Rais Samia ataenda tena kujitambulisha wapi? Sijasikia akizindua hata mradi mmoja

Rais Samia ataenda tena kujitambulisha wapi? Sijasikia akizindua hata mradi mmoja

Wewe ni mwa
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Wewe ni mwanachama wa magufuli na sio ccm. Chama chako cha chato/sukuma party kilishakufa jitahidi usahau enzi zile.
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Mpenzi heshima Mama.
Kwenda zake alikuwa anazindua hadi vyoo.
 
Kuna haja ya mzazi kuzuru nyumba yake wakati daily mnamuona humo ndani ya nyumba?
 
UWANJA WA SOKA WA KISASA KUJENGWA CHATO... Serikali itajenga Uwanja wa soka wa kisasa katika eneo la Chato na utajulikana kama Chato Stadium.

Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amesema Uwanja huo utakuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kalemani amesema Uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuvutia watalii na wawekezaji katika masuala ya utalii.

Waziri Kalemani amesema Uwanja huo utaanza kujengwa hivi karibuni.
Uwanja kuvutia watalii?,Magufuri alikuwa mtu wa ajabu sana.
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Yeye hana mambo hayo, amekuachieni washamba myafanye.
 
Pote atakapoalikwa maana miradi bado ipo kwenye hatua za mwisho mwisho mwanzo mwanzo atazindua tu
 
Kimpango wako, WWE kaa hapo ukipiga Domo mama anaendesha nchi bila wasi wasi Wala presha,
Kama yule mshamba alikuwa anaogopa kutoka nje ya nchi kwa ushamba wake au kwa kuhofia kupinduliwa sijui kuibiwa hiyo ni juu yake, hii ni awamu nyingine usipangie watu Cha kufanya
 
Let's give her the benefit of the doubts.

Mjue mama hakujiandaa kuwa raisi, japo kikatiba alitakiwa kujiandaa. It's not easy though she's got to cherish nafasi aliyoipata.
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Matatizo ya kuishi kwa mzoea. Mwenda zake alikuwa anazindua mpaka miradi iliyozinduliwa awamu ya JK. Kama vile Mwendo kasi na baadhi ya barara mradi tu ionekane yuko busy.
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Hii nchi iliharibiwa sana na mtangulizi wake, alijenga uadui wa ndani na nje kwa gia ya uzalendo, nchi ilikua inaingia shimoni hivyo ni wajibu wa mama yetu kuturejesha katika mstari wa heshima.
 
UWANJA WA SOKA WA KISASA KUJENGWA CHATO... Serikali itajenga Uwanja wa soka wa kisasa katika eneo la Chato na utajulikana kama Chato Stadium.

Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amesema Uwanja huo utakuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kalemani amesema Uwanja huo utatumika kwa ajili ya kuvutia watalii na wawekezaji katika masuala ya utalii.

Waziri Kalemani amesema Uwanja huo utaanza kujengwa hivi karibuni.
Huyo shortiii ni tatizo lingine kubwa tena....bingwa ropoka na mapambio...najua ana hali mbaya sana awamu 5 yeye ndio MD wa Tanesco yaani kimbelembele mnoooo sasa bado kupewa kesi yake moja asubiri tu
 
Akiwa nchini Kenya, Rais Samia alieleza kuwa nia ya kuizuru Kenya mapema sana ilikuwa kujitambulisha kwa majirani kwa kuwa alikuwa "mpangaji mpya"!

Leo akizungumza na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" amekariri tena ya kuwa ataendelea kuzuru nchi mbalimbali akitoa sababu ileile ya "kujitambulisha kwa majirani" akiwa ni "mpangaji mpya"!

Kiongozi mzalendo anawajibika kueleza manufaa ya kila anachonuia kufanya. Inashangaza ni kwa nini Rais anakimbizana kujitambulisha kwa majirani, yaani utii wake upo kwa majirani na siyo kwa mwenye nyumba, watanzania waliompangisha Ikulu yao.

KWA kuwa mwenye nyumba anayo madhara ikiwa ni pamoja na kutompangisha tena, nilitegemea angeweka kipaumbele kuwazuru wananchi kwanza ndipo aanze kupepea iwapo kuna manufaa ya umma katika kupepea.

Nawasalimu kwa jina la Mwenyezi Mungu aliyeumba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Sidhani kama unaelewa ni kwanini Mama Mulamula amepewa wizara ya mambo ya nje. Hakuna nchi inayoweza kuishi kama kisiwa. Tunaweza kuwa tumejaliwa rasilimali za kila aina lakini namna ya kuzitumia na elimu ya kumiliki sayansi yenye umuhimu ya uzalishaji, ni ndogo sana kwa upande wetu.

Huko nje yanatafutwa maslahi yatakayogusa moja kwa moja maisha ya hao wananchi wa kawaida wa Tanzania.

Huyu Mama Samia usitegemee kuuona msafara wake ukiwa unasimama njiani mara kwa mara. Tatizo letu ni kukariri kwamba kwa sababu JPM alikuwa ana tabia fulani basi na huyu ni lazima afuate njia zile zile kisa kasema kwamba yeye na Hayati ni kitu kimoja!.
 
Back
Top Bottom