Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Bashiru walisemaje?nikionaGa picha za huyu bibi huwa naihurumia nchi yangu!
akina bashiru wangesikilizwa kuelekea march 17 hakika tusingekua hapa!
Jamaa wa magwanda wanasema alikomaa. Huwa vijana wa kampuni yake wanadai hakuwa na uwezo wa kimkakati katika maeneo menginikionaGa picha za huyu bibi huwa naihurumia nchi yangu!
akina bashiru wangesikilizwa kuelekea march 17 hakika tusingekua hapa!
Unao ugonjwa wa kipekee kabisa wewe mtu.Hata Lissu anatamani kuhiji kwenye kaburi Chato au hukumsikia?🤣
Usichojua ni kwamba nimekuwepo humu tangu nilipotoka Darhotwire na enzi za Jambo Forums kabla ya kugeuzwa kuwa Jamii Forums zamani sana kabla yako. Usikariri kwa kuangalia siku nilipojiunga🤣🤣Unao ugonjwa wa kipekee kabisa wewe mtu.
Michango yako yote ndani ya JF tokea ujiunge humu Aug 02, 2016 ni ya aina hii hii, haijabadilika hata siku moja!
Acheni matusi, hata kama mnatumia fake I'd ni vizuri kuwa muungwana.wa mamako kuolewa na bwana mwingine anamwacha babako
Sawa; ina maana hata huko kote ulikoanzia hali ilikuwa hivi hivi kamainavyoonekana hadi leo!Usichojua ni kwamba nimekuwepo humu tangu nilipotoka Darhotwire na enzi za Jambo Forums kabla ya kugeuzwa kuwa Jamii Forums zamani sana kabla yako. Usikariri kwa kuangalia siku nilipojiunga🤣🤣
Sitafuti uteuzi hapaSubiri teuzi.
Sasa hivi mapato hakuna tena yanayokidhi hitaji la serikali.
Wananchi mjiandae kwa kodi au tozo mpya ili kufidia bandari
Sawa. Mtakuja na kodi au tozo ipi ili tujipange kisaikolojia?Sitafuti uteuzi hapa
Yaani kwa sababu sijashikishwa akili basi ndio unaona kama maajabu vile sio?Sawa; ina maana hata huko kote ulikoanzia hali ilikuwa hivi hivi kamainavyoonekana hadi leo!
Hili halikustaajabishi wewe?
Kweri kabisa ,Samia hawezi kuteua mwendawazimu kama wewe .Sitafuti uteuzi hapa
Ndugu zangu watanzania,
...
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Wewe kama sio Mwijaku utakuwa Steve Nyerere.Ndugu zangu watanzania,
Mitaani kumenoga, kumependeza,ni furaha ,ni Tabasamu ,Ni vicheko ,Ni raha ,shangwe Na nderemo baada ya kipenzi cha watanzania,mama wa shoka,mwamba wa Afrika,Jasiri muongoza njia,komandoo hodari,Shujaa wa Afrika ,Nembo ya Taifa,Hadhina ya Taifa na Nuru ya wanyonge mh mama samia suluhu Hasssan kuonekana mbele ya macho ya watanzania.
Mitaani,vilingeni na vijiwe vyote mijadala mikubwa imetawaliwa na bashasha na furaha ya watanzania kumuona mama yao hadharani akiwa mwenye furaha,Tabasamu na matumaini makubwa.watanzania wengine wameonekana wakimuombea hadharani heri ya maisha marefu yenye baraka na amani.Hii ndio maana ya kiongozi wa watu ,Rais samia amedhihirisha kuwa ni kiongozi wa watu ,mama wa watanzania,mlezi wa Taifa na Tumaini la nchi.
Hakika Rais samia anaishi mioyoni mwa watanzania,Amebeba ndoto na matumaini ya mamilioni ya watanzania,. matarajio ya watanzania kwa Rais samia ni makubwa sana.ndio maana watanzania wanakosa amani , furaha na amani mioyoni mwao wasipomuona Rais samia hadharani, watanzania wanakuwa wapweke sana wakiikosa sauti ya Rais samia,wanakuwa wenye kukata Tamaa na kuishiwa nguvu wasipomuona Rais wao,wanakosa morali ya kazi wasipomuona mama yao maana wanafahamu mama ndiye ajuaye matatizo yao,mwenye uchungu na maisha yao ,mwenye kujuwa shida ,kero na changamoto za wananchi kwa kuwa wanafahamu huyo ndiye aliyekabidhiwa kila kitu cha nchi hii na kulibeba Taifa katika mikono yake.
Ndio maana wakati na muda wote Rais Samia amelibeba Taifa katika mikono yake kwa umakini ,upendo na uzalendo mkubwa sana katika kuhakikisha kuwa Taifa ni salama na watanzania ni salama,. Huyu ndiye mama samia chaguo la watanzania na Mboni ya Taifa.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.