Wanatoka wapi wakati wengine washanunua apartments 😁😁na tetesi zasema DP washashika ndege ya mama,hivo angekuwa nayo wangemrudishia kwa sasa hivi tutabanana nae ktk ndege za public kama Kawa....
Bahati mbaya mbuzi ninaofuga wote siwezi kuwafananisha na binadamu.
Pole sana kwa kuwa mbuzi, maana umeandika hapo kuwa wewe ni wa kufananishwa na mbuzi,hivyo wewe ni mbuzi.