Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Sasa wewe unashauri nini kifanyike mkuu? Tuendelee kukandamizwa hivi hivi au kuna jambo tunatakiwa kufanya 2025?
 
Sasa wewe unashauri nini kifanyike mkuu? Tuendelee kukandamizwa hivi hivi au kuna jambo tunatakiwa kufanya 2025?
Hakuna wa kukukandamiza sana sana unajikandamiza wewe mwenyewe kwa kuja na mawazo yenye chembe chembe za chuki ndani yake.
 
Bila mifano ha lisi huu ni umbea tu!
Hauhitaji mifano kwani kila kitu kipo wazi mkuu. Je, yule mpemba wa baraza la mitihani, Dr Said Mohamed, hujawahi kumuona au unajitoa ufahamu kwa makusaudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…