Rais Samia anarudisha mikutano ya hadhara ya vyama siasa

Rais Samia anarudisha mikutano ya hadhara ya vyama siasa

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

images (1).jpg
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Non sense
 
Ila sisiemu wao wafanye tu bila zuio lolote..huu ni upumbafu..tutaacha lini unafiki sisi watanganyika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Kama anajua ni haki ya kikatiba ya vyama vya siasa, anapozuia kinyume na matakwa ya Katiba haoni anavunja Katiba? Rais anakiri hadharani kuvunja Katiba halafu mnakuja kumsifu?
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Kwa upande wangu, sheria zifuatwe zinavyoelekeza, kataza au kuruhusu. Viongozi wawe walezi wa Watanzania, polisi wawe wasimamizi wa sheria na Watanzania wote kwa umoja wetu tufuate sheria zinavyosema. Sheria zisipofuatwa ina maana zinakiukwa makusudi. Kama sheria zilizopo zinazohusu vyama vya siasa hazifai zitungwe zinazofaa na zifuatwe. Ndivyo nilivyotegemea na ndivyo ninavyotegemea. Otherwise utawala wa sheria utakuwa unatupiga chenga.
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Kwa kauli hii viroboto na Kunguni leo watanuna. Watalala na viatu.
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Rais angeagiza tu IGP na Msajiri wafate sheria na katiba inavyosema.

haye mengine ni maneno tu.

Anataka wazungumze namma ipi? nje ya sheria na katiba??
 
Header unasema rais anarudisha mikutano ya kisiasa.

Content inasema ameonesha matumaini ya kurudisha mikutano ya kiasasa. Kwani mara ngapi msajili wa vyama anaswma vyama vinaruhusiwa kufanya mikutano.

Ila ukijikusanya tuu polisi wanafika nani mwenye mamlaka aliwai toka mbele akakemea vitendo hivyo.
 
Ni kilio cha muda mrefu cha wanasiasa wa Tanzania hususan vyama vya upinzani. Wanataka kurudishwa kwa mikutani ya hadhara ambayo ni haki yao ya Kikatiba, lakini iliminywa wakati wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Leo kwenye mkutano wa wadau wa siasa nchini unaoendelea huko Dodoma, Rais Samia Suluhu ametoa kauli yenye matumaini na kuonesha kwamba nia yake ni kuona vyama vya siasa vinafanya mikutano hiyo. Hilo linathibitika kupitia maelekezo aliyoyatoa kwamba mkutano huo lazima ujadili namna bora ya vyama vya siasa vitakavyoweza kufanywa kwa mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa Sheria za nchi.

Rais amesema "Lengo la mijadala kama hii ni kujenga na si kubomoa. Hivyo niwasihi kwamba katika mijadala itakayoibuliwa kwenye mkutano huu leo, naomba pia mjadili namna bora ya vyama siasa vitakavyoweza kufanya mikutano ya hadhara bila kuvunjwa kwa sheria za nchi…naomna mjadili na mjifunge wenyewe hapa jinsi mtakavyokwenda kufanya mikutano ya hadhara. Nataka msajili, Jeshi la Polisi, kaeni na hawa watu muone. Kwa sababu ni haki yenu, ya Kikatiba zenu na Katiba ya nchi kufanya mikutano kunadi sera zenu, lakini mnaivunja ninyi wenyewe”

Rais amesisitiza kwamba ni vyema mikutano hiyo ifanyike kwa kufuata taratibu.

Bila shaka, Mkutano unaoendelea Dodoma utakuwa na majibu, na wale waliokwenda kule watakuwa wamefanya kazi kubwa ya kurejesha mikutano hiyo.

View attachment 2044931
Dikteta alisigina katiba,

Samia anataka kusimamia katiba
 
Sheria gani za nchi zinavunjwa chama kinapofanya mkutano wa hadhara?

Angesema ama kuweka wazi kuwa jambo hili ama lile ni uvunjaji wa sheria za nchi wakati wa mkutano wa hadhara.

Hata mikutano ilipozuiliwa hakuna aliyesema kuna sheria za nchi zinazovunjwa. Sana sana ni polisi wanakataa kutoa vibali.

Sasa hata vikao vya ndani vyenyewe vimepigwa marufuku. Sheria gani inakuwa imevunjwa?
 
Header unasema rais anarudisha mikutano ya kisiasa.

Content inasema ameonesha matumaini ya kurudisha mikutano ya kiasasa. Kwani mara ngapi msajili wa vyama anaswma vyama vinaruhusiwa kufanya mikutano.

Ila ukijikusanya tuu polisi wanafika nani mwenye mamlaka aliwai toka mbele akakemea vitendo hivyo.
😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom