Rais Samia ana kitu cha ziada atafika mbali Sana

Rais Samia ana kitu cha ziada atafika mbali Sana

Pesa za malori 50 zinaajiri madokta wangapi? Zingeenda kwenye mafuta ya VX. Ma V8.
Mwizi aliyeiba mkate akamgawia mwenye njaa.

Wizi Ni wizi tu. Hakuna Cha kusaidia.
 
Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.

Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.

Ndiye rais ambaye hana makele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.

Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.

Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.

Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.

Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.

Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Uko sahihi, ila pitia hapa kidogo
 
Wizi Ni wizi tu. Hakuna Cha kusaidia.
Wizi ni wizi ndio lakini hata wewe yule mwajiriwa wako pale ofisini akikuibia fedha akalipia matibabu ya mama yake kwako wewe atabaki kuwa mwizi ila kwa mama yake ni shujaa.
 
Pesa za malori 50 zinaajiri madokta wangapi? Zingeenda kwenye mafuta ya VX. Ma V8.
Mwizi aliyeiba mkate akamgawia mwenye njaa.
Ubadhirifu na wizi vyote vinaliathiri Taifa.
Pesa yangu ya Tozo ukanunue Lori hujui uchungu ninaiosikia wakati nakatwa hiyo tozo.

Hayo Malori nitayaanika humu ili Wananchi wakayagawane wauze spea ili wajirejeshee tozo zao.
 
Mama bado nampenda ila nadhani ameshafeli kuwashughulikia wezi.

Majizi yanapora halafu yanamsifia kwenye mabango.

Akikasirika yanamualika futari.

Yarabi maulana tunusuru.
 
Ubadhirifu na wizi vyote vinaliathiri Taifa.
Pesa yangu ya Tozo ukanunue Lori hujui uchungu ninaisikia wakatu nakatwa hiyi tozo.

Hayo Malori nitayaanika humu ili Wananchi wakayagawane wauze spea ili wajirejeshee tozo zao.
Yap, Wewe utapata uchungu ila dereva aliyesota mtaani na sasa kakabidhiwa funguo atapata furaha.

Hili halimfanyi mwizi kuwa kafanya jambo jema kuiba isipokuwa wizi wake umepeleka matumaini kwa mtanzania mwingine tofauti na hizo pesa angenunua appartment dubai.
 
Yap, Wewe utapata uchungu ila dereva aliyesota mtaani na sasa kakabidhiwa funguo atapata furaha.

Japokuwa hii haimfanyi mwizi kuwa kafanya jambo jema kuiba.
Nabishana na Zezeta.
 
Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.

Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.

Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.

Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.

Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.

Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.

Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.

Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Nilikwambia toka Mwanzo kwamba Samia aliwahi sema kwamba hajawahi gombea Wala kunui jambo akashindwa katika maisha yake na ndivyo itakuwa.

Ngoja tuache mda uongee.
 
Huyu mama Yuko vizuri sana na nimpenda haki tofauti na viongozi wengi wapendwa sifa. Naunga mkono hoja mama tumpe nafasi tutaneemeka sana tuu
Mimi nachompendea ni Kiongozi,ukijua maana ya Kiongozi utaelewa na anajaribu kujenga Imani kwenye mifumo na watu aliowapa madaraka na sifa kubwa hajawahi fanya mambo Kwa mihemko Wala pressure ana utulivu mkubwa.
 
Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.

Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.

Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.

Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.

Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.

Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.

Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.

Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
Leo ametangaza ajira Afisa Maendeleo ya jamii nafasi 800
 
Nilikwambia toka Mwanzo kwamba Samia aliwahi sema kwamba hajawahi gombea Wala kunui jambo akashindwa katika maisha yake na ndivyo itakuwa.

Ngoja tuache mda uongee.

Usisahau Enzi za Magu alikuwa akitangaza kila.mwaka ajira 50k na haikuwa kutumizwa. Kila siku uhakiki uhakiki mpaka anaaga dunia haikuwahi fika ajira hata 2k
 
Mungu aendelee kumbariki Mama yetu mpendwa.
Mwanzo mimi ni moja ya watu ambao sikuamini kwamba Rais wetu mpendwa atatuvusha katika utawala wake.

Lakini baada ya kuzitazama tawala zote 6 toka tupate uhuru pengine Rais Samia kwa mtazamo wangu ni Rais mwadilifu baada ya Hayati julius Nyerere.

Ndiye rais ambaye hana makelele na hotuba za kujitetea yupo direct ikiwa nyeusi atakwambia nyeusi.

Akisema ni usiku hauna haja ya kutoka nje kama kipindi cha Kikwete na Magufuli kuchungulia kama kweli jua haliwaki.

Mwanzo nilikuwa na mashaka kwenye kodi lakini kwa Sasa serikali ndio inakusanya kodi kuliko wakati wowote tena bila kutumia nguvu.

Nikawa na wasiwasi kwenye ajira Sasa naona kila mwaka ajira zinazidi kumwagwa tu hata kama watu wanalipa kodi wanajua watoto na ndugu zao watapata ajira.

Transparent kwenye serikali yake watu wanasema pesa zinapotea Sana ukweli report za CAG toka miaka ya 1961 hakuna report ambayo serikali ilikuwa safi na pengine tunaona pesa zimepotea Sana kwa sababu ya uwazi wa mama ndani ya serikali yake ila toka utawala wa Nyerere pesa uwa zinapotea.

Mama apewe mitano tena 2025-2030 ana kitu na tutafika mbali sina ninachomdai.
 
Back
Top Bottom