Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Mbona hamuweki picha yake mnaweka ya kaka yake?
 
Kuna kitu kimoja hamjang'amua..au mmeng'amua ila mmeamua tu maisha yaendelee..

Ni kwamba ...hii wama mtu ukiwa smart, brain, industrious, developing ideas kibao unazo...

Huhitajiki.. unasumbuliwasumbuliwa hadi ukome.

Awamu hii inabidi uwe mjinga mjinga fulani.
Aisee!
 
Balozi siyo hadhi ndogo, ni Mwakilishi wa Rais hivyo waliopewa Ubalozi wameaminiwa. Lakini hao waliopewa Ubalozi inaweza kuwa ni kwa muda tu.. Haitashangaza kama DGIS ajaye na IGP ajaye wote wapo kwenye hii 'line-up'..
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Sio kazi zote zinafaa jinsia zote. Kama ilivyokuwa Kariakoo ktk uokoaji, Kuna jinsia ilibaki ktk jukumu la admin na sio front liners.
 
naunga mkono hoja
P
Siungi mkono hoja. Kama huyu ndiye alikuwa mkuu wa utawala ndani ya polisi basi ni kiongozi wa hovyo. Hao Polisi walikuwa wanajiendea kuteka watu huku wamevaa kiraia wanabeba na silaha wanaenda kuua na hakuna kitu chochote kile. Polisi wengi ni walevi na wavuta bangi huko mitaani. Toka ujionee.. Ikaanzishwa polisi mgambo wanapewa na pingu hawa ndiyo wanakuwa mstari wa mbele panapotokea utekaji. Hamna kiongozi humo.

Kina Soka walipigiwa simu na hao mapolisi waende Polisi mpaka leo hawapo na mkuu wa utawala wala hafuatilii kujua lililo nyuma ya pazia. Huyu naye ni kiongozi wa hovyo kama alivyo IGP Wambura nae ni IGP wa hovyo mfumo wote hovyo kuanzia waziri aliyekuwepo. Bado IGP nae anatakiwa kuondoka.
 
Chadema bwana wanakuambia raisi kua mwanamke ni tatizo ila hapa wanadai Suzan awe IGP
 
Wala usishangae watu wa aina yake mafisadi hawamtaki na hivi unavyozidi kumsifia ndo kama unamsagia kunguni mwenzio.
Kama mwenye mamlaka akiwa na akili timamu aliruhusu wale kwa kamba zao alafu uje uwabane bane unadhani watakuacha salama?anyway tunamtakia utumishi mwema huko aendako.
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Nafasi ya kuwa IGP haihitaji sifa moja tu au mbili..lkn nchi inahitaji IGP wa namna gani ili polisi ikae sawa? kwahiyo Polisi wote wewe unawajua na mwenye sifa ni Kaganda peke yake..tuwe na utamaduni wa kulist sifa za nafasi na mahitaji ya wakati na si kutaja majina..!
 
Mimi napenda jinsi alivyo na uelewa wa Mambo. Akiwa anaongea huwezi jua kama ni Polisi wa Tanzania.. Utadhani ni Waziri Mkuu au IGP.. Sio IGP lakini ana sauti ya Mamlaka

View attachment 3172311
Wewe bwn hizo si sifa pekee za kuwa IGP kwa aina ya polisi waliopo na matatizo ya usalama wa raia kwa sasa, ni zaidi ya hizo sifa unataja..nchi inahitaji muundo imara wa kujaza nafasi km ya IGP bila kuanza kutaja majina..!
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
NAMPENDA SUZANA KAGANDA
 
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Atakuwa muadilifu ndio maana amefukuzwa kazi ambayo angebadilisha jeshi liwe linatenda haki. Anawekwa sehemu ambayo impact yake ni kiduchu.
 
Back
Top Bottom