Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Wivu mtupu. JPM alijaza ndugu zake wasukuma, wazinza na wanyantuzu kwenye halmashauri zote nchini na hakuna aliyeinua mdomo wake.
Kwa hiyo wewe unataka hayo mambo yaendelee badala ya kuyakemea na kuyakomesha?
 
Tafuta pesa hayo mawazo sio kwa usalama wako & familia yako na taifa
Natafutaje pesa wakati sina ajira kwa kuwa ajira zote wamechukua wazaznzibar? Kwani ajira sio pesa mkuu?
 
Wabunge wetu ni mazwazwa ndo wametufikisha huko.ndani ya ccm kuna machawa wengi ambao ni maseti tupu vichwani mwao
Wabunge wote ni machawa na wachumiatumbo wakubwa. Rais Samia aliapa kuilinda katiba lakini leo hii anaisigina lakini wabunge wote wamekaa kimya. Nchi ya ovyo sana hii.
 
Acheni mashangingi wafanye Kazi zao za udangaji na viongozi wanaojitambua wapelekeni ikulu. Acheni kuchanganya mambo
 
Huu muungano wa mchongo bora uvunjike tu. Tabu yote hii ni CCM kung'ang'ania huu muunguno unaowanufaisha wala urojo,lakini ipo siku na haiko mbali tutawafurusha tu.
 
Wew ni pimbi hujui chochote mbwa wew
 
Huu muungano wa mchongo bora uvunjike tu. Tabu yote hii ni CCM kung'ang'ania huu muunguno unaowanufaisha wala urojo,lakini ipo siku na haiko mbali tutawafurusha tu.
Uvumilivu una mwisho. Ipo siku uvumilivu utafika mwisho na hapo ndipo watu watalia na kusaga meno. Huu upumbavu unaoendelea hapa nchini bila kificho utakuja kuleta maafa kwa taifa.
 
Acha kujichanganya Mheshimiwa RAIS anahaki na sifa za kikatiba kufanya HAYO unayosema na siyo kwamba anapendelea .Kwa hiyo weka siasa pembeni twende kwenye uhalisia wa maisha.LETE MADA YENYE MISAADA KWETU SISI VIJANA NA SIYO KULALAMIKA TU.SAWA?!!!
 
Waache wataviacha tu
 
Good sijataka hata kuendelea kusoma kote
 
Waafrika shida sana.

Marekani ilikua na majimbo zaidi ya 50 baada ya kuungana hakujawahi kuwa na kelele imekua nchi moja.

Sisi hapa vi nchi viwili tu ila kila nchi ina Rais na wabunge kama nchi kamili na kila mtu anajitutumua.
 
πŸ—‘οΈπŸ—‘οΈπŸ—‘οΈπŸ—‘οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…