Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How old are you?Futa huu upuuzi ulioweka, hao wazee wa CCM ndio walipigania Uhuru hivyo yapaswa wapewe kipaumbele zaidi
Vyama vya kwenye flash sio!Mama Samia katuunganishia vyama vyote. Kwa sasa kila mtanzania yupo ccm baada ya kuvutiwa na Sasha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili Ukumbi wa Mlimani City kuongea na Wazee wa Dar es Salaam
Tunakuletea updates hapa.
Kuna nafuu kidogo japo siyo snMwendazake kweli alikua balaa sasa kila mtu amepata sauti yake back na matokeo yake kila mtu tumekua mabingwa wa uongeaji overnite!hawa ni wazee wa Dar au wa ccm doesn't matter la muhimu ni ujumbe from the president
🤣🤣🤣🤣Huyu Dorothy Gwajima apelekwe hata kwenye seminar ya week moja ajifunze jinsi ya kuongea na kusimama vizuri mbele ya viongozi wakubwa wa nchi.
Yani anaongea kama chiriku halafu shingo kalaza upande utafikiri yupo kwenye Vicoba.
Mkuu wa mkoa kasema waliokuwa wanaratibu zoezi la kukaribisha wazee ni viongozi wa CCM, hapo kweli ungetegemea kuona mzee mwenye damu ya upinzani?Nimeona watoa hotuba baadhi Yao wakifanya reference ya CCM na si vyama vyote vya siasa kwa ujumla. Rais ni wa Watanzania, atakayoyahutubia yanahusu watanzania wote na siasa za nchi zina ubia Kati ya vyama vya upinzani na chama tawala. Hilo hakipendezi kwa mshikamano wa Taifa na uungwaji mkono wa serikali ya awamu ya sita.
Washereheshai mmefanya kosa kubwa, lirekebishe hilo next time.
Think much more deeperTangu lini Chadema iwe na wazee??
Kwani umri wa Chama tayari ushafikia kiwango cha watu kuzeeka?
Mwenye jibu aseme hapa!!
Yeah masahihisho nimeyaona kwakweli baada ya RC kusema aiseeeNakusahihisha kidogo: Rais anaongea na wazee wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam.
Huyu Dorothy Gwajima apelekwe hata kwenye seminar ya week moja ajifunze jinsi ya kuongea na kusimama vizuri mbele ya viongozi wakubwa wa nchi.
Yani anaongea kama chiriku halafu shingo kalaza upande utafikiri yupo kwenye Vicoba.
Ati nini? hata chadema nao wapo CCM!!?Mama Samia katuunganishia vyama vyote. Kwa sasa kila mtanzania yupo ccm baada ya kuvutiwa na Sasha.
Chadema haina wazee. Unabisha!?Think much more deeper
Fulu BarakoaBarakoa kwenye ubora wake
Jamaa alitaka wamtaje mzee Mtei, Mrema, Cheo nk, usikute hii itatumika kama hoja au sera ya chama fulan cha upinzani katika uchaguzi mkuu wa 2025. Kwa kweli upinzani umedorora san sasa hiviFuta huu upuuzi ulioweka, hao wazee wa CCM ndio walipigania Uhuru hivyo yapaswa wapewe kipaumbele zaidi