Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
1686677996271.png

Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
20241208_165027.jpg

Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
20241208_165121.jpg

Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adamu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hayimaye tumemuweza.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamwmdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unayunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Anafaa sana u IGP. Ikupendeze Mh Rais ubadilishe huo mkeka
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adamu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hayimaye tumemuweza.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamwmdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unayunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Ni mipango mkuu.
Watu wamenusa hilo na wanataka viumbe wao ndo wapate hizo nafasi hivyo kumteua Balozi ni kumtoa nje ya mchezo.

Hangaya huwa anapangiwa na wasaidizi wake hususan yule mzee mapete
 
Athari ya mamlaka ya uteuzi kuzungukwa na wapigaji.
Hapa vi memo vimepita mpaka 'kizuizi' kimetolewa.

Afande Kaganda bado ana 'uses' nyingi kama polisi kuliko diplomat.
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adamu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hayimaye tumemuweza.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamwmdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unayunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
naunga mkono hoja
P
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adamu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hayimaye tumemuweza.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamwmdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unayunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Nchi hii watu wanafiki uaminika haraka


Watu wakweli na walionyooka hawaaminiki kabisa
 
Naunga mkono hoja. Nafunga naenda mlimani, huyu mama na Dr. Dorothy Gwajima wako smart sana.
 
Susan Kaganda amefanya kazi UN muda mrefu akiwa Secondment Leave,hivyo akili zake na uelewa wake wa mambo hauwezi kuwa kama Makamishna wengine huko Makao Makuu,amewazidi wote kwa IQ,nahisi kuna jambo alipishana na wakubwa wake pale HQ,ni muelewa sana
 
Back
Top Bottom