Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

usipotoshe siyo hivyo rais katoa sababu

Rais Samia Suluhu Hassan
Naomba niwaombe radhi kwamba mtindo wa maisha umebadilika. Tumekuja na vikaba midomo ninyi pamoja na sisi

Kwasababu mkusanyiko huu ni mkubwa na Wazee ni rahisi kupata haya maambukizi, hatuwezi kujua nani anayo na nani hana. Sisi wenzenu tunazunguka sana

Wenye masikio watakuwa wamesikia wakiwamo wote waliofuatana naye. Kumbe ndiyo maana walialikwa wote.

Rasmi sasa nyungu na yale mauza uza yote na gonjwa hili sasa kwenda maji. Tahadhari huzika sasa zinaingia kazini.

Mama anakwenda vizuri.
 
Wenye masikio watakuwa wamesikia wakiwamo wote waliofuatana naye. Kumbe ndiyo maana walialikwa wote.

Rasmi sasa nyungu na yale mauza uza yote na gonjwa hili sasa kwenda maji. Tahadhari huzika sasa zinaingia kazini.

Mama anakwenda vizuri.
"Dunia ipo kwenye Corona na wahanga wakubwa ni Wazee. Kamati niliyoiunda wanakwenda vizuri na karibu wataleta majibu" (SSH, 2021)
 
Wazee wamemkomalia bi mkubwa et vijana hatuwaachii siti kwenye daladala. Aaa kwani sisi vijana tunapanda bure hizo daladala! wazee tumieni pension zenu kununua usafiri na mkiona tunawakera bakini nyumbani mcheze na wajukuu zenu. Hii si awamu ya wanyonge.
Mkuu, waonee huruma wazee wetu. Wapo mida ya jioni
 
Wazee wamemkomalia bi mkubwa et vijana hatuwaachii siti kwenye daladala. Aaa kwani sisi vijana tunapanda bure hizo daladala! wazee tumieni pension zenu kununua usafiri na mkiona tunawakera bakini nyumbani mcheze na wajukuu zenu. Hii si awamu ya wanyonge.
Acha kuwaza upuuzi Babaako home unamfanyia hivyo?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
"Dunia ipo kwenye Corona na wahanga wakubwa ni Wazee. Kamati niliyoiunda wanakwenda vizuri na karibu wataleta majibu" (SSH, 2021)

Mama ni chaguo la Mungu aloletwa kutuvusha katika wakati muafaka mno.
 
Hata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.
Mambo yanabadilikadada/ kaka, kwa mini watu huogopa mabadiliko!? Spika amesema CDM Isiogope kupeleka vielelezo ili awatimue ubunge kwa haki sasa hivi.
 
E0y0suQXMAEiAM3.jpeg


moja ya watu wa hovyo ambaye badala ya yeye kumshauri Magufuli,ikawa Magufuli ndo anamshauri yeye. Lione sasa hivi
 
Hivi wale wazee wastaafu wa afrika mashariki waliishia wapi na madai yao?
 
Back
Top Bottom