Unaweza vipi kumpa somo mtu ambaye hajui akienda kwenye interview ataulizwa nini?
Hili kwangu linahitaji uelewa binafsi wa mtu, ajue mwenyewe jinsi ya kujiongeza pale anapoulizwa maswali, uwezo wa kuchagua maneno ya kuongea awe nao wakati huo huo akihakikisha meseji aliyokusudia anaifikisha.
Lakini pia, wakati mwingine tuwe tayari kukubaliana na hali halisi, kwa namna Magufuli alivyoongoza nchi, akaonekana "stubborn" mpaka nje ya nchi hasa kuhusu Corona, sijui ulitaka Samia aseme nini zaidi ya kile alichosema, au wewe ndio unataka kumfundisha kusema uongo?