Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Urgent cabinet meeting!
Tamko la TEC limevuruga kila kitu ndani ya serikali. Ikulu ya Chamwino hapakaliki wala kulalika. Mama yuko full stress!
TEC ni kitu gani katika hii nchi. Hawana lolote zaidi ya ubaguzi tu. Waneona Mkatoliki mwenzao Dr Slaa kapewa kesi mbaya ndio maana wanapaza sauti. Kipindi kile Maalim Seif anahangaishwa hawakuwahi kumtetea. Pia issue ya DP WORLD ingefanyika kipindi cha JPM hao TEC USINGEWASIKIA. HATA KWENYE KESI YA MBOWE HAO TEC HAWAKUONEKANA.
JAMAA WAPO KIDHEHEBU ZAIDI
 
TEC ni kitu gani katika hii nchi. Hawana lolote zaidi ya ubaguzi tu. Waneona Mkatoliki mwenzao Dr Slaa kapewa kesi mbaya ndio maana wanapaza sauti. Kipindi kile Maalim Seif anahangaishwa hawakuwahi kumtetea. Pia issue ya DP WORLD ingefanyika kipindi cha JPM hao TEC USINGEWASIKIA. HATA KWENYE KESI YA MBOWE HAO TEC HAWAKUONEKANA.
JAMAA WAPO KIDHEHEBU ZAIDI
Mbona JPM aliukataa mkataba wa aina hiyo?
 
Rudisheni hela za wenyewe vikao mnajadili nini?
Tulizana karibu utajua kutulia sasa
 
Back
Top Bottom