Rais Samia anatengenezewa Ajali za kisiasa

Rais Samia anatengenezewa Ajali za kisiasa

Aliingizwa chaka na Mastermind Rostam Aziz,CIA agent hapa East and Central Africa,hutaki acha,
Watu aina hii hupewa mitaji mikubwa na kujifanya wafanyabiashara kumbe ni double agent,na hushiriki kusimika na eliminate tawala kwa namna wazungu itakavyowapendeza kuhusu kuzingatiwa kwa maslahi yao,hasa unyonyaji
Duuh muongo wewe. Rostam si ndio kahamia kuineemesha Zanzibar, moja ya miradi mipya ni kutengeneza umeme wa jua Zanzibar isipate shida siku Muungano ukivunjika. Rostam hayupo kwenye maadui, yeye ni kazi iendelee mzuri sana
 
Kwanza nianze kwa kuwapa starter moja muhimu sana maana Watanzania tumeumbwa kukumbuka ya leo, ya jana tunayasahau kirahisi sana.

Mnakumbuka Rais Samia alitangaza kuifungua nchi na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka alisema atakamilisha miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka aliwahi kusema yeye na Magufuli ni kitu kimoja na wote tukashangilia?

Rais Samia ametimiza yote hayo na anaelekea kuvuka matarajio ya wengi sana, wengi walidhani inawezekana akaishiwa pumzi mapema sana, ndio maana utaona ndani ya CCM kuna makundi mpaka sasa makubwa mawili yanayoamini Rais Samia hatafika 2025.

Dhana ya kundi la kwanza ni kuwa Rais Samia hatafanikiwa kuwaridhisha watanzania na kufikia approval rating zakumpa go ahead ya re-election, hivyo mgombea mmoja ameamini kwa kigezo hiki yeye akajiweka tayari kuwa mbadala.

Dhana ya kundi la pili ni kuwa hata akifanikiwa, kundi hili limejipanga kumwekea ajali za kisiasa ili ajikwae na kuanguka kisiasa, kundi hili lina nia ovu zaidi kwa kua linatumia hadi njia zisizoelezeka kwenye jukwaa hili maana ni njia haramu na za kijinai kumkwamisha Rais Samia na Mhe Rais analijua hilo.

Sasa baada ya utangulizi huo naomba niwaeleze jambo moja ambalo baada ya mihemko ya Bandari kuisha mtarudi hapa na kufanya thread hii kama marking scheme ya mambo mengi sana mnayoyaota.

Kuna ajali kubwa tano ambazo kundi la pili limeziandaa kwa Mheshimiwa Rais, na ajali mbili tayari zimeshakua executed systematically and very carefully

1. AJALI YA KISIASA KWA WAFANYABIASHARA
Kundi hili katili linalosaka urais 2025 na linaamini kwa 80% litaupata , liliandaa mgogoro wa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo, na kuset up Rais achafuke kisiasa, lilifanikiwa vipi?

Watu hawa kwa kushirikiana na wafanyabiara waovu, walianza kudeclare mizigo inayopita bandarini kama kama vifaa visivyo na thamani , mfano mzigo wa Vigae unakua declared kama tissue paper, hivyo kulipiwa pesa kidogo bandarini, watu hawa wakawa wanatunza kwenye store mizigo hii na kulipa kodi kidogo za tissue paper kwa mzigo wa vigae.

Suprising, watu hawa wakajifanya wanamtonya Rais kuwa kuna uhujumu uchumi kwa wafanyabiashara, waambie TRA waanze kukagua Mizigo store utatuamini, Rais baada ya kuchunguza kweli akakuta ni valid case kuwa vigae vinapita kama tissue bandarini hivyo mizigo ikaguliwe store kukamata wahujumu hao.

Muda wote huo watu hawa walikua calculative sana, wakawaandaa wafanyabiashara upande wa pili kuwa serikali inaanza kuwa harass msikubali, script ikatick Rais wakampigisha ajali ambayo Waziri Mkuu aliokoa dakika za jioni sana.

2. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO E-GA KUBINAFSISHWA
Genge hili la pili, likaratibu pia ajali nyingine ambayo 70% imeiva soon wataiweka barabarani, kupitia viongozi waandamizi wapatao sita toka TAMISEMI, wizara ya fedha na mipango , BOT, TRA na wengine wako wizara mbali mbali, wameunda mbinu ya kudhoofisha ufanisi wa mifumo iliyotengenezwa na E-GA wanashawishi makampuni binafsi na mengine toka nje yaje kuendesha mifumo ya TEHAMA serikalini, na E-GA ibaki kama mwangalizi tu yaani regulator.

