Rais Samia, asema kuna mabadiliko makubwa zaidi yanafuata, ameanza na Jeshi la Polisi

Rais Kumekuwa na ulazima wa kufanya mabadiliko katika taasisi za haki jamii ili kuboresha suala la utawala bora.

Rais amesema amelazimika kufanya mabadiliko kwenye taasisi hizo ambapo ameanza na Jeshi la Polisi, wataiangalia TAKUKURU, Magereza
Na pia wataangalia mafunzo maana mtu ili apandishwe cheo ni lazima apitie mafunzo ya kitaaluma na kimadaraka.
Kwa uelewa wangu mdogo Mh. Rais ana azimia kufumua Mfumo wa haki jinai/ Criminal Justice System

Wadau wengi wa haki za binadamu pia wanaharakati bila kusahau wanaJF hapa Jamiiforums walizungumzia suala la hitaji la mabadiliko ili kazi hii nyeti kabisa ya utoaji haki izidi kuboreshwa kwa muendelezo.

Leo mheshimiwa rais amefanya mabadiliko kwa imani kuwa anateau mmojawapo wa wakuu wa mfumo unaohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai akiamini kuwa kutakuwepo mabadiliko na pia uwepo wa uwezo zaidi wa kusimamia watendaji chini yake kufanya kazi vizuri zaidi :

18 September 2021​

Rais mstaafu TLS - Mfumo wa Haki Jinai Tanzania uundwe upya, haki ipatikane​

 
Kwenye ajira aangalie Jeshi sio sehemu ya kupeleka mtoto kwa vigogo ohh mwanangu kafeli hana maisha aende polisi au Jeshi

Kuna video nyingi zikionyesha baadhi ya vijana wakilia mafunzoni inalilia mama zao Kuwa hawataki mafunzo wanataka kurudi nyumbani

Vita ya Ukraine na Urusi wazee reserve imebidi waitwe wakapigane

Jeshi Urusi liligeuka kuwa sehemu ya ajira kwa watoto wa vigogo na wakapandishwa vyeo chap chap bila kukidhi vigezo vya mafunzo makali ya kufa mtu

Vita ya Ukraine ilipolipuka waliteketezwa kama kuku na majeshi ya Ukraine

Kenya pia walikuwa na hiyo tabia kuajiri ndugu nk na kuacha vikabila fit kwenye kupigana

Alshabab walipoanza mambo yao Jeshi ls Kenya likaenda kupigana walifyekwa hasa.Sasa hivi ajira Jeshi la Kenya hakuna upendeleo. Wamejua nini maana ya kuajiri Askari.

Zanzibar mfano mwanzo ilikuwa ukitoa Askari wameiva hasa mfano ni makomandoo marehemu kanali mahafoudh toka afariki hatujasikia mbabe toka Zanzibar ni yupi

Hata vita ya Kagera hawakusikika wababe toka Zanzibar ila bara walikuwa kibao

Zanzibar pia mchujo uwe mkali.Na wajue hawaendi tu jeshini sababu kuna mgao tu wa nafasi kiasi fulani za bara kiasi fulani za Zanzibar kwa hiyo legelege yeyote ruksa kwenda!! Ni kumpeleka akafie vitani .Jeshi sio sehemu ya yakhe yakhe ni roho ya mtu yaweza Potea vitani.Mtu atakuwa awe yuko fit hasa sababu iko.siku aweza pewa kazi ya kulinda Raisi au kuongoza vita .Mchujo unatakiwa kuwa mkali toka chini
 
Mongoso siyo mwo
 
Mnacheza na akili za wadanganyika vizuri tu..
Haya ndio mabadiliko?
Hivi kwa nini watawala mnaziba masikio hamtaki kusikia.
Wachafuzi ndio mnawapa kututawala.
KATIBA MPYA MUHIMU KULIKO TUNAVYODHANI
This is a joke! Mabadiliko eti mabadiliko nyie haya tu
 
20 November 2020

Ijue sheria ya mfumo wa haki jinai nchini Tanzania - mwanasheria msomi anafafanua


Source : ITV Tanzania

 
PCCB,DPP na Ma DED,DC,,RC, kiama chenu kinakuja kama mna kesi za kisiasa katika maeneo yenu hiyo tume 12, inafanyia kazi maelekezo ya kamati kuu iliyoyatoa Kwa serikali kufuta kesi za kisiasa, futeni kesi hizo mnazopewa na katelefoni wenu ,safari hii msipozifuta katelefoni anavalishwa shanga na mama
 
Si umemsikia kasema utendaji mbovu sababu kuna wenye vyeti Feki huko majeshini
Weee tulia. Una taka majambazi yarudi? Hao wana vyeti vya ndg zao wako private sector. Ila aawaache tu. Adhibiti kuingia feki wapya tu.

Ila kwa Ramadhani Khamis Kingai, kachemsha!!!
 
Polisi wetu wajitahidi sana kwenda sambamba na mabadiliko ya Tehama.. wawe fiti zaidi kwenye sekta hio kwa kujipambanua kwenye kuzuia na kulinda mifumo ya tehama maana sasa Dunia inahama kila kitu mtandao na wez wamekimbilia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…