Rais Samia anachapa kazi ila hazitangazwi ipasavyo. Wasaidizi wa Rais fanyeni kazi ipasavyo

Rais Samia anachapa kazi ila hazitangazwi ipasavyo. Wasaidizi wa Rais fanyeni kazi ipasavyo

Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
umeongea kitu kikubwa ambacho nilkuwa na kiwaza. viongozi wengi hawasemi mamba yanayofanywa . mama awe makini sana
 
Kafanya mema 10 kavuruga 1 kwenye mkataba wa Bandari na wajomba zake Waarabu wa Dubai kaharibu kila kitu!
Tumepoteza Imani naye kwa kiasi kikubwa Sana, inaelekea ikibidi akae madarakani mpaka 2030 nchi hii kwishnei! [emoji848]
FB_IMG_1686166277351.jpg
FB_IMG_1686074170313.jpg
 
Zuhura Yunus,

Changamka, mama asikike. Usikae kusubiri kuandika wanaoteuliwa tu.

Watu wana hamu ya kujuwa heka heka zote za mama.
 
Unamshaurije wakati hayo unayomshauri ye alishayakataa;
1. Alisema hataki kumuona waziri akiwa na wapiga picha wa tv wala redio..leo husikii hata Ummy katembelea kituo cha afya na kutoa maendeleo ya kituo kilipofikia ama serikali kupeleke vifaa tiba(labda hakuna).
2. Zile ziara za kina Seleman Jafo za kukagua miradi mbalimbali nchini hakuna tena, sababu aliwakataa kina Jofu kwa kuona watapata umaarufu kuliko yeye.
3. We mwenyewe umeshuhudia kawatoa wapiga kazi kawaweka failures. Alimtoa Kalemani, akamtoa Lukuvi, akamtoa Ally Happi mchapakazi na akamkimbiza Polepole..ndio hao kina Makala kwake akaona wa maana..

Sie tuliliona hili toka mwanzo tukasema tukaitwa sukuma gang.

Miaka kadhaa enzi za JK ilikuwa hivi hivi, serikali ilikuwa haitoi taarifa. Simply tukaamini imelala. Baadaye wakaja kushtuka ndipo JK akaamrisha mawaziri watembee mikoani kueleza serikali imefanya nini..wee ile ziara kama sikosei ilianzia Mbeya na ikazikwa Mbeya, maana wananchi waliwapopoa na mawe ikabidi jamaa wasitishe.
 
bonde la mto msimbazi limemshindwa na mkopo keshakula.ni failure
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo;

I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.

Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika. Endelea mama kuchapakazi

IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Kama kuna kazi yoyote ya maana Samia anafanya basi kazi hizo zitamtangaza zenyewe na sio propaganda.
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo;

I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.

Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika. Endelea mama kuchapakazi

IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Nonsense
 
Back
Top Bottom