Watu hawa wameshaanza kufanikiwa, wameleta wataalamu wa mifumo toka nje na kulazimisha kuandika report zinazoonesha mifumo sio salama na inaweza kuingiliwa na mataifa ya nje kirahisi, hivyo makampuni binafsi yapewe kandarasi hio.

Lengo lao Rais Samia aridhie ili public outcry isikie kua anaua vipaji vya ndani na kuwapa wageni, set up imekamilika wanasubiri muda walipue .

3. BANDARI ZETU
Kundi hili hatari limefanikiwa kugeuza mjadala wa ubadhilifu bandarini na kufanya watanzania waone ubinafsishaji ni uuzaji wa nchi.

Duration ama urefu wa mkataba haujulikani publically kwa sababu maalumu, lakini kwa 100% sio wa milele wala sio wa miaka 100. Ilikuaje kundi hili lika set up trap hii?

Bandarini kuna wizi unafanywa na hawa tunaowaita wazawa, wa mpaka 200milion kwa week kwa mtu mmoja kwa baadhi ya government senior officials, wengi wanakula njama hizi kwa kushirikiana na TRA.

Wanasiasa wengi wanapitisha mizigo yao bandarini bure kabisa yenye thamani ya billions of money.

Rais aliporidhia awekwe mwekezaji ambaye ataziba mianya hii tena kwa mkataba wa miaka isiyo zidi 20 kwa kipindi renewable kundi hili likaona fursa, lika spinn na kuvujisha sehemu ya makubaliano na kuyaita uuzaji wa nchi, jambo amabalo sio la kweli, wanatia pressure ili Rais aachana na ubinafsishaji wa bandari waendelee kunyonya rasilimali kwa jina la uzawa.

Watanzania mngejua wachache wananyokula bandari mneandamana, Rais ameamua aweke watu serious, kundi lime spin taarifa na kulipa pesa nyingi sana wapinzani na baadhi ya vyombo vya habari kutia moto jambo hili.


4. BWAWA LA NYERERE
Bwawa hili limebeba hatima ya Rais samia re-election, kundi ovu limejipanga kuharibu kingo za bwawa hilo kabla ya vikao uchaguzi wa serikal za mitaa mwakani ili CCM ikose uungwaji mkono na kuonesha kua Rais hatoshi.

Mipango ya kuharibu bwawa la mwalimu nyerere ilmeandaliwa kifundi kabisa na sababu zitakazotolewa hazitakua kuharibiwa bali ikolojia ya eneo kushindwa kustahimili nguvu za bwawa ili kumuepusha mkandarasi na lawama maana wanajua anaweza kushtaki kuhujuliwa.

Wameshamlazimisha kuandika maelezo yanayoonyesha eneo hilo lina miamba dhaifu aridhini hivyo life span yake haiwez kuwa kubwa, kupasuka kwa bwawa kutazika matumaini ya umeme nafuu na kuzika kabisa matumaini ya Rais Samia kuchaguliwa tena.

Wameshaandaa mtu wao ambaye atakuja kama masiah ambaye katika ajali hizi wanamweka mbali systematically asiwe sehemu ya uovu wowote

5. AJALI YA 5 NI CONFIDENTIAL
Hii naomba kwa sababu za kiusalama wa nchi nisiiandike, lakini people are very serious, they are ready to to the unthinkable.


My Take: Idara yetu pendwa ya Makumbusho najua mvutano unaoendelea, am sad kwa sababu tumeanza kuchagua pande za wagombea .

Wazo la kutaka kumrudisha Kipilimba mngeliacha kwanza, aliyepo anatosha na anaye attempt ya kubadili DGIS ita spark unprecedented issues.

Rais Samia is so innocent, aachwe aongoze nchi


View attachment 2650494

Mle mle tu, hakuna jipya
 
Kwanza nianze kwa kuwapa starter moja muhimu sana maana Watanzania tumeumbwa kukumbuka ya leo, ya jana tunayasahau kirahisi sana.

Mnakumbuka Rais Samia alitangaza kuifungua nchi na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka alisema atakamilisha miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka aliwahi kusema yeye na Magufuli ni kitu kimoja na wote tukashangilia?

