We utafurahi kuona dada yako ni msimbe anadanga tuYaan hapo ni udhalilishaji wa hali ya juu,
Kila mtu huchagua kile kimfaacho, kumsema binti mwanamichezo ati ana flatchest na amekakamaa kama mwanaume hatoweza kuolewa ni dhahiri shahiri hapendi wanawake wawe wana michezo lakini pia wajihisi wao ni wabaya na hawapendezi machoni mwa watu, (Psychological Torture)
Mama hapo amekosea sana, hakupaswa atoe comment ya namna hiyo kwa wanawake wenzie, Ndoa ni sharia lakini sio lazima kwa baadhi ya wengine.
Anaongoza Nchi Kihisia. Hapa Tulipigwa aisee. Maana Mambo ya Kuongea na Binti zake chumbani na Faragha yeye anaongea Public like if anawafunda Wanawake.I thought she had more exposure than late Magufuli, more organized and articulate in her speeches. But, I was wrong.
It's a shame for the President not to know what is and isn't politically correct to speak in public.
She has to apologize for her derogatory remarks concerning women footballers.
JPM alikuwa savi hasa akifika kwa totozi anasfia kwelikweli , hivyo na wanawake wanafurahi.. sasa shida ya akina mama ameone flat wengi kifuani ni wale wanaopendwa sana kaamua kuwakandya ili aonekane yeye ni mrembo licha ya uzee wakeHuyu samia
Ni sawa na jpm tu
Michano ileile tu
Mchezaji wa yanga namba 6Samahani mkuu picha hii ya mwisho ni Mwanamke
Mbona sasa simple solution ni hao wanawake kutokucheza mpira wa miguu! Netball vipi, na vile vi-jezi vyao?Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!
View attachment 1905556
Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'
Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.
Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.
"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.
"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."
She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".
Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.
"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.
"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Siyo tulipigwa tu, ni kama tuliuziwa mbuzi kwenye gunia.Anaongoza Nchi Kihisia. Hapa Tulipigwa aisee. Maana Mambo ya Kuongea na Binti zake chumbani na Faragha yeye anaongea Public like if anawafunda Wanawake.
Muda unavyosonga ndipo tunavyozidi kumfahamu vizuri.JPM alikuwa savi hasa akifika kwa totozi anasfia kwelikweli , hivyo na wanawake wanafurahi.. sasa shida ya akina mama ameone flat wengi kifuani ni wale wanaopendwa sana kaamua kuwakandya ili aonekane yeye ni mrembo licha ya uzee wake
Usidhani watu hawana akili, au hawana kazi ya kufanya. Ni matamshi na maamuzi ya kukera, yanayo kwenda kinyume na sheria, yasiyo na tija kwa wananchi yalioibua hali ya watu kutega sikio kujua leo lipo lipi. Neno lolote toka kwao kiongozi huwa na uzito.Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!
Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?
Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi anajua matatizo yake mwenyewe, anataka wa kufanana na yeye.www.jamiiforums.com
Nyie ndo wale mliokuwa mnamlamba mwendazake miguu. Kumbavu!!!Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!
Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?
Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi anajua matatizo yake mwenyewe, anataka wa kufanana na yeye.www.jamiiforums.com
Huyo uliyemjibu anaonekana ni "pick me".Inahitaji akili nyingi na kuvaa uhusika wa wengine, ukijua neno tafsida na why tafsida na wapi na ili iweje ndio utaelewa. Kuna nyakati waweza kuvaa giza mchana na ukatupa jiwe ukiwa na akili za usiku badala yake hadhira ikakushanga pamoja na jiwe kumpata mmoja. Why, how, where, when would you borrow someone else thinking, and which parameters deem relevant for that matter? But there is always a room for other factors remaining constant.
Presumptions perspective, just.
Its important to tell SSH that Tanzania does not belong to those who vilify others. She got the position by chance because JPM had no choice but to choose someone from Zanzibar. She should watch her language, this is too low for a president.Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!
Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?
Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi anajua matatizo yake mwenyewe, anataka wa kufanana na yeye.www.jamiiforums.com
Si mumuoe jamani!! Sasa wanaume mkisema hivyo wanawake wajibu nini? Ila napita tu [emoji28][emoji28][emoji28]Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi
Kwani malelist nao wanasemaje?Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.
Ngoja feminists wamtafune kwanza.