Rais Samia anawezaje kujenga zahanati 564, Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68?

Mimi niko tayari kupambana katiba ibadilishwe huyu Mama atawale maisha,

Hatuna haja ya kuwaza Rais mwingine kama Mama huyu bado ananguvu,
 
Sawa sawa tumeanza kuandaa hoja za kwenda nazo kwenye uchaguzi 2025, kazi za JPM hamtozisikia kwenye kampeni.
 
Duuuh!

Ila Mama Samia ni kiboko aise, Tanzania ilisubiri Rais wa aina hii kwa muda mrefu sana,

Kongole Mama Samia keep on moving,
Chawa mko wengi. Hata JPM mlikuwa mnamsifia hivi hivi. I hope and trust mama anawaelewa watu kama nyinyi na njaa zenu.
 
Chawa mko wengi. Hata JPM mlikuwa mnamsifia hivi hivi. I hope and trust mama anawaelewa watu kama nyinyi na njaa zenu.
Mama yupi? Unamaanisha wote humu tuliomrengo wa Mama tunanjaa?!!
 
Chawa mko wengi. Hata JPM mlikuwa mnamsifia hivi hivi. I hope and trust mama anawaelewa watu kama nyinyi na njaa zenu.
Yes ni njaa zetu,

Ni njaa zetu zinatufanya tufurahie Zahanati 564 kwa kuwa sasa tutapata matibabu kirahisi sana,

Ni njaa zetu ndio maana tunafurahia vituo 304 vya Afya kwani sasa tunauhakika wake zetu watajifungulia huku huku,

Ninjaa zetu ndio maana tunafurahia Ujenzi wa hospitali mpya 68 zitakazookoa Maisha yetu kwani hatuna uwezo wa kwenda kutibiwa nje ya nchi ,

Yes ni njaa tu hizi πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Unamaelezo kibao ya kusifia wakati nikisoma taarifa husika inaomesha ujenzi umefanyika tangu awamu ya tano!!!


Ripoti ya CAG ya 2020/2021 mnasema mhusika ni JPM lakini ujenzi wa miundombinu ya 2020/2021 mnajipa sifa ninyi
 
Unamaelezo kibao ya kusifia wakati nikisoma taarifa husika inaomesha ujenzi umefanyika tangu awamu ya tano!!!


Ripoti ya CAG ya 2020/2021 mnasema mhusika ni JPM lakini ujenzi wa miundombinu ya 2020/2021 mnajipa sifa ninyi
Nani amebisha, Baadhi ujenzi ulianza awamu ya tano,Ila Mama anajenga zote kwa mkupuo ndio hoja yake nadhani
 
Unamaelezo kibao ya kusifia wakati nikisoma taarifa husika inaomesha ujenzi umefanyika tangu awamu ya tano!!!


Ripoti ya CAG ya 2020/2021 mnasema mhusika ni JPM lakini ujenzi wa miundombinu ya 2020/2021 mnajipa sifa ninyi
Nani amebisha, Baadhi ujenzi ulianza awamu ya tano,Ila Mama anajenga zote kwa mkupuo ndio hoja yake nadhani
 
Tuache kudanganyana...upigaji kama wote...Madarasa mangapi yalijengwa na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…