Rais Samia ametimiza yote hayo na anaelekea kuvuka matarajio ya wengi sana, wengi walidhani inawezekana akaishiwa pumzi mapema sana, ndio maana utaona ndani ya CCM kuna makundi mpaka sasa makubwa mawili yanayoamini Rais Samia hatafika 2025.

Dhana ya kundi la kwanza ni kuwa Rais Samia hatafanikiwa kuwaridhisha watanzania na kufikia approval rating zakumpa go ahead ya re-election, hivyo mgombea mmoja ameamini kwa kigezo hiki yeye akajiweka tayari kuwa mbadala.

Dhana ya kundi la pili ni kuwa hata akifanikiwa, kundi hili limejipanga kumwekea ajali za kisiasa ili ajikwae na kuanguka kisiasa, kundi hili lina nia ovu zaidi kwa kua linatumia hadi njia zisizoelezeka kwenye jukwaa hili maana ni njia haramu na za kijinai kumkwamisha Rais Samia na Mhe Rais analijua hilo.

Sasa baada ya utangulizi huo naomba niwaeleze jambo moja ambalo baada ya mihemko ya Bandari kuisha mtarudi hapa na kufanya thread hii kama marking scheme ya mambo mengi sana mnayoyaota.

Kuna ajali kubwa tano ambazo kundi la pili limeziandaa kwa Mheshimiwa Rais, na ajali mbili tayari zimeshakua executed systematically and very carefully

1. AJALI YA KISIASA KWA WAFANYABIASHARA
Kundi hili katili linalosaka urais 2025 na linaamini kwa 80% litaupata , liliandaa mgogoro wa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo, na kuset up Rais achafuke kisiasa, lilifanikiwa vipi?

Watu hawa kwa kushirikiana na wafanyabiara waovu, walianza kudeclare mizigo inayopita bandarini kama kama vifaa visivyo na thamani , mfano mzigo wa Vigae unakua declared kama tissue paper, hivyo kulipiwa pesa kidogo bandarini, watu hawa wakawa wanatunza kwenye store mizigo hii na kulipa kodi kidogo za tissue paper kwa mzigo wa vigae.

Suprising, watu hawa wakajifanya wanamtonya Rais kuwa kuna uhujumu uchumi kwa wafanyabiashara, waambie TRA waanze kukagua Mizigo store utatuamini, Rais baada ya kuchunguza kweli akakuta ni valid case kuwa vigae vinapita kama tissue bandarini hivyo mizigo ikaguliwe store kukamata wahujumu hao.

Muda wote huo watu hawa walikua calculative sana, wakawaandaa wafanyabiashara upande wa pili kuwa serikali inaanza kuwa harass msikubali, script ikatick Rais wakampigisha ajali ambayo Waziri Mkuu aliokoa dakika za jioni sana.

2. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO E-GA KUBINAFSISHWA
Genge hili la pili, likaratibu pia ajali nyingine ambayo 70% imeiva soon wataiweka barabarani, kupitia viongozi waandamizi wapatao sita toka TAMISEMI, wizara ya fedha na mipango , BOT, TRA na wengine wako wizara mbali mbali, wameunda mbinu ya kudhoofisha ufanisi wa mifumo iliyotengenezwa na E-GA wanashawishi makampuni binafsi na mengine toka nje yaje kuendesha mifumo ya TEHAMA serikalini, na E-GA ibaki kama mwangalizi tu yaani regulator.

Watu hawa wameshaanza kufanikiwa, wameleta wataalamu wa mifumo toka nje na kulazimisha kuandika report zinazoonesha mifumo sio salama na inaweza kuingiliwa na mataifa ya nje kirahisi, hivyo makampuni binafsi yapewe kandarasi hio.

Lengo lao Rais Samia aridhie ili public outcry isikie kua anaua vipaji vya ndani na kuwapa wageni, set up imekamilika wanasubiri muda walipue .

3. BANDARI ZETU
Kundi hili hatari limefanikiwa kugeuza mjadala wa ubadhilifu bandarini na kufanya watanzania waone ubinafsishaji ni uuzaji wa nchi.

Duration ama urefu wa mkataba haujulikani publically kwa sababu maalumu, lakini kwa 100% sio wa milele wala sio wa miaka 100. Ilikuaje kundi hili lika set up trap hii?

Bandarini kuna wizi unafanywa na hawa tunaowaita wazawa, wa mpaka 200milion kwa week kwa mtu mmoja kwa baadhi ya government senior officials, wengi wanakula njama hizi kwa kushirikiana na TRA.

Wanasiasa wengi wanapitisha mizigo yao bandarini bure kabisa yenye thamani ya billions of money.

Rais aliporidhia awekwe mwekezaji ambaye ataziba mianya hii tena kwa mkataba wa miaka isiyo zidi 20 kwa kipindi renewable kundi hili likaona fursa, lika spinn na kuvujisha sehemu ya makubaliano na kuyaita uuzaji wa nchi, jambo amabalo sio la kweli, wanatia pressure ili Rais aachana na ubinafsishaji wa bandari waendelee kunyonya rasilimali kwa jina la uzawa.

Watanzania mngejua wachache wananyokula bandari mneandamana, Rais ameamua aweke watu serious, kundi lime spin taarifa na kulipa pesa nyingi sana wapinzani na baadhi ya vyombo vya habari kutia moto jambo hili.


4. BWAWA LA NYERERE
Bwawa hili limebeba hatima ya Rais samia re-election, kundi ovu limejipanga kuharibu kingo za bwawa hilo kabla ya vikao uchaguzi wa serikal za mitaa mwakani ili CCM ikose uungwaji mkono na kuonesha kua Rais hatoshi.

Mipango ya kuharibu bwawa la mwalimu nyerere ilmeandaliwa kifundi kabisa na sababu zitakazotolewa hazitakua kuharibiwa bali ikolojia ya eneo kushindwa kustahimili nguvu za bwawa ili kumuepusha mkandarasi na lawama maana wanajua anaweza kushtaki kuhujuliwa.

Wameshamlazimisha kuandika maelezo yanayoonyesha eneo hilo lina miamba dhaifu aridhini hivyo life span yake haiwez kuwa kubwa, kupasuka kwa bwawa kutazika matumaini ya umeme nafuu na kuzika kabisa matumaini ya Rais Samia kuchaguliwa tena.

Wameshaandaa mtu wao ambaye atakuja kama masiah ambaye katika ajali hizi wanamweka mbali systematically asiwe sehemu ya uovu wowote

5. AJALI YA 5 NI CONFIDENTIAL
Hii naomba kwa sababu za kiusalama wa nchi nisiiandike, lakini people are very serious, they are ready to to the unthinkable.


My Take: Idara yetu pendwa ya Makumbusho najua mvutano unaoendelea, am sad kwa sababu tumeanza kuchagua pande za wagombea .

Wazo la kutaka kumrudisha Kipilimba mngeliacha kwanza, aliyepo anatosha na anaye attempt ya kubadili DGIS ita spark unprecedented issues.

Rais Samia is so innocent, aachwe aongoze nchi


View attachment 2650494
Unatupigia kelele wewe chawa
 
Kwanza nianze kwa kuwapa starter moja muhimu sana maana Watanzania tumeumbwa kukumbuka ya leo, ya jana tunayasahau kirahisi sana.

Mnakumbuka Rais Samia alitangaza kuifungua nchi na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka alisema atakamilisha miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli na watu wote tukashangilia? Mnakumbuka aliwahi kusema yeye na Magufuli ni kitu kimoja na wote tukashangilia?

Rais Samia ametimiza yote hayo na anaelekea kuvuka matarajio ya wengi sana, wengi walidhani inawezekana akaishiwa pumzi mapema sana, ndio maana utaona ndani ya CCM kuna makundi mpaka sasa makubwa mawili yanayoamini Rais Samia hatafika 2025.

Dhana ya kundi la kwanza ni kuwa Rais Samia hatafanikiwa kuwaridhisha watanzania na kufikia approval rating zakumpa go ahead ya re-election, hivyo mgombea mmoja ameamini kwa kigezo hiki yeye akajiweka tayari kuwa mbadala.

Dhana ya kundi la pili ni kuwa hata akifanikiwa, kundi hili limejipanga kumwekea ajali za kisiasa ili ajikwae na kuanguka kisiasa, kundi hili lina nia ovu zaidi kwa kua linatumia hadi njia zisizoelezeka kwenye jukwaa hili maana ni njia haramu na za kijinai kumkwamisha Rais Samia na Mhe Rais analijua hilo.

Sasa baada ya utangulizi huo naomba niwaeleze jambo moja ambalo baada ya mihemko ya Bandari kuisha mtarudi hapa na kufanya thread hii kama marking scheme ya mambo mengi sana mnayoyaota.

