Rais Samia arusha dongo kwa Lissu, asema kashfa na matusi kwenye mikutano ya hadhara ni kwasababu ya kuzungumzwa hakuna

Rais Samia arusha dongo kwa Lissu, asema kashfa na matusi kwenye mikutano ya hadhara ni kwasababu ya kuzungumzwa hakuna

Hawana akili 🚮 wakiambiwa ukweli wanadai wanatukanwa
chukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?
 
chukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?
SEMENI YOTE ILA
KATIBA NI STAHIKI YA WATANZANIA WOTE SIYO WANASIASA TU TENA WANASIASA WA CHADEMA
 
Unaposema watu hawana cha kuzungumza wakati wakizungumza badala ya kuwajibu unadai umeziba masikio, unaonesha usivyojielewa.

Kutumia silaha ya kunyamaza badala ya kuwajibu kunaonesha usivyojitambua, usiyejua wajibu wako kwa wale unaowaongoza, umejiachia tu nature ikuongoze, halafu ajabu unajiona mshindi!.

Hata anaposema "anatukanwa" hicho ni kisingizio tu cha kukwepa kujibu hoja, na maswali anayoulizwa.
Kwani walitaka kujibizana na Samia?
Inasikitisha sana kwamba tuna vyama vilivyojengwa kwenye vijembe na mipasho- majibizano ya simba na yanga. We can be better than that.
 
"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.

"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.

"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." -
Rais Samia
Tunakataa uwekezaji wa kitapeli DP World
 
chukua mfano vile alivyokuwa anaongea na wamasai kwa umakini ya kwa point tupu, au mikoani kwengine alivyokuwa anaenda nao wananchi polepole akiwafafanulia namna DP WORLD ilivyo kirusi. utasema yale ni matusi? au wamekosa cha kusema, na wanaamini sasa TL ndio ataacha kuongea ukweli?
Wamekosa hoja wanatumia ubabe
 
Labda umemchoka wewe na mke wako. Mimi nampenda sana na namuombea afya njema rais wetu mpendwa.
Mkuu achana naye hiki ndicho kimewauma
1694434400337.png
 
"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.

"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.

"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." -
Rais Samia
Kweli kabisa
Cha kuzungumza hawana
 
Hayo matusi mbona hatuyasikii zaidi ya wao kutuambia! Sugu walimkamata kwa kishindo mpaka kipazasauti kikang'oka, mwisho wa siku mahakama haikuona tusi.
Nafikiri muhimu ni kufikiria habari ya wamasai kule... jamii ile huichagua ccm na ikiondoka je, umasaini itakuwaje
 
Back
Top Bottom