passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Hakuna cha maana alichofanya Miradi yote mikubwa ni ya magufuliTokea aingie garama za maisha zimepanda kwa kasi ya hali ya juu upandishaji wa bei kiholela maisha yamezidi kuwa magumu. Kakuta miundombinu ya JPM na miradi alioacha akaiendeleza hakuna jambo jipya alilolianzisha, punguzeni njaa nyie machawa.
Tatizo lenu nyie machawa mkishapata vitengo huko huwa mnajisahau na kuanza kusifia tu yaani mbongo mpe kitengo njaa iishe tu.
Jambo kubwa ambalo awamu hii limefanya vyema kuliko awamu zote ni kukopa tu. Yupo vizuri.
Wewe ni mbumbumbu au? Kidogo hivyo na zimenunuliwa.kwa Hospital zote za Mkoa Tanznaia nzima? Anunue zaidi ya idadi ya Hospital kwani ni mapambo?tujadili bila matusi, kwa ustaarabu tu, kama angekuwa serious, angenunua hizo mashine kidogo hivyo? unajua hela tu ya umeme ambao zanzibar wamesamehewa inatosha kununua hizo mashine ngapi, hela anayotumia kusafiri nchi za nje au niseme aliyosafiri hadi sasaivi inaweza kununua izo mashine hata zaidi ya 100? kwanini msiwe honest kwa nafsi zetu tu?
Kama miradi ni ya Magufuli Kwa nini hakukamilisha si alikaa miaka 5 na ushee? Alimsubiria nani afanye?Hakuna cha maana alichofanya Miradi yote mikubwa ni ya magufuli
Hivi ni viporo?Tukiachana na kumalizia viporo Samia amefanya nini? Labda kuuza Rasilimali za nchi hapo Sana. Na kufunga taa za Barabarani Kwenye kila miji
Hizo shule alizo boresha ni zipi hizo?kama ameboresha mbona watoto wa viongozi hawasomi huko kama zamani wakati wa Mwalimu Nyerere na Mwinyi ambapo watoto wao walisoma shule moja na Watanzania wengine!!Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Kwa kukopa kweli hakuna Rais anayemfikia tangu tupate uhuru!!Wewe Kwa ujinga wako unadhani Rais yupi anaweza mfikia Samia? Au unadhani Kila mtu ni mbumbumbu kama wewe?
Watoto wako wanasoma huko?Hizo shule alizo boresha ni zipi hizo?kama ameboresha mbona watoto wa viongozi hawasomi huko kama zamani wakati wa Mwalimu Nyerere na Mwinyi ambapo watoto wao walisoma shule moja na Watanzania wengine!!
Kama Mkopo unagawiwa na wewe kakope tuone kama utapata.Kwa kukopa kweli hakuna Rais anayemfikia tangu tupate uhuru!!
Hivyo ni vitu vya kawaida;weka mega projects alizoanzisha yeye personally akiwa mtawala!!Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?
Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227
Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.
Na wewe taja alivyofanya Magufuli
Aanzishe yeye personally? πππππH
Hivyo ni vitu vya kawaida;weka mega projects alizoanzisha yeye personally akiwa mtawala!!
Kaa kwa kutulia 2025, Rais Gwajima anachukua nchi tunaanza upya!!Wewe umemuambia mara ngapi? Uongozi mbovu ndio umewazidi woote wakiwamo mnaodhani ni mahiri ndio maana mnakwepa kuweka takwimu Kwa sababu mtaaibika.
Mwisho kwani wewe ukisema ni mbovu yet ana deliver ndio itaondoa ukweli kwamba amewazidi? ππ
πππππ Nchi gani hiyo?Kaa kwa kutulia 2025, Rais Gwajima anachukua nchi tunaanza upya!!
Save hii comment!
Wewe mbuzi jike ni lini Gharama za maisha ziliwahi kushuka? Gharama za maisha 2016 ni sawa na za 2020?Yani mie huwa nawaona MAFALA wanaomsifia Samia.
Hii nchi inajifia wao wanamsifia.
Ukikuta wafanyakazi wanasifia mshahara kuongezwa huku gharama za maisha zimepanda sasa hela iliyoongezwa si inarudi kulekule sawa na bure?!
Pia watu hawajiulizi serikali inaongeza mishahara pesa inatoa wapi ya kuongeza mishahara kila muda!?
Jinga kabisa hawa.
Wale Mnaosema hamna zahanati kwenu basi kaeni mkao wa kula baada ya mwezi wa 7,Mama amefungua pochi ππWewe si umesema Zahanati kila kijiji ....!!
Sasa kama u hovyo was Samia unatuletea pesa na Ajira,wewe unataka uimara wa Mwendazake kutupora pesa? π€£π€£π€£π€£π€£Chawa wanatumia nguvu sana kumpamba huyu Malikia!
Leo hii sehemu kama dar ukipanda kwenye daladala wananchi wana huzuni sana, yani Konda akianza kudai nauli tu watu wanakunja nyuso. Kwanza viwango halisi vya nauli havieleweki. Leo unalipa 800 kesho utalipa 700 kesho kutwa 1,000 na ruti ni ile ile.
Huyu Rais kwa uhovyo namfananisha na JK.
Uuze bandari , asilimia 80 zipotee na asilimia 20 zijenge zahanati afu tuendelee kumpa sifa?Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Ukitaka kujua ni kiasi gani kinabaki angalia Mapato yake ndio uje na conclusion sio ujinga wako hapa.Uuze bandari , asilimia 80 zipotee na asilimia 20 zijenge zahanati afu tuendelee kumpa sifa?
Huna akili boss