Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Samia katiba inasemaje kuhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa eti anasema katoa ruhusa ina maana katiba haijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongela katiba au sheria ya vyma vya siasa?Samia katiba inasemaje kuhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa eti anasema katoa ruhusa ina maana katiba haijui.
chukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?Hawana akili 🚮 wakiambiwa ukweli wanadai wanatukanwa
SEMENI YOTE ILAchukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?
Kwani walitaka kujibizana na Samia?Unaposema watu hawana cha kuzungumza wakati wakizungumza badala ya kuwajibu unadai umeziba masikio, unaonesha usivyojielewa.
Kutumia silaha ya kunyamaza badala ya kuwajibu kunaonesha usivyojitambua, usiyejua wajibu wako kwa wale unaowaongoza, umejiachia tu nature ikuongoze, halafu ajabu unajiona mshindi!.
Hata anaposema "anatukanwa" hicho ni kisingizio tu cha kukwepa kujibu hoja, na maswali anayoulizwa.
Ila mimi kwa kweli kwa maana ya matusi sjayasikia bado labda kama kuna mtu mwenye mifanoHii mikutano imewatisha sana ccm, hawakutegemea kama hali itakua hivi
Tunakataa uwekezaji wa kitapeli DP World"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia
Si wangesema amekuja na matusi ya nguoni!!CAG Kichere nae angealikwa kwenye huu mkutano aje na Ripoti yake.
Mkuu hilo huna namna DP hao wanaingiaTunakataa uwekezaji wa kitapeli DP World
Labda umemchoka wewe na mke wako. Mimi nampenda sana na namuombea afya njema rais wetu mpendwa.Nchi ishamshinda anatapa tapa bdala ya kucheki ishu ya mafuta tunafanyaje yeye ana ongea pumba wananchi mitaani tushamchoka arudi kwao pemba akauze pemba yao
Wamekosa hoja wanatumia ubabechukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?
Mkuu achana naye hiki ndicho kimewaumaLabda umemchoka wewe na mke wako. Mimi nampenda sana na namuombea afya njema rais wetu mpendwa.
Sawa chawa wa mama👏👏👏👏Labda umemchoka wewe na mke wako. Mimi nampenda sana na namuombea afya njema rais wetu mpendwa.
Kweli kabisa"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia
Nafikiri muhimu ni kufikiria habari ya wamasai kule... jamii ile huichagua ccm na ikiondoka je, umasaini itakuwajeHayo matusi mbona hatuyasikii zaidi ya wao kutuambia! Sugu walimkamata kwa kishindo mpaka kipazasauti kikang'oka, mwisho wa siku mahakama haikuona tusi.