Rais Samia anarudisha mikutano ya hadhara ya vyama siasa

Mama anazidi kujidhaliliaha anataka kuonesha kuwa hakuna kosa linalofanywa na vyombo vyake. Anataka kulazimisha watu waamini kuwa vyama vya siasa huwa vinavunja sheria
 
Tumejiwekea katiba na sheria ila vinawekwa pembeni kusubiri eti busara za mwemye mamlaka. Huu ujinga hautaipeleka Tanzania na Africa popote kimaendeleo.
 
CCM wote waoga wa hoja. Hawawezi ruhusu hoja asilani. Wanaishi na kuongoza kwa mabavu. Hoja zikiwazidi wanajibu kwa risasi.
 

Vyama vya siasa kufanya siasa (including mikutano ya hadhara) hakuvunji sheria wala Katiba. Kuvizuia vyama vya siasa kufanya siasa ndio kuvunja Katiba ya nchi na hapo hakuhitajiki mjadala wa msajili & polisi bali kufanya rejea kwenye vipengele husika vya Katiba kwa utekelezaji katika ngazi zote husika. Chief Hangaya asikwepe wajibu wake wa kuilinda Katiba kama alivyo apa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…