Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Inapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache kuuza bandari zetuWadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
View attachment 2720871
Kumbe ushuzi tuUkiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Kati ya Mwananchi na hawa wala kodi zetu ni nani mtumishi wa Mwingine ?Acha kudharau viongozi wako..
'' Tulia tulia nyosha miguu kunywa uji'' kwa sauti ya askofu Mpemba. Napwe na nduguze leo wametulizwa na kunywesha uji na TEC😁😁MOTO Wa TEC Unatuvuruga Sana Koo Chungu Mno Mate Hayamezeki Kabisa
Hata Mirembe wanaviongoziHata waj.inga huwa viongozi, usikariri!!!.
WalakaWanajadili nini
Allahuakbar
Kama nape ..yani sijui nilikuaga na mashetani gani kumuona ni mtu smart kumbe ni mjaa laanaUkiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Viongozi hudharaulika kwa vitendo vyao, wenzetu wakikosea huachia madaraka bila shuruti.Acha kudharau viongozi wako..
Kitaeleweka tu . Wanajifanya kukaza Shingo. Afu Kwa mbali kama wanapitia Mkataba wa Bandari
Huenda hili likatimia | 👇👇🏾Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahUkiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Kama sheria ipi?Ilifika mahali mpaka wanabadili sheria za Nchi ili tu siziwe kikwako kwa Uwekezaji wa DPW
Eti nape naye waziri😁😁Ukiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Muwe mnasomaKama sheria ipi?
Atakwambia "UNIKOME"Piga chini IGP