abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Ninyi watanganyika c mnajifanya kulazimisha huu muungano mtajua hamjui
Muhimu ni deni liwe separated,kiasi kitakachokwenda zanzabar kijulikane ili kila upande uwajibike katika ulipaji wa deni Kwa kiasi ilichochukua,na sio deni loote liangukie upande mmoja wa jina la MKOPAJI itakuwa ni dhambi.