Rais Samia apandisha kiwango cha Posho ya Kujikimu ya Safari za Ndani ya Nchi na Malipo ya Kazi Maalum kwa Watumishi wa Umma

Kwanza tujiulize kipi kilianza kupanda..Gharama.za Maisha au hizi posho..amefanya jambo jema toka vita vya Urusi vianze maisha yalikuwa tight sana
 
Wale wa 120,000 wanakuwa 250,000
Wale wa 80,000 wanakuwa 100,000
Haya wale wa 100,000 inakuwa ngap mbona hapa papo silence?
 
Hii ni kufuru atasabisha inflation balaa
yani mambo ya hovyo sana hivi vitu vilitakiwa viwe siri sasa hapa ndugu si wataanza kuzingua wakisikia nimesafiri kikazi da alafu wenyewe wanasisitiza tusiweke document za serikali mtandaoni while wao wanatuweka uchi hivi mbona walipandisha madaraja kimya kimya na mambo yakaenda
 
wale wa laki imekua 150 mkuu mama anaupiga mwingi kama mayele
 
Huyu mama kila ushauri anaopewa anakubali tu,,, .atamaliza muda wake hakuna alichofanya...
atakua ameongeza mishahara mkuu ni achievement pia manake mkimpiga mzinga mshkaji wako wa serikalini atakua anakutoa so na wewe utakua umelamba asali mkuu
 
Hatari sana tusijeachwa kwenye financial crisis za hatari. Manake kama unachopata ie kutoka kwenye makusanya ya kodi na mauzo ya nje ni kidogo kulinganisha na kile unachotumia. Sio afya kwenye uchumi wa nchi
Itafikia muda pesa za kulipa wafanyakazi zitakuwa hamna...Itabidi akakope,,.washauri wake sijui ni wakina nani?
 
atakua ameongeza mishahara mkuu ni achievement pia manake mkimpiga mzinga mshkaji wako wa serikalini atakua anakutoa so na wewe utakua umelamba asali mkuu
Upuuzi mtupu....Tunataka miradi mikubwa ya maendeleo kama kipindi cha Magufuli...
 
Huu ni unyanga'anyi mwingine.
Posho ya juu kutoka 120,000 - 250,000 ongezeko zaidi ya mara 2 yaani %/mia na zaidi wakati posho ya chini toka 80,000 - 100,000 tu ! hapa ongezeko la asilimia isiyo zidi 25!

Taratibu wanaanza kuimarisha matabaka ya walionacho sana na walio na kidogo sana.

Nimeanza kubadili mawazo.Watanzania wenzangu tuamke
 
Ukiongeza spending unaongeza inflation ndugu.. Production ndio zinachochea uchumi kukua.
Utaproduce kama hakuna walaji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬..

Do you know even the incentive to produce?

Tuachie wenye taaluwe wewe jikite upande wako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…