Rais Samia anapaswa kupewa mbinu za kujibu interview, wasaidizi wake mmemuangusha

Sasa ulitegemea Samia aseme amemvua uspika Ndugai?
Samia alirespond baada ya Ndugai kukebehi kwamba nchi itapigwa mnada na yeye akajibiwa kwa uhalisia wake, sasa kujiuzulu aliwaza yeye mwenyewe ndugai, asubiri 2030 kama vipi
 

Ndio dawa ya wanafiki, sasa wanageukana, wakati huo walikubaliana na ujinga woote.
Alidhani ni TBC ile.
 
Huu ujinga aliuweza Jiwe tu, na ndio maana aliogopa kusafiri nje ya nchi baada ya kuchemka Uganda. Ukiwa rais huwezi kukwepa kuulizwa maswali kwa wenzetu huko, tena ya papo kwa hapo na sio ya TBCCM.
 
Samia alirespond baada ya Ndugai kukebehi kwamba nchi itapigwa mnada na yeye akajibiwa kwa uhalisia wake, sasa kujiuzulu aliwaza yeye mwenyewe ndugai, asubiri 2030 kama vipi
Mkuu hata hili nalo unataka kukomaa? Mbona jambo ambalo lipo wazi kabisa, haya tufanye basi Ndugai aliamua tu mwenyewe kujiuzulu bila shinikizo lolote.
 
Mkuu hata hili nalo unataka kukomaa? Mbona jambo ambalo lipo wazi kabisa, haya tufanye basi Ndugai aliamua tu mwenyewe kujiuzulu bila shinikizo lolote.
Aila zake ndugai kina lukuvi hao ndio walimwambia sasa kwa ushavyolikoroga hutaweza tena fanya kazi na mama bora andika barua jiuzulu., mama baada ya kumjibu mwisho alisema msameheni
 
Una uhakika anao wasaidizi wenye IQ/akili njema?
 
Ipo haja ya wasaidizi waje kurekebisha hili...nimeona mara nyingi matamshi yake yanatafsiriwa tofauti na kuleta sintofahamu mfano ni ile ya kula kwa urefu wa kamba nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe twaona sifa Rais wetu kuhojiwa na vyombo vya levels za kidunia. Matokeo ya mahojiano hayatuhusu sana. Tuacheni tuendelee kuupiga mwingi.
 
U afiki mtupu. Walioweka lock up walitoboa? Kwa taarifa yako kwenye handling ya covid magufuli ni kinara duniani. Utake usitake kwa webye akili wanatambua kwamba dunia nzima inatumia method ya magufuli kwasasa with some few modifications
Kinara kwa kuwaaminisha watu kua haikua korona ni changahmoto ya kupumua???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…