Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe, Ikulu Dar es Salaam

Duh,una wazazi kweli?
 
Yaani kwa sababu sijashikishwa akili basi ndio unaona kama maajabu vile sio?
EEEeeeenHeeeeeeee!

Hapa kidogo naona mabadiliko, kwa hiyo kumbe inawezekana hata wewe kubadilika na kuacha kuwa kama 'robot' fulani.
 
Ila kwa huyo mama anapenda vichwa vibovu kama hizi..mwanamke mdhaifu sana na IQ yake ipo chini milele..hakuna mwanamke aliyewahi kugundua chochote duniani iwe kwenye technology n.k zaidi ya kusoma na kuwa maprofesor na kuongoza taasisi kwa kupigiwa debe kwa mbereko,na ipo hivi hata kichaa akimsifia anamuona wa maana kuliko doctor anayemtibu huyo kichaaa
 
Wagalatia wamechukia
 
Matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kupoteza muda. Tutapokea wageni mpaka lini? n why wageni wageni wanatusaidia kwa lipi tuanzie hapo..
 
Huna akili wala adabu na ulistahili uwe Mirembe kupata matibabu ya akili.
 
Tafuta kazi ya kufanya na kukuweka kuwa bize

Unaowasifia hizo ndio kazi zao na maisha yao

Tafuta kazi ya kukupatia kipato kwa maisha yako ya uzee
 
Kuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
Uso wako umeuona lakini? Chukua kioo ujiangalie tena ndio ujifananishe na mama. Huyo mumeo anakuvumilia tu. Mlitaman abwabwaje lakini yeye abawapiga pini kimnya kimnya maae!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…