Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Wivu mtupu. JPM alijaza ndugu zake wasukuma, wazinza na wanyantuzu kwenye halmashauri zote nchini na hakuna aliyeinua mdomo wake.
Kwa hiyo wewe unataka hayo mambo yaendelee badala ya kuyakemea na kuyakomesha?
 
Tafuta pesa hayo mawazo sio kwa usalama wako & familia yako na taifa
Natafutaje pesa wakati sina ajira kwa kuwa ajira zote wamechukua wazaznzibar? Kwani ajira sio pesa mkuu?
 
Wabunge wetu ni mazwazwa ndo wametufikisha huko.ndani ya ccm kuna machawa wengi ambao ni maseti tupu vichwani mwao
Wabunge wote ni machawa na wachumiatumbo wakubwa. Rais Samia aliapa kuilinda katiba lakini leo hii anaisigina lakini wabunge wote wamekaa kimya. Nchi ya ovyo sana hii.
 
Acheni mashangingi wafanye Kazi zao za udangaji na viongozi wanaojitambua wapelekeni ikulu. Acheni kuchanganya mambo
 
Tulizoea kuona wazaznzibar (maarufu kwa jina la wapemba) wametapakaa kila mahali hapa Tanganyika wakifanya biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. Hili kama watanganyika hatuna shida nalo. Hawa ni wajasiriamali na watafutaji kama walivyo watu wa mataifa mengine waliomo hapa nchini. Tunao wachina, wahindi, wakenya, n.k, na haijawahi kuwa shida.

Kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni kitendo cha Rais Dr Samia kuwachukua wazanzibar (hata wasiokuwa na vigezo) na kuwapa vyeo hapa Tanganyika wakati watanganyika hawana kazi. Ukitembelea kwenye ofisi za umma utashangaa kuona utitiri wa wazanzibar wakiwa wamepewa nyadhfa mbali kama vile wakurugenzi, DAS, RAS, wakuu wa mashirika ya umma, wenyeviti wa bodi mbalimbali, n.k. Rais anafanya haya yote kwa makusudi na kwa lazima huku akiwaacha watanganyika wakipuyanga bila kazi. Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.

Ndugu wanaJF na wananchi kwa ujumla, tuhuma hizi hazijaanza leo. Soma baadhi ya nyuzi zilizowahi kuwekwa humu kulalamikia upendeleo unaofanywa na mamlaka kwenye teuzi mbalimbali:

1. Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

2. Teuzi za Rais Samia kulikoni?

3. Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Kelele za watanganyika kukosa kazi baada ya kuhitimu zipo dhahiri. Hata humu JF siku za karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi zinazoonyesha wasomi wa Tanganyika kuhitimu vyuo vikuu na kuishia kufanya kazi za ovyo ovyo wakati kazi walizostahili kufanya zinagawiwa ovyo kwa wazanzibar. Nyuzi zifuatazo ni sehemu ya ushahidi huo:

1. Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

2. Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

3. Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

MAONI YANGU
Idadi ya watu wa Zanzibar (Pemba, Unguja na visiwa vingine) haipindukii milioni moja. Tanganyika ina idadi ya zaidi ya watu milioni 64. Sasa iweje Zanzibar yenye watu wachache kiasi hiki wananchi wake wapewe kipaumbele huku watanganyika walio wengi wanaendelea kusaga meno?

Ifike mahali katiba itamke bayana idadi ya nafasi wanazostahili wazanzibar (kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu) badala ya kufanya teuzi kibubu na kusababisha malalamiko. Na tunapendekeza hili jambo liingizwe kwenye katiba mpya kabisa ili kukata mzizi wa fitna.

Nawasilisha.
Huu muungano wa mchongo bora uvunjike tu. Tabu yote hii ni CCM kung'ang'ania huu muunguno unaowanufaisha wala urojo,lakini ipo siku na haiko mbali tutawafurusha tu.
 
Hii issue naona kila siku tutazidi kulaumiana tu, ikipatikana Katiba bora ikawabana hawa jamaa kufanya haya mambo ndio tutapata majibu ya maana, lakini tofauti na hapo sioni kama midomo yetu itakuja kuwafunza chochote hawa watawala.

Bila shaka Samia alijifunza kwa Magufuli, akaona jinsi mambo yalivyokuwa yakifanywa na mtangulizi wake, nae amekuja kuendeleza pale alipoishia mtangulizi wake, inshort ana experience na exposure ya kile anachokifanya ndio maana haogopi chochote.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wew ni pimbi hujui chochote mbwa wew
 
Huu muungano wa mchongo bora uvunjike tu. Tabu yote hii ni CCM kung'ang'ania huu muunguno unaowanufaisha wala urojo,lakini ipo siku na haiko mbali tutawafurusha tu.
Uvumilivu una mwisho. Ipo siku uvumilivu utafika mwisho na hapo ndipo watu watalia na kusaga meno. Huu upumbavu unaoendelea hapa nchini bila kificho utakuja kuleta maafa kwa taifa.
 
Acha kujichanganya Mheshimiwa RAIS anahaki na sifa za kikatiba kufanya HAYO unayosema na siyo kwamba anapendelea .Kwa hiyo weka siasa pembeni twende kwenye uhalisia wa maisha.LETE MADA YENYE MISAADA KWETU SISI VIJANA NA SIYO KULALAMIKA TU.SAWA?!!!
 
Tulizoea kuona wazaznzibar (maarufu kwa jina la wapemba) wametapakaa kila mahali hapa Tanganyika wakifanya biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. Hili kama watanganyika hatuna shida nalo. Hawa ni wajasiriamali na watafutaji kama walivyo watu wa mataifa mengine waliomo hapa nchini. Tunao wachina, wahindi, wakenya, n.k, na haijawahi kuwa shida.

Kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni kitendo cha Rais Dr Samia kuwachukua wazanzibar (hata wasiokuwa na vigezo) na kuwapa vyeo hapa Tanganyika wakati watanganyika hawana kazi. Ukitembelea kwenye ofisi za umma utashangaa kuona utitiri wa wazanzibar wakiwa wamepewa nyadhfa mbali kama vile wakurugenzi, DAS, RAS, wakuu wa mashirika ya umma, wenyeviti wa bodi mbalimbali, n.k. Rais anafanya haya yote kwa makusudi na kwa lazima huku akiwaacha watanganyika wakipuyanga bila kazi. Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.

Ndugu wanaJF na wananchi kwa ujumla, tuhuma hizi hazijaanza leo. Soma baadhi ya nyuzi zilizowahi kuwekwa humu kulalamikia upendeleo unaofanywa na mamlaka kwenye teuzi mbalimbali:

1. Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

2. Teuzi za Rais Samia kulikoni?

3. Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Kelele za watanganyika kukosa kazi baada ya kuhitimu zipo dhahiri. Hata humu JF siku za karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi zinazoonyesha wasomi wa Tanganyika kuhitimu vyuo vikuu na kuishia kufanya kazi za ovyo ovyo wakati kazi walizostahili kufanya zinagawiwa ovyo kwa wazanzibar. Nyuzi zifuatazo ni sehemu ya ushahidi huo:

1. Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

2. Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

3. Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

MAONI YANGU
Idadi ya watu wa Zanzibar (Pemba, Unguja na visiwa vingine) haipindukii milioni moja. Tanganyika ina idadi ya zaidi ya watu milioni 64. Sasa iweje Zanzibar yenye watu wachache kiasi hiki wananchi wake wapewe kipaumbele huku watanganyika walio wengi wanaendelea kusaga meno?

Ifike mahali katiba itamke bayana idadi ya nafasi wanazostahili wazanzibar (kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu) badala ya kufanya teuzi kibubu na kusababisha malalamiko. Na tunapendekeza hili jambo liingizwe kwenye katiba mpya kabisa ili kukata mzizi wa fitna.

Nawasilisha.
Waache wataviacha tu
 
Kinacho takiwa ni kuvunja huo upuuzi unaitwa "muungano" usio kua na maana hata kidogo, ili Kila mmoja afunge magoli yake😡😡😡, wapigie mstali hadi dunia inapinduka hawatawahi tena kutawala tanganyika, washukuru kuogota pooza chini ya mnazi 😡😡😡
Good sijataka hata kuendelea kusoma kote
 
Waafrika shida sana.

Marekani ilikua na majimbo zaidi ya 50 baada ya kuungana hakujawahi kuwa na kelele imekua nchi moja.

Sisi hapa vi nchi viwili tu ila kila nchi ina Rais na wabunge kama nchi kamili na kila mtu anajitutumua.
 
Tulizoea kuona wazaznzibar (maarufu kwa jina la wapemba) wametapakaa kila mahali hapa Tanganyika wakifanya biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. Hili kama watanganyika hatuna shida nalo. Hawa ni wajasiriamali na watafutaji kama walivyo watu wa mataifa mengine waliomo hapa nchini. Tunao wachina, wahindi, wakenya, n.k, na haijawahi kuwa shida.

Kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni kitendo cha Rais Dr Samia kuwachukua wazanzibar (hata wasiokuwa na vigezo) na kuwapa vyeo hapa Tanganyika wakati watanganyika hawana kazi. Ukitembelea kwenye ofisi za umma utashangaa kuona utitiri wa wazanzibar wakiwa wamepewa nyadhfa mbali kama vile wakurugenzi, DAS, RAS, wakuu wa mashirika ya umma, wenyeviti wa bodi mbalimbali, n.k. Rais anafanya haya yote kwa makusudi na kwa lazima huku akiwaacha watanganyika wakipuyanga bila kazi. Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.

Ndugu wanaJF na wananchi kwa ujumla, tuhuma hizi hazijaanza leo. Soma baadhi ya nyuzi zilizowahi kuwekwa humu kulalamikia upendeleo unaofanywa na mamlaka kwenye teuzi mbalimbali:

1. Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

2. Teuzi za Rais Samia kulikoni?

3. Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Kelele za watanganyika kukosa kazi baada ya kuhitimu zipo dhahiri. Hata humu JF siku za karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi zinazoonyesha wasomi wa Tanganyika kuhitimu vyuo vikuu na kuishia kufanya kazi za ovyo ovyo wakati kazi walizostahili kufanya zinagawiwa ovyo kwa wazanzibar. Nyuzi zifuatazo ni sehemu ya ushahidi huo:

1. Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

2. Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

3. Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

MAONI YANGU
Idadi ya watu wa Zanzibar (Pemba, Unguja na visiwa vingine) haipindukii milioni moja. Tanganyika ina idadi ya zaidi ya watu milioni 64. Sasa iweje Zanzibar yenye watu wachache kiasi hiki wananchi wake wapewe kipaumbele huku watanganyika walio wengi wanaendelea kusaga meno?

Ifike mahali katiba itamke bayana idadi ya nafasi wanazostahili wazanzibar (kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu) badala ya kufanya teuzi kibubu na kusababisha malalamiko. Na tunapendekeza hili jambo liingizwe kwenye katiba mpya kabisa ili kukata mzizi wa fitna.

Nawasilisha.
🗑️🗑️🗑️🗑️
 
Back
Top Bottom