Kuna ajali kubwa tano ambazo kundi la pili limeziandaa kwa Mheshimiwa Rais, na ajali mbili tayari zimeshakua executed systematically and very carefully

1. AJALI YA KISIASA KWA WAFANYABIASHARA
Kundi hili katili linalosaka urais 2025 na linaamini kwa 80% litaupata , liliandaa mgogoro wa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo, na kuset up Rais achafuke kisiasa, lilifanikiwa vipi?

Watu hawa kwa kushirikiana na wafanyabiara waovu, walianza kudeclare mizigo inayopita bandarini kama kama vifaa visivyo na thamani , mfano mzigo wa Vigae unakua declared kama tissue paper, hivyo kulipiwa pesa kidogo bandarini, watu hawa wakawa wanatunza kwenye store mizigo hii na kulipa kodi kidogo za tissue paper kwa mzigo wa vigae.

Suprising, watu hawa wakajifanya wanamtonya Rais kuwa kuna uhujumu uchumi kwa wafanyabiashara, waambie TRA waanze kukagua Mizigo store utatuamini, Rais baada ya kuchunguza kweli akakuta ni valid case kuwa vigae vinapita kama tissue bandarini hivyo mizigo ikaguliwe store kukamata wahujumu hao.

Muda wote huo watu hawa walikua calculative sana, wakawaandaa wafanyabiashara upande wa pili kuwa serikali inaanza kuwa harass msikubali, script ikatick Rais wakampigisha ajali ambayo Waziri Mkuu aliokoa dakika za jioni sana.

2. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO E-GA KUBINAFSISHWA
Genge hili la pili, likaratibu pia ajali nyingine ambayo 70% imeiva soon wataiweka barabarani, kupitia viongozi waandamizi wapatao sita toka TAMISEMI, wizara ya fedha na mipango , BOT, TRA na wengine wako wizara mbali mbali, wameunda mbinu ya kudhoofisha ufanisi wa mifumo iliyotengenezwa na E-GA wanashawishi makampuni binafsi na mengine toka nje yaje kuendesha mifumo ya TEHAMA serikalini, na E-GA ibaki kama mwangalizi tu yaani regulator.

Watu hawa wameshaanza kufanikiwa, wameleta wataalamu wa mifumo toka nje na kulazimisha kuandika report zinazoonesha mifumo sio salama na inaweza kuingiliwa na mataifa ya nje kirahisi, hivyo makampuni binafsi yapewe kandarasi hio.

Lengo lao Rais Samia aridhie ili public outcry isikie kua anaua vipaji vya ndani na kuwapa wageni, set up imekamilika wanasubiri muda walipue .

3. BANDARI ZETU
Kundi hili hatari limefanikiwa kugeuza mjadala wa ubadhilifu bandarini na kufanya watanzania waone ubinafsishaji ni uuzaji wa nchi.

Duration ama urefu wa mkataba haujulikani publically kwa sababu maalumu, lakini kwa 100% sio wa milele wala sio wa miaka 100. Ilikuaje kundi hili lika set up trap hii?

Bandarini kuna wizi unafanywa na hawa tunaowaita wazawa, wa mpaka 200milion kwa week kwa mtu mmoja kwa baadhi ya government senior officials, wengi wanakula njama hizi kwa kushirikiana na TRA.

Wanasiasa wengi wanapitisha mizigo yao bandarini bure kabisa yenye thamani ya billions of money.

Rais aliporidhia awekwe mwekezaji ambaye ataziba mianya hii tena kwa mkataba wa miaka isiyo zidi 20 kwa kipindi renewable kundi hili likaona fursa, lika spinn na kuvujisha sehemu ya makubaliano na kuyaita uuzaji wa nchi, jambo amabalo sio la kweli, wanatia pressure ili Rais aachana na ubinafsishaji wa bandari waendelee kunyonya rasilimali kwa jina la uzawa.

Watanzania mngejua wachache wananyokula bandari mneandamana, Rais ameamua aweke watu serious, kundi lime spin taarifa na kulipa pesa nyingi sana wapinzani na baadhi ya vyombo vya habari kutia moto jambo hili.


4. BWAWA LA NYERERE
Bwawa hili limebeba hatima ya Rais samia re-election, kundi ovu limejipanga kuharibu kingo za bwawa hilo kabla ya vikao uchaguzi wa serikal za mitaa mwakani ili CCM ikose uungwaji mkono na kuonesha kua Rais hatoshi.

