Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Alaa shemeji Awadh apewe nini sasa?Huyu angepewa u IGP tu
Ova
IGP ajaye ni shem wa taifa AwadhInawezekana unyoofu wake unaogopwa pia. Hatoweza kumsaidia kuiba uchaguzi. Kwahiyo anaweza kumficha huko kisha akishaiba uchaguzi ndio ajifanye anataka kufanya reforms kwa kumleta huyo Suzana awe IGP.
Salaam Wakuu,
Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.
Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.
Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.
Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.
Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?
Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.
Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?
Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.
Rais Samia, suzana sina shaka
Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.
Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔
Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Ukifanya kazi kwa weledi kwenye serikali hii ya waovu ya CCM kamwe hauwezi kuwa rewarded na jasho lako ulilowekeza. Utashangaa wale akina Awadh ndiyo wanakuwa ma IGP.Salaam Wakuu,
Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.
Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.
Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.
Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.
Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?
Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.
Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?
Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.
Rais Samia, suzana sina shaka
Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.
Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔
Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Mistake gani?Kuna mistake kafanya
Utekaji alitakiwa aulizwe WAZIRI wa mambo ya ndani.Muulize IGP. Naona unataka kumpa mzigo usio wake. Kaganda ni Kamishna wa Utawala na Rasilimali Watu wa Jeshi la Polisi.
Naunga mkono hoja. Nafunga naenda mlimani, huyu mama na Dr. Dorothy Gwajima wako smart sana.
Salaam Wakuu,
Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.
Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.
Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.
Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.
Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?
Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.
Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?
Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.
Rais Samia, suzana sina shaka
Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.
Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔
Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
Kaganda ni material!Ogopa Wajinga wakiwa wengi, wanaweza kuchagua Rais!
Rais amezungukwa na wajinga wengi wanaotazama maslahi Yao badala maslahi makubwa ya umma wa watanzania! Wako kujinufaisha wo wenyewe na familia zao(ubinafsi) Ndio maana Rais akiwatuma kwenye vetting kuhusu watu Fulani wanamletea taarifa mbaya! Kaganda ni msomi mzuri na mweledi wa mambo to hold IGP post!
Watu kama kina Mwashambwa Ndio mama anatiachia!
Btw Kuondoka kwa Masauni Bado Kunaweza kusibadili mbinu za utekaji na mauaji ya wakosoaji wa serikali
Ukiulizwa kazi gani nzuri amefanya utabaki hauna jibu, zaidi ya kuja na clip 1 akiwa anaongea mambo unayo yapenda
Utekaji alitakiwa aulizwe WAZIRI wa mambo ya ndani.
Kwa nini unamuita shemeji awadhi mkuu? 😚😬Alaa shemeji Awadh apewe ninj sasa?
Kwa sababu hao wapo chini ya waziri wa mambo ya ndani.yeye ndo bosi wao.yeye ndo anaweza akasema kitu sikitaki na akasikika.Na DG wa TISS ??!
Kwa sababu hao wapo chini ya waziri wa mambo ya ndani.yeye ndo bosi wao.yeye ndo anaweza akasema kitu sikitaki na akasikika.
Samia alitaka ripoti ya mauaji ya mzee kibao alipelekewa?.
Why unampangia maana Rais hapo kishafanya mpaka vetting zake sizani kama alikurupuka.Salaam Wakuu,
Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.
Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adabu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.
Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hatimaye tumemuweza. Kaganda kakomesha Rushwa.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamemdanganya.
Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.
Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unatunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?
Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.
Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?
Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.
Rais Samia, suzana sina shaka
Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.
Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔
Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268