Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe, Ikulu Dar es Salaam

Mama kafanana na dr Dorothy GWAJIMA
 
Kuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
Mtoto wa kike Uko bize na Nuru za nyuso za wanawake wenzio

No wonder we are poor
 
Kwahiyo Ndege kuonekana Dubai na Saudi Arabia it was fake news !!
Kwanini tunakubali kuwa wadanganyika kiurahisi rahisi namna hii ???!!! 😱😱
 
Kwahiyo Ndege kuonekana Dubai na Saudi Arabia it was fake news !!
Kwanini tunakubali kuwa wadanganyika kiurahisi rahisi namna hii ???!!! 😱😱
Kwahiyo ndege lazima iwe na rais?

Kwani imekua Figo zake?
 
Unadhani nami nina huo muda? Kwenda zako huko.
Wewe ni mgonjwa hasa, kama miaka yote hiyo akili zako ni za aina hii hii..., mwenyewe unasema tokea enzi za 'hotwire'?
Utakuwa ni mgonjwa kweli kweli!

Imetosha.
 
Wewe ni mgonjwa hasa, kama miaka yote hiyo akili zako ni za aina hii hii..., mwenyewe unasema tokea enzi za 'hotwire'?
Utakuwa ni mgonjwa kweli kweli!

Imetosha.
Tafadhali usianzishe kitu ambacho huwezi kukimaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…