Mipango ya kuharibu bwawa la mwalimu nyerere ilmeandaliwa kifundi kabisa na sababu zitakazotolewa hazitakua kuharibiwa bali ikolojia ya eneo kushindwa kustahimili nguvu za bwawa ili kumuepusha mkandarasi na lawama maana wanajua anaweza kushtaki kuhujuliwa.

Wameshamlazimisha kuandika maelezo yanayoonyesha eneo hilo lina miamba dhaifu aridhini hivyo life span yake haiwez kuwa kubwa, kupasuka kwa bwawa kutazika matumaini ya umeme nafuu na kuzika kabisa matumaini ya Rais Samia kuchaguliwa tena.

Wameshaandaa mtu wao ambaye atakuja kama masiah ambaye katika ajali hizi wanamweka mbali systematically asiwe sehemu ya uovu wowote

5. AJALI YA 5 NI CONFIDENTIAL
Hii naomba kwa sababu za kiusalama wa nchi nisiiandike, lakini people are very serious, they are ready to to the unthinkable.


My Take: Idara yetu pendwa ya Makumbusho najua mvutano unaoendelea, am sad kwa sababu tumeanza kuchagua pande za wagombea .

Wazo la kutaka kumrudisha Kipilimba mngeliacha kwanza, aliyepo anatosha na anaye attempt ya kubadili DGIS ita spark unprecedented issues.

Rais Samia is so innocent, aachwe aongoze nchi


View attachment 2650494
Kwamba wewe mpaka unayajua haya na kuja kuyaandika hapa yeye hayajui? Na kama anayajua amechukua hatua gani? Na kama hajachukua hatua hapo mwenye kosa ni nani? Ukweli ni kwamba huyu bibi linapokuja suala linalohusu masilahi ya Tanganyika hajali kabisa ingekuw Zanzibar asingesaini huu ujinga suala dogo tu kama la Feisal na Yanga kaingia mzima mzima na limeisha sababu ni mwana kwao
 
Pumbavu sana arudi kwao Zanzibar hatutaki upumbavu wa aina yoyote ile

Wenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.
Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.

Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!

Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.

Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
 
Kwamba wewe mpaka unayajua haya na kuja kuyaandika hapa yeye hayajui? Na kama anayajua amechukua hatua gani? Na kama hajachukua hatua hapo mwenye kosa ni nani? Ukweli ni kwamba huyu bibi linapokuja suala linalohusu masilahi ya Tanganyika hajali kabisa ingekuw Zanzibar asingesaini huu ujinga suala dogo tu kama la Feisal na Yanga kaingia mzima mzima na limeisha sababu ni mwana kwao

Wenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.
Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.

Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!

Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.

Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
 
Binafsi nachukizwa na wuzi uliopo bandarini na ucheleweshwaji wa mizigo unaofanywa na wazawa, lakini kama muwekezaji anakuja ni vyema mambo yakawekwa wazi ili kuondoa sintofahamu na upotoshwaji unaofanywa na baadhi ya watu, ni vyema viongozi wa serikali wakatoka wazi kuuchambua na kuufafanua huu mkataba.
 
Ni ujinga kudhania kuwa huyu rais tulie naye hawezi kuwa mpigaji ,yaani kila ajali ni katangenezewa,kana kwamba yeye na malaika huu ni upumbavu.
 
Kwa ufupi SSS, alipewa umakamo kwakua Mfumo uliamin ni dhaifu na nikweli ,Samia ni dhaifu, Kwa Mfumo kua na JPM chuma, alafu mdhaifu wa Zanzibar, ilikua ni sahihi kabisa na mambo yalienda vizuri.

Samia alipewa umakamo just kuendeleza kuwatuliza Wazanzibar tu.... KIFO Cha JPM tu ndio kimetufikisha hapa.

Ukweli ni kwamba, SSS HAFAI KUA RAIS WA NCHI YOYOTE ILE .


Wewe kiongozi gan Kila kitu ni mweupe??? Ushaona wapi?

Rais mwepesi kudanganywa, hajishughulishi kama JPM ,yupo yupo ,lolote analoambiwa ni sawa tu.


