Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #21
Sikumaanisha amsifie, ila kumponda aliyekuwa boss wako sio poa,Alichoeleza nisawa kabisa.
Hakuna Mtanzania yyt aliefurahi kuganya kazi na Magu, alikuwa na sifa ya Bully, katili n.k
Nadhani ulitaka amsifie Mag kule New york. Hao jamaa wana research ya kutosha kuhusu Magufuli kuliko unavyo dhania.
Samia angeendeleza Tabia ya Watanzania ya kusifisifia viongozi angesambaratishwa kwenye hiyo interview.
Alivyojibu vile maswali magumu yalipunguwa na haikuwasiri, sisi wote tunajuwa Magu alikuwa mtu mgumu kufanyanae kazi
Swadakta,ata Robert Mugabe.Nyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala la Ia IQ tu.
Samia sio presidential material
Hila yule Tahila muuaji ndio alikuwa presidential material?;Samia sio presidential material
Uwezo wa Zuhura Yunus ni mdogo.Mahojiano ya jana ya Rais Samia na gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid
Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli hijakaa sawa
Lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazmisha kusema hivyo.
Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.
Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.
Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.
Nadhani hili halitajirudia tena
Wamarekani wenyewe wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.
Mwanamke ni mwanamke tu.
Tuache unafiki, kama mazingira yalikuwa hayaruhusu alilazimishwa kufanya naye kazi, angeweza kuondoka kurudi Unguja akatulie!.kipindi kile mazingira yalikuwa hayamruhusu kumchalenge kutoka na hofu ya woga ambayo mkuu aliijenga.
Najua kwa ngazi ya juu kama president kabla ya kukutana na upande wa pili maswali na majibu yote yanakuwa yameandaliwa.
Haipendezi kwa mtu uliyempokea tena unamsema tofauti duniani.
Picha inakuja ni kuwa the late hakuwa na good communication na team yake.
What's picha yetu kwa dunia sasa.
Nyerere alikuwa kiboko wakati kuna mgogoro Zanzibar wanataka kujitenga muungano Nyerere alienda uingereza akahojiwa kuhusu issue ya mgogoro wa Zanzibar chap chap akawajibu kuwa let us talk about Ireland first !! Sababu mgogoro uingereza na Ireland ni sawa na wa Muungano wa Tanzania na Zanzibar !! Mwandishi Alihama chap chap akaenda muhoji swali lingine hilo akalitupa kapuniNyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala la Ia IQ tu.
Mkuu kwenye siasa uwongo na kweli havikwepekiwewe mwehu sana., Mbona kama kajibu hivyo amejibu safi sana, nyinyi wabongo mushazoea kusema uongo na kupambia pambia mabosi wenu na kuwatukuza viongozi muda wote hata wakienda mchomo, siku zile Corona imeshika muliwalazimisha watu nchi nzima Corona isiitwe Corona eti iite ugonjwa wa kuambukiza., mukijaribu kuifananisha corona na magonjwa ya kawaida ili ionekane Corona sio tishio kwa maisha ya watu, wakati watu wakiendelea kupoteza maisha kwa hiyohiyo corona.
Samia nampongeza huyu mama anatabia ya kusema ukweli, na sasa anaonyesha waziwazi kwamba mwendazake alikuwa anakosea sana kwenye uongozi wake lakini kipindi kile mazingira yalikuwa hayamruhusu kumchalenge kutoka na hofu ya woga ambayo mkuu aliijenga.
bora huyu anajibu kibusara, Magu yeye alikuwa anakimbia. Ulaya alikuwa anaona kama jehanamu kukimbia maswali
she responded correctly but not the best response.Alichoeleza nisawa kabisa.
Hakuna Mtanzania yyt aliefurahi kuganya kazi na Magu, alikuwa na sifa ya Bully, katili n.k
Nadhani ulitaka amsifie Mag kule New york. Hao jamaa wana research ya kutosha kuhusu Magufuli kuliko unavyo dhania.
Samia angeendeleza Tabia ya Watanzania ya kusifisifia viongozi angesambaratishwa kwenye hiyo interview.
Alivyojibu vile maswali magumu yalipunguwa na haikuwasiri, sisi wote tunajuwa Magu alikuwa mtu mgumu kufanyanae kazi
Ali dodge swali, Samia ni bora nae akawa anaijua hii mbinu, wanaztumia viongozi kukwepa kuongea vitu vitakavyoleta utataNyerere alikuwa kiboko wakati kuna mgogoro Zanzibar wanataka kujitenga muungano Nyerere alienda uingereza akahojiwa kuhusu issue ya mgogoro wa Zanzibar chap chap akawajibu kuwa let us talk about Ireland first !! Sababu mgogoro uingereza na Ireland ni sawa na wa Muungano wa Tanzania na Zanzibar !! Mwandishi Alahama chap chap akaenda muhoji swali lingine hilo akalitupa kapuni
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na Gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid-19.
Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.
Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.
Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku-anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya-dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.
Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.
Nadhani hili halitajirudia tena.
U afiki mtupu. Walioweka lock up walitoboa? Kwa taarifa yako kwenye handling ya covid magufuli ni kinara duniani. Utake usitake kwa webye akili wanatambua kwamba dunia nzima inatumia method ya magufuli kwasasa with some few modifications
Jibu alilojibu raisi linaonyesha Serikali haikuwa organized .Raisi kivyake makamu kivyake utafikiri Serikali ya Sudan kusini kati ya Raisi Salva Kiir na makamu wake Riech machar!! Hakukuwa na unit of command and purpose
Swali je sasa Serikali ya Mama Samia iko organized from bottom to the top? Hilo swali kawaachia homework wamarekani wafanye analysis wenyewe!!
Sikumaanisha amsifie, ila kumponda aliyekuwa boss wako sio poa,
Hila yule Tahila muuaji ndio alikuwa presidential material?;