Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Saizi Sukuma gang na Chadomo kete yao ni Bei ya vitu kupanda eti wanategemea itawavusha hadi 2025 😀😀😀😀..

Ukiwaomba Sukuma gang waweke rekodi za mwaka mmja wa mtu wao vs SSH wanakwepa baada ya Samia kuwa outperform pakubwa ..

Utasikia miradi ya Magufuli,huwa nawauliza kwa nini miaka 6 hakumaliza mradi hata mmja at the same time wanataka Samia amalize ndani ya mwaka wake mmja na kuanza mipya 😆😆😆..

Uzuri wa Samia hapendi masifa ya kijinga wala kulazimisha kupendwa kwa maigizo na propaganda.za kitoto za shujaa wa Chato..

Sikiliza wabunge huko Bungeni wanavyofurahia mahela lundo kwenye Halmashauri zao hadi raha na wanakiri haijawahi kutokea Rais kutekeleza bajeti na ilani kama Samia.Huu ni ukweli mchungu watetezi wa legacy hawapendi kuusikia..

Ila kumfananisha na Nyerere,hapo hapana mkuu umezingua.
Mzee wa mapambio kama kawaida yako mama hata akinyea hotpot la chakula unachotakiwa ule jioni! Utamiminia pilipili na kufurahia kula mbolea yake! Hopeless kabisa shwaini wahedi
 
Hilo nalo linahitaji ushahidi kweli?
Siasa za nchi hii[emoji38][emoji38][emoji38],
Edward Lowasa aliishaitwa fisadi kisa Richmond baadae akasafishwa kwa gharama kubwa sana. Sishangai kwa yaliyotokea awamu ya tano kwa Msoga gang na yanayoendelea dhidi ya Sukuma Gang kwa awamu hii.

Haya yote yanafanyika kutafuta mitaji ya kisiasa nje na ndani ya chama chenyewe.
 
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?

Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,

Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!

Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…

Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.

Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….

URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA

Britanicca
Hebu punguzeni upumbavu ili tufike tunapoelekea maana upumbavu jawabu lake ni laana.
 
Brita!!
Spending nikuzodoe ila naheshimu uzi!!

Unajua tusiendekeze tabia ya kwamba fulani anafaa zaidi ya..
Tanzania ina watu wanafaa tu kwa URais sio lazima fulani aendele kuongoza hadi eti Mwinyi aje kwani nafasi aliyonayo sasa hivi haimtoshelezi hadi aje kuendelea Bara!! Huu ni uzandiki mtupu. Tuacheni kuwa waTumwa kwa kila kitu.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Fact.
 
Huo ubora wa Nyerere na Mkapa unatoka wapi!?...mmoja alituzamisha kwenye dimbwi la umasikini na ujinga, mwingine akauza Mali za umma kwa Bei ya kutupa
Kuweni wazalendo hata kidogo,zungukeni nchi za majirani zenu ndiyo mtangundua kuwa chuki zenu hazina faida kwa hawa viongozi.
 
Perceptions zetu, ukiishakuwa Raisi wewe ni super human tayari. You can conquer everything [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].

Bei ya mafuta haiamuliwi na tamko la Raisi zaidi ya nguvu ya soko.
 
Anawezaje kuwa bora wakati mambo karibia yote anayoyafanya anayafanya kwa maelekezo kutoka kwa Kikwete. Huku akijaribu kuwa please Sukuma gang ili wasimchukie.
Hizi zitabakia kuwa opinions zako tuu na sio facts..

Hadithi kama hizo zilitokea kwa Felix Chisekedi mara ooh atakuwa kivuli wa Kabila,yako wapi?

The same to Rais wa Angola au Rais wa US bwana Biden..

Hakuna wa kumpa maelekezo Rais,hakuna Rais mjinga wa hivyo.

Pili kwani ni vibaya kuomba ushauri kwa JK? Ndio baba wa Taifa aliye hai kwa sasa,Mzee mwinyi kapoteza kumbukumbu shauri ya uzee.
 
Hizi zitabakia kwa opinions zako tuu na sio facts..

Pili kwani ni vibaya kuomba ushauri kwa JK? Ndio baba wa Taifa aliye hai kwa sasa,Mzee mwinyi kapoteza kumbukumbu shauri ya uzee.
Samia aombi ushauri, anapewa maagizo na kuyatekeleza.

Unajua maana ya kuomba ushauri kweli ?

Magufuli ndiye mtu aliyewaibua watu kutoka majalalani kwenda kushika nafasi ambazo zilionekana hazitakiwa kushikwa na watu wengine.
 
Samia aombi ushauri, anapewa maagizo na kuyatekeleza.

Unajua maana ya kuomba ushauri kweli ?

Magufuli ndiye mtu aliyewaibua watu kutoka majalalani kwenda kushika nafasi ambazo zilionekana hazitakiwa kushikwa na watu wengine.
Alimuibua nani mpya kwenye system? Unaweza mpa maelezo amiri jeshi mkuu? Wewe kama nani?
 
Samia aombi ushauri, anapewa maagizo na kuyatekeleza.

Unajua maana ya kuomba ushauri kweli ?

Magufuli ndiye mtu aliyewaibua watu kutoka majalalani kwenda kushika nafasi ambazo zilionekana hazitakiwa kushikwa na watu wengine.
Wewe ni mmojawapo wa watu wa majalalani
 
Hizi zitabakia kuwa opinions zako tuu na sio facts..

Hadithi kama hizo zilitokea kwa Felix Chisekedi mara ooh atakuwa kivuli wa Kabila,yako wapi?

The same to Rais wa Angola au Rais wa US bwana Biden..

Hakuna wa kumpa maelekezo Rais,hakuna Rais mjinga wa hivyo.

Pili kwani ni vibaya kuomba ushauri kwa JK? Ndio baba wa Taifa aliye hai kwa sasa,Mzee mwinyi kapoteza kumbukumbu shauri ya uzee.
Consultation wanataka akachukue kwa Mwinyi Zanzibar na Kigali kwa Kagame [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wengi tu, ukituliza akili sura zao utazikumbuka.

Wewe Chamuriho ukiwahi kumuona wapi kabla Magufuli ajamleta serikali kuu ?
Kwani Magufuri alikuwa Mungu?????Tangu enzi za Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete na hata Magufuri watu wapya walikuwa wanaibuliwa,hata Magufuri aliibuliwa enzi za Mkapa,je alijiibua mwenyewe?
 
Back
Top Bottom