The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Watu wengi huamini kua wao ndio wanajua zaidi majukumu ya wenzao yanatakiwa yatimizwaje ila watu hao hao hawajui majukumu yao wao wenyewe yanatakiwa yatimizwaje!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We MUSIBA na BASHITE inatakiwa mshughulikiwe haraka kenge nyinyiAkiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kalifufueni lile limzoga lenu kule chata sijui muendelee kuliabudu mbwa nyinyiBado ana safari ya kwenda kujipendekeza kwa wazungu Brussels ( EU), London UK na Washington USA, hapa hatuna Rais, tuna pambo tu.
Yani umenikumbusha yule mgonjwa Wa mguu akafanyiwa operation ya kichwa Wa kichwa akafanyiwa ya mguu.Mwamba umechanganya madesa
Magufuli alishakufa, hayupo tena.
Kubalini huo ukweli, kwa sasa tupo kwenye awamu mpya na mambo mapya.
Unataka azindue miradi mara mbilimbili kama alivyotufanyia mwendazake?Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Hela zimeenda wapi kama mwendazake aliziacha za kutosha?watazindua nini wakati hawana hela
Nyie mataga ni lini mtakubali kuwa mzee pombe is no more?Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
haihitaji shule ...kumtukana mama wa jirani ni kumtukana mama yako - upulike !?Rudi darasani ukafundishwe upya kusoma na kung'amua kilichoandikwa.
Nafikri kabla ya Idd el Fitr ataenda Comoro.Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!
Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!
Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.
Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣MATAGA Mungu awape wepesi popote mnapotesekea. Hali yenu ni mbaya sana mnatia huruma sana.
hii nchi ina watu wapumbavu sana, kuna mtu yeye aliharibu mahusiano na mataifa mengine utadhani hii dunia ni yetu, akawa yupo bize na mavieite kwenda kuzindua hadi mashamba ya miti mkamponda kwamba hana kazi ya kufanya hadi anatafuta kiki kwenye kazi ambazo zingefanywa na wasaidizi wake. Leo amekuja rais ambae mambo madogo ameamua kuachia wasaidizi wake yeye aanze na kurejesha mahusiano mazuri na nji rafiki bado hamridhiki, stupid kabisa.Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.