Rais Samia ataenda tena kujitambulisha wapi? Sijasikia akizindua hata mradi mmoja

Rais Samia ataenda tena kujitambulisha wapi? Sijasikia akizindua hata mradi mmoja

Mama Samia we piga kazi, kama ulivyosema hutoangalia chama katika teuzi ilimradi mtu awe timamu kichwani utamteua, Fanya mpango utuache na katiba mpya hawa mataga hawakutakii mema mama.
 
Bado ana safari ya kwenda kujipendekeza kwa wazungu Brussels ( EU), London UK na Washington USA, hapa hatuna Rais, tuna pambo tu.
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
We MUSIBA na BASHITE inatakiwa mshughulikiwe haraka kenge nyinyi
 
Wacha nyumba iungue,, mara paa uchaguzi huu umefika itakuwa nderemo kwa wapinzani
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Unataka azindue miradi mara mbilimbili kama alivyotufanyia mwendazake?
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Nyie mataga ni lini mtakubali kuwa mzee pombe is no more?
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Nafikri kabla ya Idd el Fitr ataenda Comoro.
 
2025 chadema jipange kuchukua nchi, na siyo utopolo wa kitawala tunao shuhudia sasa

~baba kafa, mama anaenda kudanga hovyo hovyo~
 
Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.
hii nchi ina watu wapumbavu sana, kuna mtu yeye aliharibu mahusiano na mataifa mengine utadhani hii dunia ni yetu, akawa yupo bize na mavieite kwenda kuzindua hadi mashamba ya miti mkamponda kwamba hana kazi ya kufanya hadi anatafuta kiki kwenye kazi ambazo zingefanywa na wasaidizi wake. Leo amekuja rais ambae mambo madogo ameamua kuachia wasaidizi wake yeye aanze na kurejesha mahusiano mazuri na nji rafiki bado hamridhiki, stupid kabisa.
 
Back
Top Bottom