Ukiachilia mbali Uwezo wake Mdogo wa Akili ( HILI NALIKAZIA, KWA SABABU SAFARI YAKE YA ELIMU ILIJAA KUFELI FELI ,NA KUFELI KWA SHULE, KUNAONYESHA KIWANGO CHAKE CHA IQ KIKOJE).

bado pia ni Muoga, Hana maamuzi, Hana uthubutu wowote, basi kama hujisumbui Kusoma, fanyia kazi maelekezo ya Vijana wa TISS ambayo baadhi ni yenye faida,, chakushangaza bado anasapuuza, anapuuza kama JK alivyopuuza !!.


Itoshe tu kusema, NCHI HII KWA SASA NI OVYO OVYO TAKATAKA .
 
J
Ma@poisonous aka masumu kweli wewe masumu, hivi dawa ya wizi unaofanyika bandarini ni kuwakabidhi waarabu kwamba hauna mahakama, hauwezi kujenga mfumo imara, hauna PCCB, kwamba hao waarabu ndo hawatoiba, na mikesi yote huko duniani walikovurunda hao waarabu wa dp, au we ni mZanzibar maana huwez kosa uchungu kwa jambo nyeti kama hili
Anataka kutuamiisha kwamba mwarabu atadhibiti wizi bandarini. Na kama mkataba una manufaa mbona hawakunusa Kwa Mwinyi?
 
Ndio maana Magu aliamua kuwa jeshi la mtu Mmoja,akaamua kutumbua tumbua watu hovyo. Mfumo umekaa kiwiziwizi.
Kwa ufupi SSS, alipewa umakamo kwakua Mfumo uliamin ni dhaifu na nikweli ,Samia ni dhaifu, Kwa Mfumo kua na JPM chuma, alafu mdhaifu wa Zanzibar, ilikua ni sahihi kabisa na mambo yalienda vizuri.

Samia alipewa umakamo just kuendeleza kuwatuliza Wazanzibar tu.... KIFO Cha JPM tu ndio kimetufikisha hapa.

Ukweli ni kwamba, SSS HAFAI KUA RAIS WA NCHI YOYOTE ILE .


Wewe kiongozi gan Kila kitu ni mweupe??? Ushaona wapi?

Rais mwepesi kudanganywa, hajishughulishi kama JPM ,yupo yupo ,lolote analoambiwa ni sawa tu.


Ukiachilia mbali Uwezo wake Mdogo wa Akili ( HILI NALIKAZIA, KWA SABABU SAFARI YAKE YA ELIMU ILIJAA KUFELI FELI ,NA KUFELI KWA SHULE, KUNAONYESHA KIWANGO CHAKE CHA IQ KIKOJE).

bado pia ni Muoga, Hana maamuzi, Hana uthubutu wowote, basi kama hujisumbui Kusoma, fanyia kazi maelekezo ya Vijana wa TISS ambayo baadhi ni yenye faida,, chakushangaza bado anasapuuza, anapuuza kama JK alivyopuuza !!.


Itoshe tu kusema, NCHI HII KWA SASA NI OVYO OVYO TAKATAKA .
 
Kwa maana hiyo unawafananisha watanzania na wanyama kwamba hawana akili yoyote ya kuhoji lolote

Kwamba ikitokea jambo limeenda ndivyo sivyo raia wakalalamikia basi wewe unaamini ni kikundi fulani ndiyo kinacho lalamika na siyo watanzania ambao hawausiani na siasa wala mamlaka zozote ukiamini hao watanzania hawana hizo akili

Hizi ni dharau kwa watanzania
Mfano hapo kwa wafanyabishara kukwepa kodi
Mfanyabiashara anapopata Mwanya wa kukwepa kodi atautumia ipasavyo na anatamani hata asilipe kabisa hiyo kodi kama inawezekana
Lakini hayo yote ni majibu kuwa mamlaka ni dhaifu katika kusimamia wajibu wake mfanyibiashara hana kosa katika hilo
Na mamlaka hizo boss wao mkuu ni rais kwa hiyo rais hapo amefel

Nikuulize hayo uliyosema kuhusu wafanyabishara ndiyo mapya yameanzia awamu hii ya samia au yalikuwepo

Unakubali kuwa rais ndiyo boss na mawaziri wote wako chini yake yeye ndiyo amewaweka kwenye hizo nafasi walizonazo na kuanzia kwa mawaziri kuja mpaka huku chini rais anayo mamlaka ya kuwajibisha hao watu

Utuambie sasa ni nani huyo ambaye anafanya hayo na rais ameshindwa kumuwajibisha kama yupo mtu wa hivyo basi huyo rais wako ana shida urais hauwezi aachane nao siyo zaidi ya hapo



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi SSS, alipewa umakamo kwakua Mfumo uliamin ni dhaifu na nikweli ,Samia ni dhaifu, Kwa Mfumo kua na JPM chuma, alafu mdhaifu wa Zanzibar, ilikua ni sahihi kabisa na mambo yalienda vizuri.

