Rais Samia anafanya makusudi tu

Rais Samia anafanya makusudi tu

Acheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
Mawazo ya Kijinga ndiyo yanayowaponza waafrika
Ardhi yenye Rutuba na Maji maengi halafu vyakula vinakia Bei juu. Hiví china wananunua chakula Gani kutoka Tanzania?
Huwezi kuwa na uchumi Mzuri kama Bei ya chakula IPO juu.
Watu wanatakiwa wawekeze kwenye kilimo Kwa wingi Ili chakula kiwe kingi kiuzwe Bei Rahisi SIO Bei KUBWA. Uzalishaji unatakiwa uwe juu SIO kuzalisha Kidogo Bei KUBWA ni Dalili ya uvivu.
Afrika tuna wapumbavu wengi na wanachagua watu wanaofanana na wao. Watu wajinga kamwe hawawezi kuchagua viongozi makini.
Wabunge wanajadili mambo ya kawaida sana. Suala la Ukame Wala halijaanza leo watu wanatoa mapovu Utafikiri ukame umeanza leo.Tangu enzi za Farao ukame Ulikua unatokea Duniani. Gaddafi alibadili Jangwa kuwa sehemu ya Kilimo na sehemu ya kijani. HUKU akiwa amezungukwa na nchi zenye watu Wa ajabu wasio na maono Wala huruma Kwa watu wao zaidi ya huruma Kwa Wanasiasa kulindana wasipoteze nafasi ZAO.

Kifupi watanzania tubadilike kwenye chaguzi kuanzia serikali za mitaa. Kuchagua wapumbavu iwe ni mwiko. Wanajulikana wasiofaa ni Bora kuwachapa viboko
 
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie

Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?

Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.

Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!

Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?

Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?

Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?

Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732

Wataalam wa Kilimo akiwemo Waziri Bado hawajamshauri Raisi,Bado hawajaona Kama Kuna Tatizo
Wanasema Wacha Soko Huru,Yaani Demand &Supply itawale Soko,Wakulima wamekuwa wakilia Muda Mrefu kuhusu Bei,Kwahiyo wacha Wauze tuu Nchi Jirani![emoji12][emoji30]
Mambo ni Mazuri Huku Juu kwani Kuna Shida Nchini Ya Chakula???
Bado Haijafikia Hatua Ya Kufungulia Maghala,?Tuna Maghala na Chakula Cha Kutosha Maghalani Alisikika Kiongozi mmoja wa Mambo ya Kilimo akiwaambia wakuu wake na Ndio Msimamo wao?
 
Naona wakosoani na wasiomoenda Rais Samia wanataka kitumia ukame kama fimbo ya ku mkososoa. Iko hivi, Rais Samia ametutoa katika utawala wa mabavu, ametutoa katika nchi ambayo uchumi ulikuwa unaenda kuanguka kwa kukumbatia sera za kijinga. Ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa imeanza kutengwa kimataifa...ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa haivutii wawekezaji, sasa tumeanza kurudi kwenye mstari.

Msitumie madhara ya ukame kama udhaifu wa Rais. Ukame ni natural. Pengine kama Rais JPM angeendeleza mikakati.iliyo achwa na mtangulizi wake athari.za ukame zisingekuwa kubwa hivi. Lakini yeye aliweka pembeni mipango yote ya serikali akaja na mipango yake ya kukurupuka.
Hujui hata kuandika.
Shut up
 
Nchi yetu inaendeshwa bila Vipaumbele. yani nchi gani inakua kama kilabu cha pombe.. yani kila Rais anayekuja anafanya anavyojisikia yy anaondoka..

Nchi haina mipango..haina maono. hovyooo
Hayo ni matokeo ya Katiba mbovu
 
Acheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
Kwa taarifa yako hakuna mkulima mwenye Mahindi Mahindi yapo kwa matajiri me hii ni field yangu so naongea nikiwa na uhakika 100%
 
Nadhani JPM ALIKUA na Baraka Fulani Kwa wanyonge. JAPO kuna Mahali Nilikua sikubaliani Naye.
Lakini Kwa Miaka Mitano ya uongozi wake mvua zilinyesha za kutosha na Maji yalikua MENGI na vyakula vingi. Maono yake ya kuzuia chakula kutoka Nje yamelinusuru Taifa kuingia kwenye baa la njaa Kwa Miaka hii miwili mwaka Jana na mwaka huu. Kama SIO Akiba KUBWA ya chakula iliyokuwepo Hali ingekua mbaya sana.

Watu wanapaswa pia kukumbuka mazuri ya JPM. Sio kumponda Kwa sababu ya kuwabana majizi na wanafiki wanaoshiba kutokana na Rushwa za Siasa HUKU Taifa likiwa halina mipango ya muda mrefu.

Alikopa Lakini alisimamia Mikopo Kwa nguvu zote Bila kuwahurumia wezi waliojaribu kuiba fedha za umma.

Mama Inabidi awe mkali na asiste kuvunja baraza au kutengua Bila huruma.
 
Rais huwa nashindwa kumuelewa, kama anadanganywa na wasaidizi wake kama wengi wanavyomtetea, je, yeye kwa kupenda kwake mitandao ya kijamii, haoni haya malalamiko ya wananchi anaowaongoza?

Jibu lake ni either jeuri, ujinga, au vyote; kwasababu kwa akili ya kawaida, kama kiongozi unashindwa kutatua kero za wale unaowaongoza, basi umeshindwa kazi.

Kwani nchi haiendeshwi kwa kubebana kirafiki, au kauli za sauti laini isiyobadili hali ya mambo, bali inaendeshwa kwa kila mmoja wao pale alipo, kutambua majukumu yake na kuyatekeleza ipasavyo, bila kuleta ngonjera za data za kupika zisizoendana na uhalisia field, yule anayeshindwa aondolewe.

Lakini kuendelea kuwa nae ni ujinga wa anaewateua, kwa sababu mwisho wa siku, incompetency yao inamponza yeye kiongozi.

jibu ni hilo la kwanza. ANADANGANYWA, HAAMBIWI UKWELI NA WA WATUMISHI WAKE.
 
Mchele kilo 20 huku Mbeya ni elfu sitini. I mean 60, 000/=
 
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie

Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?

Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.

Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!

Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?

Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?

Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?

Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Inasikitisha sana, wiki iliyopita nilik
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie

Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?

Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.

Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!

Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?

Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?

Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?

Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Wiki iliyopita nilikuwa wilaya za Kibondo na Kasulu nilishangaa kuona magari yenye namba za Rwanda, Kenya na Burundi kuwa vijijini kununua mazao ya chakula muhogo na maharage direct kutoka Kwa wakulima , kwa nini tunashindwa kulinda soko letu ?
 
Acheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
Mkulima yupi anayefaidika na hii bei??...wakulima kila siku wanapanga foleni kununua unga Kwa mangi...Mangi kashanunua mazao Yao yote kipindi Yana bei ndogo...Sasa hivi anayefaidika ni Mangi ( mfanyabiashara)..Mkulima Hana hata kilo mbili za mazao aliyolima Kwa mikono yake
 
Tatizo mali za urithi kwa mswahili, mwenye upeo mdogo, siku zote ulaji wake unakuwa si wakistaarabu
 
Back
Top Bottom