Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

Nimeona watoa hotuba baadhi Yao wakifanya reference ya CCM na si vyama vyote vya siasa kwa ujumla. Rais ni wa Watanzania, atakayoyahutubia yanahusu watanzania wote na siasa za nchi zina ubia Kati ya vyama vya upinzani na chama tawala. Hilo hakipendezi kwa mshikamano wa Taifa na uungwaji mkono wa serikali ya awamu ya sita.
Washereheshai mmefanya kosa kubwa, lirekebishe hilo next time.
Mama anawakaanga mataga kimyakimya (Malisa,2021)
 
Hata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.
 
Mama atangaze kuhusu wamachinga walioanza kufukuzwa waachwe watafute riziki zao.

Pia ujambazi wa mapanga umerudi Dsm nao auzungumzie amuachie Sirro maagizo na awe mkali kidogo.
Vibanda lazima viondoke mji unakuwa mchafu

Ova
 
Mama atangaze kuhusu wamachinga walioanza kufukuzwa waachwe watafute riziki zao.

Pia ujambazi wa mapanga umerudi Dsm nao auzungumzie amuachie Sirro maagizo na awe mkali kidogo.
Hii kiki imetengenezwa na lazima serikali itakemea.

Tengeneza tatizo halafu jifanye unalitatua!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa Hawa wazee wametokana na mabaraza ya ccm.

Nadhani hapo ndipo tunapokosea kama taifa, Kwanini Rais asikutane na wananchi pasipo mtazamo wa kisiasa. Mama Samia anazokofia mbili, pale anapotaka kukutana na wazee wa ccm atumie kofia ya uenyekiti wa ccm na anapovaa kofia ya Urais ya Tanzania auvae Utanzania usio na chama cha
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa Hawa wazee wametokana na mabaraza ya ccm.

Nadhani hapo ndipo tunapokosea kama taifa, Kwanini Rais asikutane na wananchi pasipo mtazamo wa kisiasa. Mama Samia anazokofia mbili, pale anapotaka kukutana na wazee wa ccm atumie kofia ya uenyekiti wa ccm na anapovaa kofia ya Urais ya Tanzania auvae Utanzania usio na chama cha
Hapo ndiko tabu ilipo....
Ilitakiwa waseme rais Samia anakutana na wazee wanaccm wa dar es salaam ingekuwa sawa.
 
Mama atangaze kuhusu wamachinga walioanza kufukuzwa waachwe watafute riziki zao.

Pia ujambazi wa mapanga umerudi Dsm nao auzungumzie amuachie Sirro maagizo na awe mkali kidogo.
Hakuna asietaka watu wajitafutie riziki. Kinachotakiwa ni kufuata taratibu za nchi.

Kuruhusu watu kufanya biashara hovyo hovyo sio afya kwa maendeleo ya nchi. Watu wanatakiwa kufuata utaratibu kwa kufanyia biashara zao maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.
 
Nimeona watoa hotuba baadhi Yao wakifanya reference ya CCM na si vyama vyote vya siasa kwa ujumla. Rais ni wa Watanzania, atakayoyahutubia yanahusu watanzania wote na siasa za nchi zina ubia Kati ya vyama vya upinzani na chama tawala. Hilo hakipendezi kwa mshikamano wa Taifa na uungwaji mkono wa serikali ya awamu ya sita.
Washereheshai mmefanya kosa kubwa, lirekebishe hilo next time.
Hili jambo tuli-discuss toka jana kuwa hao ni mamluki wa CCM hakuna wazee wa Dar
 
Mwendazake kweli alikua balaa sasa kila mtu amepata sauti yake back na matokeo yake kila mtu tumekua mabingwa wa uongeaji overnite!hawa ni wazee wa Dar au wa ccm doesn't matter la muhimu ni ujumbe from the president
 
Mwendazake kweli alikua balaa sasa kila mtu amepata sauti yake back na matokeo yake kila mtu tumekua mabingwa wa uongeaji overnite!hawa ni wazee wa Dar au wa ccm doesn't matter la muhimu ni ujumbe from the president
Wewe ndiyo naona jina la Nkanini, uliogopa hata kupost humu positively
 
Back
Top Bottom