Naomba ufafanuzi wa fungu kubwa la ustawi wa jamii kwa kuzingatia usawa wa jinsia Ths Bilioni 284. Hapa kuna mengi hatujui kwa pesa nyingi hivi. Naomba plan za ukweli sio uzushi au ushabiki.
Zitto , Mwigulu Nchemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa inatolewa ikiwa imepangiwa masharti na beberu, tutarajie kupewa mzigo mwingine maalum kwa ajili ya kutetea haki za mashoga......Naomba ufafanuzi wa fungu kubwa la ustawi wa jamii kwa kuzingatia usawa wa jinsia Ths Bilioni 284. Hapa kuna mengi hatujue kwa pesa nyingi hivi
Zitto , Mwigulu Nchemba
A ha UCHAWA,Samia au Serikali ya Tanzania imepata msaada?
Ulitaka isipangiwe Ili uifanyie nini?Pesa inatolewa ikiwa imepangiwa masharti na beberu, tutarajie kupewa mzigo mwingine maalum kwa ajili ya kutetea haki za mashoga......
Mwambie maza aikatae bac kama ana jeuri hiyo...achana na kitu kinaitwa njaa ndugu.Pesa inatolewa ikiwa imepangiwa masharti na beberu, tutarajie kupewa mzigo mwingine maalum kwa ajili ya kutetea haki za mashoga......
Elewa kwamba pesa ya beberu ina some strings attached, hii ni pamoja na kushawishi utekelezaji wa sera, mitazamo na fikra zao kimataifa nk. Kwa akili ya kuwaza kushiba makande mambo kama haya huwezi kuyajua kiundani.
Ilianzia hapa mkuu 👇Inayojiita awamu ya 6 inakwenda kunyume kabisa na mwendazake, hii tabia ya kutukuza mabeberu imeanza lini???
Kwa hiyo kukiwa na strings kuna shida gani? Tuambie strings unayoona ina shida kwako na TaifaElewa kwamba pesa ya beberu ina some strings attached, hii ni pamoja na kushawishi utekelezaji wa sera, mitazamo na fikra zao kimataifa nk. Kwa akili ya kuwaza kushiba makande mambo kama haya huwezi kuyajua kiundani.
🚮🚮🚮,jadili hoja sio jinsia ya mtu.We jamaa ni mwanamke au mwanaume
Muwe mnasema mkopo. Siyo msaada huo. Mzungu hana vya bure.Huu mzigo si mchezo,
TZS 677BL msaada toka Ufaransa
TZS 1.15BL msaada toka EU
JUMLA KUU 1.92TRILIONI,
#MAMA SAFIRI HATA KILA SIKU TU,
Mama anaenda kuua bwawa la Nyerere ili tutumie gesi ya makampuni ya wazungu.Humo kuna msaada na loan.Bado mzigo mwingine utatua kutoka kwa Hawa hapa 👇
View attachment 2123235
View attachment 2123236
View attachment 2123237
View attachment 2123238
Peleka upuuzi wako huku 🚮🚮🚮Mama anaenda kuua bwawa la Nyerere ili tutumie gesi ya makampuni ya wazungu.
Mzungu hana vya bure.