peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kafanana na dr Dorothy GWAJIMARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.
View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330
View attachment 2708331
Mtoto wa kike Uko bize na Nuru za nyuso za wanawake wenzioKuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
Ya Dubai yameisha?
Kwahiyo Ndege kuonekana Dubai na Saudi Arabia it was fake news !!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.
View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330
View attachment 2708331
Kwahiyo ndege lazima iwe na rais?Kwahiyo Ndege kuonekana Dubai na Saudi Arabia it was fake news !!
Kwanini tunakubali kuwa wadanganyika kiurahisi rahisi namna hii ???!!! 😱😱
Sihitaji kupoteza muda na hivi vimipasho vyako kama ilivyo kawaida yako siku zote.Mbona wewe bado ni 'robot'; lini utaacha?🤣😂🤣
Unadhani nami nina huo muda? Kwenda zako huko.Sihitaji kupoteza muda na hivi vimipasho vyako kama ilivyo kawaida yako siku zote.
Wewe ni mgonjwa hasa, kama miaka yote hiyo akili zako ni za aina hii hii..., mwenyewe unasema tokea enzi za 'hotwire'?Unadhani nami nina huo muda? Kwenda zako huko.
Tafadhali usianzishe kitu ambacho huwezi kukimaliza.Wewe ni mgonjwa hasa, kama miaka yote hiyo akili zako ni za aina hii hii..., mwenyewe unasema tokea enzi za 'hotwire'?
Utakuwa ni mgonjwa kweli kweli!
Imetosha.
Nimekwisha kuaga.Tafadhali usianzishe kitu ambacho huwezi kukimaliza.
Upuuzi mtupu.Nimekwisha kuaga.
Huna chochote cha "kumaliza" wewe, ni kupoteza muda tu.