Rais Samia anajua akikopa asilimia 21 ya mkopo unaenda Zanzibar. Watanganyika wamelala usingizi

Rais Samia anajua akikopa asilimia 21 ya mkopo unaenda Zanzibar. Watanganyika wamelala usingizi

Mtoa mada acha upotoshaji, Zanzibar watapata dola za marekani mil.450 (Tzs.1T) out of Tzsh.7 Tilioni ..

Percentage wise ni 15% vs 85% sasakuna shida gani? Na kulipa ni hivyo hivyo.

Screenshot_20220112-113001.png


Screenshot_20220112-113028.png


Screenshot_20220112-112945.png
 
Kuna mijitu ipo radhi ipofolewe jicho moja ili tu jirani yake apofolewe yote asione kabisa roho mbaya sana hii.
 
Hata hii trillion 7 wanayopigia kelele zanzibar itapata trillion 1.3 kwa hiyo yenye faida ni zanzibar ila watanganyika faida ni ndogo ukilinganisha na eneo na idadi ya watu!

Rais kwa kuwa ni Mzanzibar anatumia ho mwanya ila kwa vile watanganyika hatuwezi kuhoji na ukihoji unasakamwa kama Ndugai!

The level of reasoning is very low! Ni mda wa wazanzibar kutumia kivuli ya Watanganyika kujimemesha!

Kwenye ajira pia hakuna uwiano juzi hapa wametangaza ajira bila shaka TRA asilimia 20 wanapewa Wazanzibar! Je hapo **** uwiano Sawa?

Viongozi wetu watanganyika mpo tu kwa vile mnataka madaraka kila kitu ndio mwalimu!
Zanzibar inahudumiwa na bara kwa kila kitu mpaka mishahara, ndiyo maana watu wake ni wavivu kupita kiasi
 
Kichwa chako kina Acid very conki., Kwanini Tanganyika muliamua kuunga na Nchi yenye idadi ndogo ya watu? Kwanini hamukuungana na Nchi kama Nigeria/Algeria nk., mkaamua Zanzibar tu

Idadi ya watu sio kigezo cha wewe kupata chingi huyu akapata kidogo kutokana na idadi yao., Zanzibar ni nchi huru kama ilivyokuwa tanganyika na ziliungana kwa hiari benefits zilitakiwa ziwe sawa bin sawiya lakini kwasababu Tanganyika na Mchongameno alikuwa na lengo la kuilaghai zanzibar ndio yanatokea haya yoote.,

Duniani kote hakuna aina muungano kama huu ni udhalimu mtupu.

Zanzibar ndio iliyotoa fedha nyingi zaidi za kigeni kuanzishwa BOT kuliko Tanganyika lakini tunapokuja kwenye mapato na BOT yenyewe inaonekana ni mali ya Tanganyika.

Kama mnaona zanzibar ni idadi ndogo ya watu basi vunjeni mkaungane na marekani na nchi nyengine wakubwa wenzenu lakini mnangania.

Ni nchi ya Zanzibar pekee duniani inalipa kodi 2., kodi moja ZRB ni kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar lakini kodi ya pili TRA hizi fedha zoote zinaenda Tanganyika na Zanzibar hawapati mgao wowote toka TRA ni vile Tanganyika mnaneemeka kupitia jasho la Wazanzibari, mnalipana mishahara, chakula na maposho mbali mbali na maendeleo yenu kujenga barabara, reli, sgr sijuwi mabwawa na kila kitu

Tokea uhuru hakuna maendeleo yoyote Tanganyika ilipeleka Zanzibar wao ni wao na watu wao tu., lakini ofisi za TRA kule Zanzibar zimetaradadi kila kona kuwakamua wazanzibari na ndio mana hamtaki kuwaachia.,

Zanzibar sasa imekosa meno hata kujitafutia misaada nje ya nchi mpaka kibali kitoke Tanganyika, Kina Lukuvi hao walisema makanisani hawataiwacha zanzibar kwa sababu muna maslahi makubwa kwenye maisha yenu kutokea Zanzibar.

Nchi kubwa zipo tele duniani kaunganeni nao iachieni Zanzibar wakaungane na jirani zao comoro nk
Karume aliwauza usiwalaumu wabara..
Kero zitarudi tu baada ya ungwe hii kuisha mrudie uamsho wenu.
 
Hii inawezekana ndio sababu ya serikali ya Samia kukopa mfululizo kila siku, anafanya hivyo ili ndugu zake wazanzibari wapate mgao wao akijua kwasababu ya udogo wao watapiga hatua upesi zaidi ya bara.

Samia mjanja sana, anawatengenezea "madili" wazanzibari kwa mgongo wa bara ndio maana anakuwa mkali kujibu hoja kama hizi, anaishia kuwasuta watu huku wabara wenyewe tukimshangilia ikulu - mental slavery.
Ni kweli kabisa, yaani maza ametuweka kiganjani.
 
Wazanzibar kama nchi hatuna huo muda wa kulipa hiyo mikopo, mikopo inalipwa na watanzania kupitia kodi zao, ambapo huenda 98% ni watanganyika.

Zanzibar hatukuomba hiyo mikopo, huo mgao ni sehemu tu ya kujipendekeza kwa serikali ya Tanzania kwa wazanzibar.
Dah!!,Sawa mpemba,Sasa hivi Naona mna jeuri kweli,hadi mnatunyea vichwani.Offcourse ni zamu yenu kutesa.
 
