usipotoshe siyo hivyo rais katoa sababu
Rais Samia Suluhu Hassan
Naomba niwaombe radhi kwamba mtindo wa maisha umebadilika. Tumekuja na vikaba midomo ninyi pamoja na sisi
Kwasababu mkusanyiko huu ni mkubwa na Wazee ni rahisi kupata haya maambukizi, hatuwezi kujua nani anayo na nani hana. Sisi wenzenu tunazunguka sana
"Dunia ipo kwenye Corona na wahanga wakubwa ni Wazee. Kamati niliyoiunda wanakwenda vizuri na karibu wataleta majibu" (SSH, 2021)Wenye masikio watakuwa wamesikia wakiwamo wote waliofuatana naye. Kumbe ndiyo maana walialikwa wote.
Rasmi sasa nyungu na yale mauza uza yote na gonjwa hili sasa kwenda maji. Tahadhari huzika sasa zinaingia kazini.
Mama anakwenda vizuri.
Mkuu, waonee huruma wazee wetu. Wapo mida ya jioniWazee wamemkomalia bi mkubwa et vijana hatuwaachii siti kwenye daladala. Aaa kwani sisi vijana tunapanda bure hizo daladala! wazee tumieni pension zenu kununua usafiri na mkiona tunawakera bakini nyumbani mcheze na wajukuu zenu. Hii si awamu ya wanyonge.
Acha kuwaza upuuzi Babaako home unamfanyia hivyo?Wazee wamemkomalia bi mkubwa et vijana hatuwaachii siti kwenye daladala. Aaa kwani sisi vijana tunapanda bure hizo daladala! wazee tumieni pension zenu kununua usafiri na mkiona tunawakera bakini nyumbani mcheze na wajukuu zenu. Hii si awamu ya wanyonge.
"Dunia ipo kwenye Corona na wahanga wakubwa ni Wazee. Kamati niliyoiunda wanakwenda vizuri na karibu wataleta majibu" (SSH, 2021)
Mkuu majibu hayajatokaMama ni chaguo la Mungu aloletwa kutuvusha katika wakati muafaka mno.
Mkuu majibu hayajatoka
Meza wewe ukaungane na burigi kule chota.
Mkuu achana na hilo ZWAZWA huwa linaiwaza Corona tu masaa 24. Akiona mtu Kariakoo kavaa barakoa anatamani amuombe kupiga nae picha. Hao ni wazee huku Kariakoo hatuvaagi barakoa hata litoke tamko gani.Mkuu majibu hayajatoka
Mambo yanabadilikadada/ kaka, kwa mini watu huogopa mabadiliko!? Spika amesema CDM Isiogope kupeleka vielelezo ili awatimue ubunge kwa haki sasa hivi.Hata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.
Kalisemea na kampa maelekezo IGP kwa kweli tumpe hongera zake. AnatusikilizAHili hataliweza, namwona si mtu wa kutoa matamko makali kama Mwendazake
Sukuma gang kazini. Mtapata shida sanaRais anaongea na wazee wa jiji la Dar es Salaam nje ya jiji la Dar es Salaam!
We ndiyo mpuuzi. Haya mambo ya kutaka huruma peleka kwenu.Acha kuwaza upuuzi Babaako home unamfanyia hivyo?
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Watulie tu na waendelee kuvusha punda kwenye traffic lights.Wazee wa Chato wako Burigi, wanataka Mkoa wa Chato
Amenyooka kama rula,View attachment 1776643
moja ya watu wa hovyo ambaye badala ya yeye kumshauri Magufuli,ikawa Magufuli ndo anamshauri yeye. Lione sasa hivi
Matumizi mabaya ya kodi zetuMchakato wa rasimu utaanza upya.
Huyo IGP naye hatoshi, kama anaishi kwa kusubiri maagizo basi ni blank headKalisemea na kampa maelekezo IGP kwa kweli tumpe hongera zake. AnatusikilizA