Samia alipewa umakamo just kuendeleza kuwatuliza Wazanzibar tu.... KIFO Cha JPM tu ndio kimetufikisha hapa.

Ukweli ni kwamba, SSS HAFAI KUA RAIS WA NCHI YOYOTE ILE .


Wewe kiongozi gan Kila kitu ni mweupe??? Ushaona wapi?

Rais mwepesi kudanganywa, hajishughulishi kama JPM ,yupo yupo ,lolote analoambiwa ni sawa tu.


Ukiachilia mbali Uwezo wake Mdogo wa Akili ( HILI NALIKAZIA, KWA SABABU SAFARI YAKE YA ELIMU ILIJAA KUFELI FELI ,NA KUFELI KWA SHULE, KUNAONYESHA KIWANGO CHAKE CHA IQ KIKOJE).

bado pia ni Muoga, Hana maamuzi, Hana uthubutu wowote, basi kama hujisumbui Kusoma, fanyia kazi maelekezo ya Vijana wa TISS ambayo baadhi ni yenye faida,, chakushangaza bado anasapuuza, anapuuza kama JK alivyopuuza !!.


Itoshe tu kusema, NCHI HII KWA SASA NI OVYO OVYO TAKATAKA .
We bwana umenena vyema kabisa , hapa hamna Rais ila ni uchafu tu, atupishe ,na aondoke , ikiwezekana pia ata muungano uvunjwe watuache na Tanganyika yetu maana Hawa jamaa tumewabeba vya kutosha ,
Kwanza mijitu yenyewe haina akili kichwan ,vichwa vizito , bado nguvu za kufanya kazi havina pia waume kwa wake ......kwa ufupi Zanzibar ni eneo lenye watu wa hovyo sana wakiongozwa na Rais wao Bi Mchele.
 
Kwa maana hiyo unawafananisha watanzania na wanyama kwamba hawana akili yoyote ya kuhoji lolote

Kwamba ikitokea jambo limeenda ndivyo sivyo raia wakalalamikia basi wewe unaamini ni kikundi fulani ndiyo kinacho lalamika na siyo watanzania ambao hawausiani na siasa wala mamlaka zozote ukiamini hao watanzania hawana hizo akili

Hizi ni dharau kwa watanzania
Mfano hapo kwa wafanyabishara kukwepa kodi
Mfanyabiashara anapopata Mwanya wa kukwepa kodi atautumia ipasavyo na anatamani hata asilipe kabisa hiyo kodi kama inawezekana
Lakini hayo yote ni majibu kuwa mamlaka ni dhaifu katika kusimamia wajibu wake mfanyibiashara hana kosa katika hilo
Na mamlaka hizo boss wao mkuu ni rais kwa hiyo rais hapo amefel

Nikuulize hayo uliyosema kuhusu wafanyabishara ndiyo mapya yameanzia awamu hii ya samia au yalikuwepo

Unakubali kuwa rais ndiyo boss na mawaziri wote wako chini yake yeye ndiyo amewaweka kwenye hizo nafasi walizonazo na kuanzia kwa mawaziri kuja mpaka huku chini rais anayo mamlaka ya kuwajibisha hao watu

Utuambie sasa ni nani huyo ambaye anafanya hayo na rais ameshindwa kumuwajibisha kama yupo mtu wa hivyo basi huyo rais wako ana shida urais hauwezi aachane nao siyo zaidi ya hapo



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapa hatuna Rais , maana wew kama Rais jukumu lako ni kusimamia kila kitu kiende vizur , hyu wa kwetu yeye ameona wizi bandalini badala ya kuchukua hatua kwa wahusika akiwa kama Rais, matokeo yake anakimbilia ujombani kuomba msaada asaidiwe kutawala
 
Hahahaaa!! Takataka kwani YY mwenyewe asije kwa watanzania na kuwaeleza na kuwatoa hofu kuhusu Bandari?
Tuanzia hapo kwanza
 
Back
Top Bottom