Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU

Rais Samia apata msaada wa fedha jumla ya shilingi trilioni 1.15 toka EU

Naomba ufafanuzi wa fungu kubwa la ustawi wa jamii kwa kuzingatia usawa wa jinsia Ths Bilioni 284. Hapa kuna mengi hatujui kwa pesa nyingi hivi. Naomba plan za ukweli sio uzushi au ushabiki.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Subiri wakati wa utekelezaji wa bajeti utajua.

Ila baadhi ya miradi ni

Screenshot_20220213-201556.png
 
Inabidi tuunde wizara kamili ya kushughulika utafutaji wa mikopo na misaada.
 
Unafurahia misaada kweli? Nchi yenye rasilimali kama yetu ni ujuha kufurahia misaada.
Unao uwezo wa kuzibadilisha hizo rasrimali (natural resources) kuwa fedha?

Kama ni MSAADA, honestly hilo ni jambo la kufurahia na kumshukuru Mungu sana...

Kisicho cha kufurahia hata kidogo ni MIKOPO....!!

Biblia inasema, ukikopeshwa wewe unakuwa MTUMWA wa aliyekukopesha...

Hii ndiyo ilikuwa tabia ya John P. Magufuli. Anakopa kwa kificho, halafu, anatoka hadharani na kuwadanganya wananchi kuwa, ni FEDHA ZETU ZA NDANI ya nchi kumbe limekopa kwenye taasisi zenye riba ya kutisha...!!
 
Hili nalo omba omba, ndio shida ya kuwapa uongoz watu waliokulia mazingira ya uvivu na kutegemea bahati ya kuomba omba.

Kama Taifa analitia aibu, ni vile tu haoni, maana wanaomfadhiri ndio huona.

Hiyo nchi inayowapa hizo fedha sio kwamba wao matajiri saana kiasi kwamba kwao kwa wananchi wanaotoa kodi zao, Hakuna umasikini, masikini wapo ambao wangepaswa kupokea hizo fedha, lkn chaajabu unapewa bure mtindiga na mnyasa wa afrika bara masikini wa akili na fikra, yaan eti unasaidiwa bure??

Buree ya nyooko, soon mtakuja zitapika hizo fedha kupita maajenda ya kishenz na kulazimishwa kukubali mawazo ya hao mabwana, maana umekula chao bure.

Tegemeeni ushoga,usagaji, haki za kipuuz za wanawake& watoto,uwepo wa magonjwa ya ajabu ajabu, ndoa za jinsia moja, wawekezaji uchwara, mikataba mibovu, kurindima Tz maana hayo yote hulenga kuboresha mahusiano baina ya Tz na hao mabwana, sas mnazan wao mahusiano na nchi kama hii watawahusisha kwa lipi zaid ya uwizi wa resources na kuleta tabia za hovyo
20220124_220809.jpg
 
Mkuu, Ni aibu na Ni dhambi kuomba kitu,au msaada kwa kile ulicho na uwezo nacho, mwisho wa kunukuu..[emoji30][emoji102]
Inakuwa kama hujui kuwa bajeti yetu ya kila mwaka hutegemea misaada na mikopo kwa almost 35%. Katika hali hii utasemaje unacho wewe? Hapana, HUNA na si aibu kusema huna ili usaidiwe na baadaye ujifunze kusimama na kujitegemea mwenyewe..!!

Mimi nilidhani ungesema ni dhambi KWENDA KUKOPA. Na hili ni kweli ni dhambi kabisa maana akopaye ni mtumwa wa aliyemkopesha...

Lakini kama mtu ameomba msaada na mtu akakubali kukusaidia inawezaje kuwa dhambi..?

Halafu unasema "kuomba ulichonacho ni dhambi". Unacho nini? Kama una madini, mbuga za wanyama na mali asili zingine, sawa...

Lakini hizo siyo fedha. Utakuwa " una fedha" kama utajenga uwezo wa kubadili natural resources hizo kuwa fedha...!!

Kilichopo sasa, tufanye kila tunaloweza kutumia misaada hii vizuri ili tuwwkeze kwenye knowledge na teknolojia ya ku extract mali asili zetu na kuzibadili kuwa fedha ili nasi tuanze kuwasaidia wengine...
 
Kwahiyo kiuhalisia, mpaka sasa tuna Trilioni ngapi za watu? Tumeweka nini kama collateral?

