Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Kitaeleweka tu . Wanajifanya kukaza Shingo. Afu Kwa mbali kama wanapitia Mkataba wa Bandari
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Huenda hili likatimia | 👇👇🏾
👉🏼👉🏼| Tetesi: - Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!
=

1692375120440.png
 
Hamna namna Mama tema bungo Mawaziri waliokuuza piga chini.Si dhambi ukianza upya.Kama utapitia hii comment yangu mbarawa hakufai,Nape,Mwezi wa kwanza na Madelu kopa kopa FC, hao jamaa Waangalie sio watu wazuri.
 
Back
Top Bottom