Ndugu zangu watanzania,
Mitaani kumenoga, kumependeza,ni furaha ,ni Tabasamu ,Ni vicheko ,Ni raha ,shangwe Na nderemo baada ya kipenzi cha watanzania,mama wa shoka,mwamba wa Afrika,Jasiri muongoza njia,komandoo hodari,Shujaa wa Afrika ,Nembo ya Taifa,Hadhina ya Taifa na Nuru ya wanyonge mh mama samia suluhu Hasssan kuonekana mbele ya macho ya watanzania.
Mitaani,vilingeni na vijiwe vyote mijadala mikubwa imetawaliwa na bashasha na furaha ya watanzania kumuona mama yao hadharani akiwa mwenye furaha,Tabasamu na matumaini makubwa.watanzania wengine wameonekana wakimuombea hadharani heri ya maisha marefu yenye baraka na amani.Hii ndio maana ya kiongozi wa watu ,Rais samia amedhihirisha kuwa ni kiongozi wa watu ,mama wa watanzania,mlezi wa Taifa na Tumaini la nchi.
Hakika Rais samia anaishi mioyoni mwa watanzania,Amebeba ndoto na matumaini ya mamilioni ya watanzania,. matarajio ya watanzania kwa Rais samia ni makubwa sana.ndio maana watanzania wanakosa amani , furaha na amani mioyoni mwao wasipomuona Rais samia hadharani, watanzania wanakuwa wapweke sana wakiikosa sauti ya Rais samia,wanakuwa wenye kukata Tamaa na kuishiwa nguvu wasipomuona Rais wao,wanakosa morali ya kazi wasipomuona mama yao maana wanafahamu mama ndiye ajuaye matatizo yao,mwenye uchungu na maisha yao ,mwenye kujuwa shida ,kero na changamoto za wananchi kwa kuwa wanafahamu huyo ndiye aliyekabidhiwa kila kitu cha nchi hii na kulibeba Taifa katika mikono yake.
Ndio maana wakati na muda wote Rais Samia amelibeba Taifa katika mikono yake kwa umakini ,upendo na uzalendo mkubwa sana katika kuhakikisha kuwa Taifa ni salama na watanzania ni salama,. Huyu ndiye mama samia chaguo la watanzania na Mboni ya Taifa.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.