Hata hii trillion 7 wanayopigia kelele zanzibar itapata trillion 1.3 kwa hiyo yenye faida ni zanzibar ila watanganyika faida ni ndogo ukilinganisha na eneo na idadi ya watu!

Rais kwa kuwa ni Mzanzibar anatumia ho mwanya ila kwa vile watanganyika hatuwezi kuhoji na ukihoji unasakamwa kama Ndugai!

The level of reasoning is very low! Ni mda wa wazanzibar kutumia kivuli ya Watanganyika kujimemesha!

Kwenye ajira pia hakuna uwiano juzi hapa wametangaza ajira bila shaka TRA asilimia 20 wanapewa Wazanzibar! Je hapo **** uwiano Sawa?

Viongozi wetu watanganyika mpo tu kwa vile mnataka madaraka kila kitu ndio mwalimu!
Nafikiri inaenda kwa asilimia za mikoa as the primary level ya government. Sio issue
 
Hii trillion 7 inakopwa kwa awamu ndani ya miaka mitano..
Ukijumlisha na ile 1.3 trillion itakuwa 8.3 trillion ndani ya miaka mitano..
Magu alikopa 29.6 trillion, hela ambazo zingetosha kumaliza miradi ila ni nusu tu ya miradi imekamilika na hela haionekani..

Hii Zanzibar inaongelewa sana kwaajili ya mama! Yani inaonekana ndio weak point yake baada ya kumkosa kila mahali. Hivi nyumbani ulipozaliwa panawezaje kuwa weak point yako?Marais waliopita walishirikiana vipi na Zanzibar kwenye mikopo kwamba mama amekuwa tofauti sana?
Taarifa ya mkopo wa
Watanganyika hawajawahi kuamka usingizini, walipewa uhuru kama pipi kutoka kwa muingereza, wakachomwa sindano ya nusu kaputi ya kijani na kulala kama wafu mpaka leo hii. Tuwaache waendelee kulala hivyo hivyo.
We ulipambana au ulisaidiwa na watanganyika chini ya mganda John Okello?
 
Hii trillion 7 inakopwa kwa awamu ndani ya miaka mitano..
Ukijumlisha na ile 1.3 trillion itakuwa 8.3 trillion ndani ya miaka mitano..
Magu alikopa 29.6 trillion, hela ambazo zingetosha kumaliza miradi ila ni nusu tu ya miradi imekamilika na hela haionekani..

Hii Zanzibar inaongelewa sana kwaajili ya mama! Yani inaonekana ndio weak point yake baada ya kumkosa kila mahali. Hivi nyumbani ulipozaliwa panawezaje kuwa weak point yako?Marais waliopita walishirikiana vipi na Zanzibar kwenye mikopo kwamba mama amekuwa tofauti sana?
Taarifa ya mkopo wa magufuli mil 29.6 uliutoa wapi? Mnakuwa waongo sana nyie
Watanganyika hawajawahi kuamka usingizini, walipewa uhuru kama pipi kutoka kwa muingereza, wakachomwa sindano ya nusu kaputi ya kijani na kulala kama wafu mpaka leo hii. Tuwaache waendelee kulala hivyo hivyo.
We ulipambana au ulisaidiwa na watanganyika chini ya mganda John Okello
 
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye Atlas au Google Maps?
 
Hata hii trillion 7 wanayopigia kelele zanzibar itapata trillion 1.3 kwa hiyo yenye faida ni zanzibar ila watanganyika faida ni ndogo ukilinganisha na eneo na idadi ya watu!

Rais kwa kuwa ni Mzanzibar anatumia ho mwanya ila kwa vile watanganyika hatuwezi kuhoji na ukihoji unasakamwa kama Ndugai!

The level of reasoning is very low! Ni mda wa wazanzibar kutumia kivuli ya Watanganyika kujimemesha!

Kwenye ajira pia hakuna uwiano juzi hapa wametangaza ajira bila shaka TRA asilimia 20 wanapewa Wazanzibar! Je hapo **** uwiano Sawa?

Viongozi wetu watanganyika mpo tu kwa vile mnataka madaraka kila kitu ndio mwalimu!
Acha uchochezi usio na maana. Kwa kawaida naamini mtu kutoa mawazo huru. Ila kuna kama nyinyi mnaotumia mwanya huo kuchochea. Hukufanya utafiti wowote wa unayoyasema, wivu tu wa ki..nga! Kwani Zanzibar ni Burkina Faso siyo Tanzania? Ukitaka anza kuhoji muungano ubadilishwe, siyo vitu vya kipuuzi kama hivi ambavyo ni matokeo ya aina ya muungano uliopo.
 
Iliyokopa ni Jamhuru ya Muungano. Siyo Tanganyika.

Mmeinyonya zanzibar kwa muda wa miaka mingi sana.
Hebu fafanua huo unyonyaji.Maana km ni chakula tunawalisha,km ni rasilimali bara zipo full,Kielimu tunawabeba sana maana mmejaa kwenye vyuo vyetu km kumbimbuki lkn sisi huko wala hatuji kusoma,Ninyi ni Parasite.
 
Back
Top Bottom