Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe, Ikulu Dar es Salaam

Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe, Ikulu Dar es Salaam

Ndugu zangu watanzania,

Mitaani kumenoga, kumependeza,ni furaha ,ni Tabasamu ,Ni vicheko ,Ni raha ,shangwe Na nderemo baada ya kipenzi cha watanzania,mama wa shoka,mwamba wa Afrika,Jasiri muongoza njia,komandoo hodari,Shujaa wa Afrika ,Nembo ya Taifa,Hadhina ya Taifa na Nuru ya wanyonge mh mama samia suluhu Hasssan kuonekana mbele ya macho ya watanzania.

Mitaani,vilingeni na vijiwe vyote mijadala mikubwa imetawaliwa na bashasha na furaha ya watanzania kumuona mama yao hadharani akiwa mwenye furaha,Tabasamu na matumaini makubwa.watanzania wengine wameonekana wakimuombea hadharani heri ya maisha marefu yenye baraka na amani.Hii ndio maana ya kiongozi wa watu ,Rais samia amedhihirisha kuwa ni kiongozi wa watu ,mama wa watanzania,mlezi wa Taifa na Tumaini la nchi.

Hakika Rais samia anaishi mioyoni mwa watanzania,Amebeba ndoto na matumaini ya mamilioni ya watanzania,. matarajio ya watanzania kwa Rais samia ni makubwa sana.ndio maana watanzania wanakosa amani , furaha na amani mioyoni mwao wasipomuona Rais samia hadharani, watanzania wanakuwa wapweke sana wakiikosa sauti ya Rais samia,wanakuwa wenye kukata Tamaa na kuishiwa nguvu wasipomuona Rais wao,wanakosa morali ya kazi wasipomuona mama yao maana wanafahamu mama ndiye ajuaye matatizo yao,mwenye uchungu na maisha yao ,mwenye kujuwa shida ,kero na changamoto za wananchi kwa kuwa wanafahamu huyo ndiye aliyekabidhiwa kila kitu cha nchi hii na kulibeba Taifa katika mikono yake.

Ndio maana wakati na muda wote Rais Samia amelibeba Taifa katika mikono yake kwa umakini ,upendo na uzalendo mkubwa sana katika kuhakikisha kuwa Taifa ni salama na watanzania ni salama,. Huyu ndiye mama samia chaguo la watanzania na Mboni ya Taifa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Duh,una wazazi kweli?
 
Yaani kwa sababu sijashikishwa akili basi ndio unaona kama maajabu vile sio?
EEEeeeenHeeeeeeee!

Hapa kidogo naona mabadiliko, kwa hiyo kumbe inawezekana hata wewe kubadilika na kuacha kuwa kama 'robot' fulani.
 
Ila kwa huyo mama anapenda vichwa vibovu kama hizi..mwanamke mdhaifu sana na IQ yake ipo chini milele..hakuna mwanamke aliyewahi kugundua chochote duniani iwe kwenye technology n.k zaidi ya kusoma na kuwa maprofesor na kuongoza taasisi kwa kupigiwa debe kwa mbereko,na ipo hivi hata kichaa akimsifia anamuona wa maana kuliko doctor anayemtibu huyo kichaaa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.

View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330

View attachment 2708331
Wagalatia wamechukia
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.

View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330

View attachment 2708331
Matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kupoteza muda. Tutapokea wageni mpaka lini? n why wageni wageni wanatusaidia kwa lipi tuanzie hapo..
 
Ila kwa huyo mama anapenda vichwa vibovu kama hizi..mwanamke mdhaifu sana na IQ yake ipo chini milele..hakuna mwanamke aliyewahi kugundua chochote duniani iwe kwenye technology n.k zaidi ya kusoma na kuwa maprofesor na kuongoza taasisi kwa kupigiwa debe kwa mbereko,na ipo hivi hata kichaa akimsifia anamuona wa maana kuliko doctor anayemtibu huyo kichaaa
Huna akili wala adabu na ulistahili uwe Mirembe kupata matibabu ya akili.
 
Ndugu zangu watanzania,

Mitaani kumenoga, kumependeza ni furaha ,ni Tabasamu. Ni vicheko ,Ni raha, shangwe Na nderemo baada ya kipenzi cha watanzania, mama wa shoka, mwamba wa Afrika, Jasiri muongoza njia,komandoo hodari, Shujaa wa Afrika, Nembo ya Taifa, Hadhina ya Taifa na Nuru ya wanyonge mh mama samia suluhu Hasssan kuonekana mbele ya macho ya watanzania.

Mitaani,vilingeni na vijiwe vyote mijadala mikubwa imetawaliwa na bashasha na furaha ya watanzania kumuona mama yao hadharani akiwa mwenye furaha,Tabasamu na matumaini makubwa. Watanzania wengine wameonekana wakimuombea hadharani heri ya maisha marefu yenye baraka na amani.Hii ndio maana ya kiongozi wa watu ,Rais samia amedhihirisha kuwa ni kiongozi wa watu ,mama wa watanzania,mlezi wa Taifa na Tumaini la nchi.

Hakika Rais samia anaishi mioyoni mwa watanzania,nimebeba ndoto na matumaini ya mamilioni ya watanzaniam,. matarajio ya watanzania kwa Rais samia ni makubwa sana.

Ndiyo maana Watanzania wanakosa amani , furaha na amani mioyoni mwao wasipomuona Rais samia hadharani, watanzania wanakuwa wapweke sana wakiikosa sauti ya Rais samia,wanakuwa wenye kukata Tamaa na kuishiwa nguvu wasipomuona Rais wao.

Wanakosa morali ya kazi wasipomuona mama yao maana wanafahamu mama ndiye ajuaye matatizo yao,mwenye uchungu na maisha yao, mwenye kujuwa shida, kero na changamoto za wananchi kwa kuwa wanafahamu huyo ndiye aliyekabidhiwa kila kitu cha nchi hii na kulibeba Taifa katika mikono yake.

Ndio maana wakati na muda wote Rais Samia amelibeba Taifa katika mikono yake kwa umakini m, upendo na uzalendo mkubwa sana katika kuhakikisha kuwa Taifa ni salama na watanzania ni salama,. Huyu ndiye mama samia chaguo la watanzania na Mboni ya Taifa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tafuta kazi ya kufanya na kukuweka kuwa bize

Unaowasifia hizo ndio kazi zao na maisha yao

Tafuta kazi ya kukupatia kipato kwa maisha yako ya uzee
 
Kuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
Uso wako umeuona lakini? Chukua kioo ujiangalie tena ndio ujifananishe na mama. Huyo mumeo anakuvumilia tu. Mlitaman abwabwaje lakini yeye abawapiga pini kimnya kimnya maae!!
 
Back
Top Bottom