Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Inawezekana unyoofu wake unaogopwa pia. Hatoweza kumsaidia kuiba uchaguzi. Kwahiyo anaweza kumficha huko kisha akishaiba uchaguzi ndio ajifanye anataka kufanya reforms kwa kumleta huyo Suzana awe IGP.
 
Her versatility attitude ndio kinashindwa kuendana na conservative rigid sops. Ila.alifaa kuwa IGP huyu mama.
 
Inawezekana unyoofu wake unaogopwa pia. Hatoweza kumsaidia kuiba uchaguzi. Kwahiyo anaweza kumficha huko kisha akishaiba uchaguzi ndio ajifanye anataka kufanya reforms kwa kumleta huyo Suzana awe IGP.
IGP ajaye ni shem wa taifa Awadh
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268

Labds wewe mgeni nchiyetu, ukiwa mtenda mema hutakiwi hata kidogo,wasipokumaliza ponapona uteuzi nje ya nchi, ujinga mtupu...
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Ukifanya kazi kwa weledi kwenye serikali hii ya waovu ya CCM kamwe hauwezi kuwa rewarded na jasho lako ulilowekeza. Utashangaa wale akina Awadh ndiyo wanakuwa ma IGP.
 
KWANI IGP SAID MWEMA ALITOKEA WAPI KABLA YA KUWA IGP....TUSUBIRIE MANA BADO NI CP
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268

"The might is right always, justice for the Interest of the ruler, who will comand the commander" ???
 
Ogopa Wajinga wakiwa wengi, wanaweza kuchagua Rais!
Rais amezungukwa na wajinga wengi wanaotazama maslahi Yao badala maslahi makubwa ya umma wa watanzania! Wako kujinufaisha wo wenyewe na familia zao(ubinafsi) Ndio maana Rais akiwatuma kwenye vetting kuhusu watu Fulani wanamletea taarifa mbaya! Kaganda ni msomi mzuri na mweledi wa mambo to hold IGP post!
Watu kama kina Mwashambwa Ndio mama anatiachia!
Btw Kuondoka kwa Masauni Bado Kunaweza kusibadili mbinu za utekaji na mauaji ya wakosoaji wa serikali
Kaganda ni material!
 
Ukiulizwa kazi gani nzuri amefanya utabaki hauna jibu, zaidi ya kuja na clip 1 akiwa anaongea mambo unayo yapenda

Kweli kabisa .
Halafu wabongo wengi wako hiyo shida Sijui ujinga fulani.
Yaani Eti anamsikia mtu ameongea kwenye clip moja au mbili kwa kubahatisha mada Fulani basi wanaingia mkenge kama nyumbu kuanza kumwamini mtu na kuzani ni mtu mwenye ufahamu juu ya mambo.
Haipaswi kuwa hivyo kwa wenye uelewa mpana wa mambo .
Ili uweze kum fahamu mtu kuna mambo kadhaa ya kuzingatia.
CV yake lakini hiyo haitoshi.
Angalia mwenendo wake consistently for a sufficient reasonable period of time,
Utaweza kuona on average behavior yake na akili yake kwa ujumla.
Hata ukitaka kujua tabia ya mchumba wa kuoa usiangalie kwa kuona binti amevaa nguo ndefu ya heshima ukajua ndivyo alivyo kitabia siku zote laaaah utaingia chaka.
Wengine wanavaa hivyo kwa nadra sana na wala si mazoea yake na haitokani na utashi wake halisi.
Ktk mambo hupaswi kufanya haraka ni pamoja na ktk kutafuta kumfahamu mtu ktk Nyanja zote (tabia, competency, integrity, behavior, belief etc).
 
Kwa sababu hao wapo chini ya waziri wa mambo ya ndani.yeye ndo bosi wao.yeye ndo anaweza akasema kitu sikitaki na akasikika.
Samia alitaka ripoti ya mauaji ya mzee kibao alipelekewa?.

Kumbe TISS nao wako mambo ya ndani ?
Nilizani wana report kwa Rais moja kwa moja kama taasisi inayojitegemea?!
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Why unampangia maana Rais hapo kishafanya mpaka vetting zake sizani kama alikurupuka.
 
Back
Top Bottom