Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za malori 50 zinaajiri madokta wangapi? Zingeenda kwenye mafuta ya VX. Ma V8.
Mwizi aliyeiba mkate akamgawia mwenye njaa.
Uko sahihi, ila pitia hapa kidogoMwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.
Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.
Ndiye rais ambaye hana makele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.
Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.
Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.
Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.
Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.
Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Wizi ni wizi ndio lakini hata wewe yule mwajiriwa wako pale ofisini akikuibia fedha akalipia matibabu ya mama yake kwako wewe atabaki kuwa mwizi ila kwa mama yake ni shujaa.Wizi Ni wizi tu. Hakuna Cha kusaidia.
Ubadhirifu na wizi vyote vinaliathiri Taifa.Pesa za malori 50 zinaajiri madokta wangapi? Zingeenda kwenye mafuta ya VX. Ma V8.
Mwizi aliyeiba mkate akamgawia mwenye njaa.
Yap, Wewe utapata uchungu ila dereva aliyesota mtaani na sasa kakabidhiwa funguo atapata furaha.Ubadhirifu na wizi vyote vinaliathiri Taifa.
Pesa yangu ya Tozo ukanunue Lori hujui uchungu ninaisikia wakatu nakatwa hiyi tozo.
Hayo Malori nitayaanika humu ili Wananchi wakayagawane wauze spea ili wajirejeshee tozo zao.
Nabishana na Zezeta.Yap, Wewe utapata uchungu ila dereva aliyesota mtaani na sasa kakabidhiwa funguo atapata furaha.
Japokuwa hii haimfanyi mwizi kuwa kafanya jambo jema kuiba.
Endelea kumsemea aliyekuibia lori zako.Nabishana na Zezeta.
Tatizo wabongo Wanapenda viongozi wapigwe keleleHuyu mama Yuko vizuri sana na nimpenda haki tofauti na viongozi wengi wapendwa sifa. Naunga mkono hoja mama tumpe nafasi tutaneemeka sana tuu
Nilikwambia toka Mwanzo kwamba Samia aliwahi sema kwamba hajawahi gombea Wala kunui jambo akashindwa katika maisha yake na ndivyo itakuwa.Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.
Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.
Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.
Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.
Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.
Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.
Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.
Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Mimi nachompendea ni Kiongozi,ukijua maana ya Kiongozi utaelewa na anajaribu kujenga Imani kwenye mifumo na watu aliowapa madaraka na sifa kubwa hajawahi fanya mambo Kwa mihemko Wala pressure ana utulivu mkubwa.Huyu mama Yuko vizuri sana na nimpenda haki tofauti na viongozi wengi wapendwa sifa. Naunga mkono hoja mama tumpe nafasi tutaneemeka sana tuu
Leo ametangaza ajira Afisa Maendeleo ya jamii nafasi 800Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.
Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.
Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.
Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.
Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.
Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.
Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.
Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Nilikwambia toka Mwanzo kwamba Samia aliwahi sema kwamba hajawahi gombea Wala kunui jambo akashindwa katika maisha yake na ndivyo itakuwa.
Ngoja tuache mda uongee.
Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.
Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.
Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.
Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.
Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.
Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.
Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.
Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Lakini wahafidhina wa ndani atawaweza?Mimi nachompendea ni Kiongozi,ukijua maana ya Kiongozi utaelewa na anajaribu kujenga Imani kwenye mifumo na watu aliowapa madaraka na sifa kubwa hajawahi fanya mambo Kwa mihemko Wala pressure ana utulivu mkubwa.
Ameeni.Mungu aendelee kumbariki Mama yetu mpendwa.