Haraka haraka, inapungua Trilioni 10 kweli? Na sisi tukikazana sana kukusanya, kwa mwaka tunaweza pata Trilioni 18 sio? Ndo kusema tushakopa zaidi ya nusu ya kipato chetu cha mwaka, hivi ule utaratibu wa ⅓ ya net pay yako ni kwa waajiriwa tu?

200s bn kwa jinsia, 97 bn kwa Pemba(Mwanza geresha, Tanga kuna kaharufu kao)

Tofauti niionayo ni kuwa, mipesa mingi inaingia, hakuna kinachoonekana kufanyika zaidi pesa inazidi kuadimika mtaani!

Ngorongoro, Chunya, Bagamoyo, .......
 
Watalipa watanganyika..wazenji hudumu bure mpaka ndani tumeanza na kuondoa gharama za kuunganisha umeme..mwendo wa kubonyeza kizenji tu.
Rais wao anaonewa wivu na wengi wetu huku bara. Na watapiga hatua sana miaka hii minne ya Mwinyi.
 
Rais wao anaonewa wivu na wengi wetu huku bara. Na watapiga hatua sana miaka hii minne ya Mwinyi.
Huyu raisi huku hatakiwi kukosolewa? Akikosolewa anaonewa wivu?
Nyerere alikoselewa
Mwinyi alikosolewa
mkapa alikosolewa
Kikwete alikosolewa
Magufuli alikosolewa
Yeye ni nani asikosolewe?
 
Inayojiita awamu ya 6 inakwenda kunyume kabisa na mwendazake, hii tabia ya kutukuza mabeberu imeanza lini???
Hakuna binadamu anayeweza kuishi kama kisiwa halafu akafanikiwa. JPM aliyekuwa akisema nchi hii ni tajiri majukwaani lakini akishuka anamtuma Dotto James aende akakae na hao hao wazungu ili aombe pesa.
 
Huyu raisi huku hatakiwi kukosolewa? Akikosolewa anaonewa wivu?
Nyerere alikoselewa
Mwinyi alikosolewa
mkapa alikosolewa
Kikwete alikosolewa
Magufuli alikosolewa
Yeye ni nani asikosolewe?
Unaweza ukawa unakosoa huku unaumia ndani ya nafsi yako. Unakosoa huku gubu linakusumbua.
 
Hili nalo omba omba, ndio shida ya kuwapa uongoz watu waliokulia mazingira ya uvivu na kutegemea bahati ya kuomba omba.

Kama Taifa analitia aibu, ni vile tu haoni, maana wanaomfadhiri ndio huona.

Hiyo nchi inayowapa hizo fedha sio kwamba wao matajiri saana kiasi kwamba kwao kwa wananchi wanaotoa kodi zao, Hakuna umasikini, masikini wapo ambao wangepaswa kupokea hizo fedha, lkn chaajabu unapewa bure mtindiga na mnyasa wa afrika bara masikini wa akili na fikra, yaan eti unasaidiwa bure??

Buree ya nyooko, soon mtakuja zitapika hizo fedha kupita maajenda ya kishenz na kulazimishwa kukubali mawazo ya hao mabwana, maana umekula chao bure.

Tegemeeni ushoga,usagaji, haki za kipuuz za wanawake& watoto,uwepo wa magonjwa ya ajabu ajabu, ndoa za jinsia moja, wawekezaji uchwara, mikataba mibovu, kurindima Tz maana hayo yote hulenga kuboresha mahusiano baina ya Tz na hao mabwana, sas mnazan wao mahusiano na nchi kama hii watawahusisha kwa lipi zaid ya uwizi wa resources na kuleta tabia za hovyoView attachment 2123351
Maneno yako na matusi hayatobadilisha kitu mkuu hukupaswa kuongea au kutoa maneno ya namna hiyo. Kwa msomi ambae kweli ameenda shule kamwe hawezi kua na fikra ulizonazo.
 
Unakopa halafu unawekeza hela zote kwenye costs centres, ambazo inabidi utumie hela tena kuendesha hizo investment kama mishahara ya walimu na kugharamia upkeep costs za shule.

Umeshajenga shule ni mafanikio makubwa wekeza sasa kwenye infrastructures zinazo fungua uchumi.

Mawaziri wanajitapa makusanyo yanaongezeka wanadhani uhodari wa TRA Magufuli kawafungulia nchi economic activities zimeongezeka na wao wanakusanya kodi leo maeneo mengine miaka sita nyuma ilikuwa makusanyo yake hafifu leo TRA wanafika.

Kazi ya kufungua nchi bado sana, sio akili kutumia hela kujiongezea costs centres zaidi.
 
Back
Top Bottom