Rais Samia anatengenezewa Ajali za kisiasa

Je kwanini yeye mwenyewe Rais hajajitokeza hadharani kusema mkatani wa miaka kadhaa na akaonyesha maandishi hayo wazi?
 
In so saying ni kwamba Makumbusho imekula samaki aitwaye pono
 
Mkuu Kuna watu wa kutetewa lakini Samia kafeli sana,yeye mwenyewe anajikaanga na Mafuta yake mwenyewe kwa kurudisha wezi serikalini.
 
Mkuu Kuna watu wa kutetewa lakini Samia kafeli sana,yeye mwenyewe anajikaanga na Mafuta yake mwenyewe kwa kurudisha wezi serikalini.
Mkuu Butron ,hata mimi kuna muda niliwaza hivyo ,lakini kuna taarifa muhimu ukizipata utaogopa kaka,huyu mama kimsingi asingekuwa yeye kuna wasiwasi nchi ingekua chini ya jeshi.She is doing alot
 
Je kwanini yeye mwenyewe Rais hajajitokeza hadharani kusema mkatani wa miaka kadhaa na akaonyesha maandishi hayo wazi?
Mkuu ,wakati mwingine kwenye hizi siasa kuibuka mapema mapema ni kuingia kwenye mtego wa adui , Rais anapaswa awe wa mwisho kusema ,akisema inakua final call, imagine wananchi wamepewa muda wa kutoa maoni at the same time Rais naye aanze kuongea atakua anaharibu michango ya wananchi , She is right to keep quite for now
 
Reactions: Ame
Usimuwazie sana mkuu.
Ajali kazitega mwenyewe.

Anajua kila kitu. Wala hana haja na ushauri wetu
Mkuu nakuelewa ,lakini hii issue ina complexity za ajabu sana ,lau watu wangejua wangemuombea sana mama Samia
 
Mkuu nakuelewa ,lakini hii issue ina complexity za ajabu sana ,lau watu wangejua wangemuombea sana mama Samia
Hadi Abdul kutuwakilisha ug Kuna complexity ndugu mpiga mapambio?
 
Mkuu nakuelewa ,lakini hii issue ina complexity za ajabu sana ,lau watu wangejua wangemuombea sana mama Samia
Unamwombea mtu ambaye kila siku ni mikwara, vitisho na masimango?

Ana mtaji wa Watanzania zaidi ya milioni 61. Yeye amejisimika na kakikundi kadoogo ka watu ambao kila wanalomshauri linakuja kukwama kila baada ya muda mfupi. Tulimweleza kuhusu hii mitego ya kisiasa aliposimama na kufuta ile gharama ya kuunganisha umeme kwa Tshs 27k kwa vijijini na akamuweka Makamba pale na akaridhia biziness za majenereta..... ikaja Tozo akaziba masikio akasaini watanzania waishi kwa jasho lq meno, mitaji ya wajasiriamali ikafa huku akiendelea kutabasamu. Kama haitoshi akawaondoa wamachinga mijini huku akiwa hajawaandalia pa kuwapeleka na vijana wakarudi kwenye kukaba na kuiba huku akimwagiza Wambura awafyekelee mbali.

Kuliambia Taifa kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, hapo aliidhinisha ufisadi kwenye kila kada bila kujali kama kauli ile ndo imepelekea madudu mengi kumulikwa na CAG.....

Anakuja hadharani anasema, ukimpinga atahakikisha hupati fursa yeyote. Mqana yake yeye amejiweka kwenye nafasi ya Mungu kwamba hakosei na wala hakosolewi.

Kila mtu ashinde mechi zake. Yupo Mtanzania ameandaliwa na Mungu kutukwamua kwenye huu mtanziko
.
 
Paragraph ya mwisho nimeielewa zaidi.
 
Hadi Abdul kutuwakilisha ug Kuna complexity ndugu mpiga mapambio?
Watu wanaspin issue za biashara binafsi za mtu , hii ni sawa na mtu uwe Rais halafu uambiwe hakuna ndugu yako anaruhusiwa kufanya biashara yeyote sio sawa
 
Mungu atamwokoa kama sisi tumeshindwa, mwovu hutegwa na uovu wake mwenyewe...Hao waovu watasambaratika wenyewe pasikukua kilochowasambaratisha
 
Ninaamini hakuna njia bora ya kutatua mambo isipokua kwa weledi ,siamini kama kuna watu wanamhujumu Mheshimiwa Rais
 
Mungu amsaidie Mama yetu.
Sasa sijui hilo la bandari, TEC nao kuukataa huo mkataba wa DPW wana mkono katika kumwangusha Mama?
Kiukweli ukisikia ufisadi wa bandari unaogopa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…