Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baraza la wauza nchi kwa waarabu wa Dubai.Wadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
TEC ni kitu gani katika hii nchi. Hawana lolote zaidi ya ubaguzi tu. Waneona Mkatoliki mwenzao Dr Slaa kapewa kesi mbaya ndio maana wanapaza sauti. Kipindi kile Maalim Seif anahangaishwa hawakuwahi kumtetea. Pia issue ya DP WORLD ingefanyika kipindi cha JPM hao TEC USINGEWASIKIA. HATA KWENYE KESI YA MBOWE HAO TEC HAWAKUONEKANA.Urgent cabinet meeting!
Tamko la TEC limevuruga kila kitu ndani ya serikali. Ikulu ya Chamwino hapakaliki wala kulalika. Mama yuko full stress!
This time Pascal Mayalla lazima alambe teuzi. Si uliona uzi wake leo ya kaisari mpe kaisari
Majamaa yaan Suti zingekua Akili, tungekua mbali sana.Ukiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Mabadiliko ya nini kiongozi Mshana Jr ?
Mbona JPM aliukataa mkataba wa aina hiyo?TEC ni kitu gani katika hii nchi. Hawana lolote zaidi ya ubaguzi tu. Waneona Mkatoliki mwenzao Dr Slaa kapewa kesi mbaya ndio maana wanapaza sauti. Kipindi kile Maalim Seif anahangaishwa hawakuwahi kumtetea. Pia issue ya DP WORLD ingefanyika kipindi cha JPM hao TEC USINGEWASIKIA. HATA KWENYE KESI YA MBOWE HAO TEC HAWAKUONEKANA.
JAMAA WAPO KIDHEHEBU ZAIDI
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakatiUkiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Watatafutana uchawiHuo mpangilio wa meza siyo mzuri.
Ilitakiwa iwe wote kutazamana sasa hao huko mgongoni inakuwaje
Mambo ni mengi lazima cabinet iitwe
Ukiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Ukiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
hili jopo ni la watu makini sana..
nawakubali ccm vibaya mnoo
Kitchen CabinetWadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Jimbo lake lenyewe shamba la Minazi.Eti nape naye waziri[emoji16][emoji16]
Utafikiri ni watu wa maana kumbe ......Ukiwaona na misuti utadhani wanajadili kitu cha maana!!.
Wa hovyo tuUtafikiri ni watu wa maana kumbe ......
Kwa mkataba ule shaka haipo.Hata waj.inga huwa viongozi, usikariri!!!.