Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Wakati Rais Museveni akiwalipa mishahara wanamichezo wanaoiletea medali nchi, nchi nyingine wachezaji wanakashfiwa! Kazi tunayo. Ila huenda ikatusaidia 2025 kufanya decisions.
 
na hasa kwenu wanawake msipokaa nao chonjo hao wanaojifanya majike dume, watakubananisheni hata kune kona ya ukuta wakutwangeni msago vilivyo maana nao hawarembeshagi kwa warembowarembo.
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio zao kukoboana hawa wachezaji Wana homa za kiume hata kupata boyfriend ni ngumu, wamekomaa sana hawa, nyonyo tu hawana bana
 
Kwenye hiyo timu hakuna mke wa mtu hata mmoja mwenye ndoa ya ke angalau wawili kwa me moja?
Ni ngumu wanawake Wana vifua flani hawana nyama sasa mwanaume akimgusa hapati hisia kuwa yuko na k, anahisi dume mwenziwe
 
Wangesema wanaume ungesikia wale wanaharati uchwara kwamba wamezalilishwa Sasa katamka mwanamke tena mwenye nafasi kubwa tu ngoja feminist waje na povu
 
Ni ngumu wanawake Wana vifua flani hawana nyama sasa mwanaume akimgusa hapati hisia kuwa yuko na k, anahisi dume mwenziwe

Kama hawafit hata mke mwenza basi kazi iendee wa saidiwe.
 
Uhuru wa vyombo vya habari unaweza ukaturnish image yako in a second!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…