Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Wakusanye tu Hela wazirudishe
Wanatoka wapi wakati wengine washanunua apartments 😁😁na tetesi zasema DP washashika ndege ya mama,hivo angekuwa nayo wangemrudishia kwa sasa hivi tutabanana nae ktk ndege za public kama Kawa....
 
We unanifikia kielimu!?..Kuna mbuzi yoyote ananifikia kielimu kwenye ukoo wenu!?
Bahati mbaya mbuzi ninaofuga wote siwezi kuwafananisha na binadamu.
Pole sana kwa kuwa mbuzi, maana umeandika hapo kuwa wewe ni wa kufananishwa na mbuzi,hivyo wewe ni mbuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…