Chawa ni hatari kuliko Kwapa la shetani.
 
Habari wadau.katika hotuba yake mama amebainisha kuwa chawa ndo wanavuruga nchiiii kiasi kwamba wapo tayari kufanya lolote kumlinda boss wao ikiwa ni pamoja na kuua.Hivyo hakuna shaka kuwa kundi la watu wasiojulikana lilikuwa halitumwi na mtu yeyote bali kumfurahisha mungu wao.
 
MACHAWA ni WAUAJI wapo tayari uuawe nafasi yako wapewe wao
Angalia Tabia ya CHAWA
 
Kam
Samia ameweza kudhibiti chawa wake wasiue, Jiwe alishindwaje?
 
Dikteta Magufoool ndio mshamba pekee aliekuwa na chawa wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…