..Ni kweli kuna blauzi maalum kwa ajili ya wanariadha wa kike.Siyo kuwa hawana maziwa; ila maziwa yao siyo makubwa sana na huwa wameyafunga kwa viblauzi fulani ili yasiwe mzigo kwao wanapokuwa michezoni.
Hina ni sunna kwa Muislam bibie [emoji28]Ukiwa kiongozi kuna mambo hutakiwi kuzungumza, au anadhani kuongoza nchi ni sawa na kupaka hina
Wewe, usitishwe na mavitu hayo.Haitendei haki hijab sijui ushungi wake
You're using a lot of meaningless words in a disjointed pattern.She has aired out, what the world can see, itself, though she is burdened, a shifted blame. I like her for standing the truth this time.
She has aired out, what the world can see, itself, though she is burdened, a shifted blame. I like her for standing the truth this time.
Ni kweli Samia siyo sawa na John. Samia ni mwanamke na John alikuwa mwanaume. Samia ni rais wa sasa na John ni rais wa zamani. Samia yu hai wakati John ni hayati. Samia ni Mzenj wakati John alikuwa mbara. Samia ni Muislam wakati John alikuwa Mkristo. Samia siyo daktari wakati Magufuli alikuwa daktari. Samia ni mpole wakati Magufuli alikuwa mkali. Samia aliwahi kuwa makamu wa rais wakati John aliwahi kuwa waziri. Samia anapenda kutumia utani wakati John alikuwa akiutumia mara chache,Rais mzima anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
Heeeeh.... Unamsingizia mambo ya uongo kabisa..... Kwa nini? Acha kumsingizia mambo ya uongoHuyu mama ana akili nyingi kumzidi magufuli. Huwa ana busara na hekma .magufuli alikua kopo tupu
Raisi ameongelea madhara ya michezo ya nguvu kwa "urembo"wa wanawake, alichokisema ni kweli, watoto wa kike michezo(kwa huku Bongo), inawafanya wanakakamaa kama madumeRais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Hakuna ubaya katika alichoongea. Mmezoea tafsida labda ila hapo kasema uhalisia. Au mnataka kutengeneza ma tomboy?Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Ubaya ni kwamba hizo hela zitaishia kuliwa tu; na watakaozila hawatafanywa cho chote. Akina Kigwangalla si wapo tu wanadunda? Subiri ripoti ya CAG ijayo utaona! [emoji51][emoji51][emoji51][emoji83][emoji83][emoji83]Jana nimeona ametangaza kujenga vituo vya afya nchi nzima zaidi ya 180 na pesa tayari zimetumwa huko kwenye lower levels.
Samia kaongea ukweli kwa sisi waafrika tunapenda Nini kwa wanawake. Msambwanda na kifua kijae.Kwa wenye akili na kuona mbali, mama ana pwenti kubwa tu.
Kwa kweli huyo Samenya siyo mwanamke jamani [emoji51]View attachment 1905522
..kama tunataka kushinda medali na sisi tutafute wanariadha kina dada kama hawa.
Hizo ni gaffes za kisiasa ambazo viongozi wote wanazo. Mnamtaka Rais wa nchi awe na uwezo wa kutokukosea? Amekuwa Mungu?I thought she had more exposure than late Magufuli, more organized and articulate in her speeches. But, I was wrong.
It's a shame for the President not to know what is and isn't politically correct to speak in public.
She has to apologize for her derogatory remarks concerning women footballers.
Ni kweli, point yake alishindwa kuipangilia. Alikuwa anahimiza mamlaka ziwatunze Hawa wachezaji baada ya kustaafu maana huko mbele watakutana na changamoto nyingi ikiwamo kutokuelewaHalafu hapo alipokuwa anazungumza kuna watu walimpigia makofi!!
Maajabu!!