Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Susan Kaganda amefanya kazi UN muda mrefu akiwa Secondment Leave,hivyo akili zake na uelewa wake wa mambo hauwezi kuwa kama Makamishna wengine huko Makao Makuu,amewazidi wote kwa IQ,nahisi kuna jambo alipishana na wakubwa wake pale HQ,ni muelewa sana
Amenyooka sana, hawawezi kwenda sawa.
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Sawa afande wamekuelewa watamfikishia mama
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Kama alivyomtoa Jely Silaa
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268

Balozi maana yake ni hautakiwi🤦🏾‍♂️ anataka amweke mtu wake hawa wanakimbizwa ili aweke IGP wake. Wewe kama sio Mzanzibar utapelekwa nchi za ajabu ajabu tu. Zimbabwe walati std 7 Mzanzibar anapelekwa uarabuni au Ulaya. Mama oyee
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Sasa kama waliomzunguka wanapenda rushwa, watampenda Kaganda? Uelekeo wa sasa ni UCHAWA zaidi?
 
Giza na nuru haviezi kuchangamana,huko kwenye vyeo ni mwendo wa kusagiana kunguni tu,ukiwa mwadilifu adi utoke.
 
Kama amefanya kazi nzuri Kwa nini utekaji umekithiri Sasa kuliko kipindi chote tangu jeshi lianzishwe?Au ni ndugu Yako unampigia promo?
Muulize IGP. Naona unataka kumpa mzigo usio wake. Kaganda ni Kamishna wa Utawala na Rasilimali Watu wa Jeshi la Polisi.
 
Kuna kitu kimoja hamjang'amua..au mmeng'amua ila mmeamua tu maisha yaendelee..

Ni kwamba ...hii wama mtu ukiwa smart, brain, industrious, developing ideas kibao unazo...

Huhitajiki.. unasumbuliwasumbuliwa hadi ukome.

Awamu hii inabidi uwe mjinga mjinga fulani.
 
Ogopa Wajinga wakiwa wengi, wanaweza kuchagua Rais!
Rais amezungukwa na wajinga wengi wanaotazama maslahi Yao badala maslahi makubwa ya umma wa watanzania! Wako kujinufaisha wo wenyewe na familia zao(ubinafsi) Ndio maana Rais akiwatuma kwenye vetting kuhusu watu Fulani wanamletea taarifa mbaya! Kaganda ni msomi mzuri na mweledi wa mambo to hold IGP post!
Watu kama kina Mwashambwa Ndio mama anatiachia!
Btw Kuondoka kwa Masauni Bado Kunaweza kusibadili mbinu za utekaji na mauaji ya wakosoaji wa serikali
 
Back
Top Bottom