kuamua kumuunga mkono Rais wetu na serikali yake na dhamira yao njema iliyozingatia maslahi mapana kwa Taifa letu. Ambapo ndio maana Tunaendelea kuona amani na utulivu vikiendelea kutamalaki hapa nchini .

Huku umoja na mshikamano ukiendelea kuwa imara miongoni mwa Watanzania ,tukiishi kwa pamoja na kuzungumza lugha moja pasipo kubaguana kwa misingi ya Dini zetu au makabila yetu au jinsia zetu au ukanda tunaotokea.tumebakia kama Taifa moja lililoungana vyema na kushikamana.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili. Kama unataka kupata na mengine mengi juu ya habari hii basi nenda kwenye chanzo hicho cha habari hii.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uchawa mtupu unasifu uongo hadi unatia aibu.
 
Lucas, kuna wakati hufanyi kosa lolote kuleta habari ya jambo lililotokea, lakini uwasilishaji wako ndiyo unaoleta ukakasi na watu kuipuuza habari uliyoileta.

Hayo mambo sijui chuma cha reli, mioyo ya watanzania inabubujika machozi ya furaha, n.k; nadhani unaamini yanapamba habari kumbe yanaifubaza habari nzima.

Kwani ukiileta habari yenyewe kama ilivyo, kuna tatizo gani?
 
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amemzawadia kiasi cha shilingi Milioni 10 Askofu Ruwaichi wa kanisa katoliki Jimbo kuu la Dar es salaam.
Kwa kawaida huwa sisomi mada za aina hii, hasa zinazoletwa hapa na huyu. Lakini kichwa cha mada kimenistua.

Kama habari hii ni ya kweli, basi naona kila mtu mwenye ushawishi wa aina yoyote ile, hii pesa inayomwagwa ndani ya nchii hii sasa kuelekea kwenye chaguzi itakuwa ni ya bure kabisa.
Hivi hawa waarabu kweli wanaweza kutudharau kiasi hiki?
 
Kwa kawaida huwa sisomi mada za aina hii, hasa zinazoletwa hapa na huyu. Lakini kichwa cha mada kimenistua.

Kama habari hii ni ya kweli, basi naona kila mtu mwenye ushawishi wa aina yoyote ile, hii pesa inayomwagwa ndani ya nchii hii sasa kuelekea kwenye chaguzi itakuwa ni ya bure kabisa.
Hivi hawa waarabu kweli wanaweza kutudharau kiasi hiki?
Usipende kuandika vitu ukiwa umelewa pombe na kutotambua hata unachoandika na unachojibu.
 
Usipende kuandika vitu ukiwa umelewa pombe na kutotambua hata unachoandika na unachojibu.
Sasa leo unataka kunihusisha kwenye upumbavu wako humu jukwaani?
Tutaacha kuzungumzia upumbavu ulioweka hapa, badala yake nitakufundisha adabu.
 
Mwambie mama yako aache huu utaratibu wake mara moja wa kuanza kutembeza rushwa za waziwazi kwa viongozi wetu wa dini.
Hawa watu ni wenye uelewa mpana. Hivi Samia anadhani anaweza kuwanunua kwa pesa za wafadhiri wake toka nje, wasijue maana ya pesa hiyo ni nini?

Hili ndilo linalonishangaza na huyu mwanamke, kutokuwa na mipaka ya kutafuta watu wenye hadhi ya kuhongeka.

Hili sasa litakuja kumwanika wazi wazi kuhusu uwezo wake wa kutofautisha chawa na wasioweza kuwa chawa kwa bei yoyote ile.

Ngoja nisubiri kumsikia Askofu siku moja akigeuka kuwa chawa wa mama kwa rushwa ya millioni 10!
 
Nchi Hatari Kwa Machawa:-

1. Afganistan

2.Sudan

3. South Sudan

4. Libya

5. Mozambique

Huko sifia upumbavu uone.
 
Back
Top Bottom