inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
We uliyesoma tuambie sheria ipi,au unaimba tu viitikio!?.. mzee wa oyaoya!Muwe mnasoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uliyesoma tuambie sheria ipi,au unaimba tu viitikio!?.. mzee wa oyaoya!Muwe mnasoma
Cjakupata,nepi ,taulo stuli na gereshibla ...Wamlipe fidia Kwa kumzalilisha yeye binafsi na jeshi la Polisi Kwa ujumla wake, yaani wanataka kuonyesha Nepe, February, kitulo, tuli ni wenye ueledi kuliko igp na geshi la porisi
Wadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Jitahidi upeleke watoto wako shule wapate elimu dunia iliyo bora wasije kuwa kama wewe wa "ilm ahera".Kama sheria ipi?
IGP anastahili kwendaPiga chini IGP
Mpiga picha akamatwe.Wadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Hakuna kitu hata akiongoza kinachochadiliwa ni ulanguzi tuWadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Cjakupata,nepi ,taulo stuli na gereshibla .
Ila wao ndio watudharau eeenh...!?Acha kudharau viongozi wako..
UhainiWanajadili nini
Hakuna huo uwezekano. Labda kama ni mabadiliko ya mekapu na lipustiki
Mwache mama aendelee kufanya kazi. Kesho atawajibu kuwa wanaopinga wasubiri 2025Urgent cabinet meeting!
Tamko la TEC limevuruga kila kitu ndani ya serikali. Ikulu ya Chamwino hapakaliki wala kulalika. Mama yuko full stress!
Biblia inasema usikae barazani pa wenye mizaha😂😂Wadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
Hahahaha kama wako serious vile Leo siku nzima tumeshinda bila umeme kazi zoote zimesimama hivyo vikao hua wanajadili nini au ni vikao vya familiaWadau hamjamboni nyote?
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo tarehe 18/08/2023
We unanifikia kielimu!?..Kuna mbuzi yoyote ananifikia kielimu kwenye ukoo wenu!?Jitahidi upeleke watoto wako shule wapate elimu dunia iliyo bora wasije kuwa kama wewe wa "ilm ahera".