Pre GE2025 Rais Samia “amzawadia” Millioni 10 Askofu Ruwa’ichi Kwa kutambua mchango wake kwa Kanisa na Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakatoliki Hawanunuliwi, siyo kila Askofu ni Pengo
Naona CHADEMA mmeanza kupagawa na kuweweseka baada ya kuona Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania
 
Mtapata taabu sana mwaka huu ni kupata presha na maradhi mbalimbali pale mtakaposhuhudia Rais wetu mpendwa akiendelea kuungwa mkono na viongozi mbalimbali hapa nchini. Hii ni kwa kuwa Rais Samia ameinuliwa kwa mkono wa Mungu na kupewa kibali na Mungu mwenyewe
 
Nimekwisha kueleza, unayo matatizo makubwa kichwani mwako. Unahitaji msaada.
Mwishowe utadai umezungumza na huyo mungu wako kakueleza yote hayo unayohangaika nayo hapa. Kama siyo ukichaa huo, tuuite kitu gani!
 
Nimekwisha kueleza, unayo matatizo makubwa kichwani mwako. Unahitaji msaada.
Mwishowe utadai umezungumza na huyo mungu wako kakueleza yote hayo unayohangaika nayo hapa. Kama siyo ukichaa huo, tuuite kitu gani!
Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe kumuinua.
 
Kenge wa chadema hawataki kusikia
 
Sijajua na sijui kwakweli kwanini viongozi wetu hawa wa dini hawajiEXEMPT na vitu vichafu kama hivyo!?Basi angezielekeza pesa zile kwenye watu wenye uhitaji paleplae alipokabidhiwa na makamu wa Rais!Serikali ingejitahidi kutafuta namna nyingine bora(hata kuwepo na nishani za utambuzi kwa watu wanaofanya mambo mazuri kwa jamii au taifa) ya kuwapongeza.
Tabia ya EXECUTIVE kutumia pesa kila mara kugawagawa inakera.Najiuliza kwani watu wanaofanya vzuri kwenye jamii au Taifa katika nyanja mbalimbali wote wanamotive ya Pesa?Hakuna watu wanaolipigania Taifa badala ya maslahi ya fedha?Yaan siku hizi iwe michezoni tunawapa fedha,kwenye dini ndio hivyo na karibu nyanja zingine zoote,its not correct.Hakuna medali za heshima au utambuzi ambazo mtu anaweza kupewa kama kumbukumbu maishani mwake?!Ni ushamba wa hali ya juu kutumia fedha kama lobbying na kwakweli INAKERA.
 
Machadema nmeumia na mnaumia sana mpoona Rais wetu Anaendelea kuungwa mkono na kukubalika na viongozi mbalimbali wa kidini,wakati ninyi na roho mbaya zenu mnatamani muwe mnaona nyaraka za kuikosoa na kuishambulia serikali yetu. Hizo roho mbaya zenu zitawaueni mwaka huu.
 
Anahonga mpaka mapadree?, CCM ni wapuuzi.
 
anaglitoa msikitini JF pasingalitosha. TEC na akina Dk Slaa wangalikuja na kauli nzito. Lkn namsihi rais Samia apunguze maana sisi waislam tunaamini Swadakal jaria hua inaendelea. sasa sijui itakuaje kusaidia makanisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…